Wadau naomba kufahamu kama kuna app ambayo inaweza kubust network kwa maana simu yako inakawaida ya kuwa low katika network,, pls naomba msaada wenu!!!
Katika mitandao ya kijamii ambayo ni maarufu na inawatumiaji wenye mazungumzo mengi sana ni Twitter, lakini tatizo lake moja kubwa ni kwamba mtandao huu wa kijamii bado hautengenezi pesa za...
Samsung Z510, Z650, Z320i
Power on without SIM card
Type in **CODE# where CODE is the unlock code you received from XXXXXXXX
Samsung Z105 and Z107
Power on with a non accepted SIM card
Type...
Wakuu habarini ..
nina tatizo juu ya hii simu ya samsung s4 t-mobile sgh-919 ambayo inaonesha kuwa ina support mfumo wa network wa lte yani 4g kama sijakosea..lakini hii simu 4g yake haiko active...
Waungwana naombeni msaada kuhusu jinsi ya kupata google adsens, nimejaribu wapi nimefwata masharti yao lakini mwisho wa siku nimeshindwa kujiunga plz mwenye ako na roho ya huruma anisaidie na...
Teknolojia imekua sana kiasi kwamba sasa huna haja ya kupoteza wakati kufanya hesabu kwa muda mrefu bali sasa unachotakiwa kufanya ni kupiga picha swali lako kisha Photomath itakupa majibu...
Habari wadau?
Aise simu yangu imepata shida ambayo sijui ni kitu gani. Mara kadhaa nikigusa icon ya Facebook, simu inajizima na kuwaka tena yenyewe kisha inaendelea na kazi kama kawaida. Hapa...
Habari wataalamu.
Naomba kufahamishwa ni apps gani ambayo itafaa kutengenezea matangazo kwa kitumia simu.
Matangazo ya nafasi za shule matangazo yq biashara n.k.
Wiki iliyopita nimenunua simu aina ya Tecno boom J8 baada ya kusikia sifa zake nyingi kwa watu wanao zitumia lakini cha ajabu baada ya kuinunua wala sijaifurahia kabisa
Kwanza touch sensitivity...
heshima zenu wakuu.
Nimenunua home wifi devce ya airtel juzi ila nashindwa kuifanya ianze kurusha wireless network lwa simu na pc hapa home. kwa anayejua please?
airtel nimewapigia ila...
Wadau Habari zenu jamani.....
Nina ombi kwa wale wataalam wa YOUTUBE mnisaidie nifanyeje ili niongeze CPC za adsense yangu na pia kuna trick gani ya kuongeza Subscribers katika channel?
ASANTENI
Virus Science
Adware
Adware is software that presents banner ads or in pop-up windows through a bar that appears on a computer screen. Those advertising spots usually can't be removed and are...
Habari wanajakwaa, kwa wale wajuzi naombeni msaadaa nikitaka kudownload program
#macromedia fire work
#na ashampoo au Nero kwenye PC naweza tumia website gani kupata za free maana mwanzoni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.