Wakuu Mimi si Fundi wala sina utaalamu wa mambo ya umeme nini kinasababisha feni inachelewa kuwaka ukiwasha afu hata ikiwaka inafanya kazi na kusizi baada ya mda fulani
Wakauu hii PC nimekuwa nitumia mda mrefu ila ghafla naona spika moja haitoi sauti
Mwenye ujuzi msaada hapo nini kifanyike
Ili hata nikiwa naenda kwafundi nijue napeleka nikiwa najua shida ni kitu...
Ni mda sana umepita nilikuwa najaribu kufungua akaunti ya paypal nashindwa leo nimeweza,nimeona kushea na wengine waliokua na tatizo kama langu wafaidike.
Zingatia yafuatayo;
1. Hakikisha una...
Wakuu nimetumia heat sink compound ambayo picha yake ipo hapa chini..lakini ps3 bado haijaacha kuoverheat,japokuwa kuna mabadiriko tofauti na mwanzo..sasa hv haizimi nikiweka maximum fan...
Habari wakuu,
Nime install hii application ya GB Whatsapp lakini napata ugumu wa ku quote Ujumbe wa mtu binafsi katika group, tofaut na ile Whatsapp ya mwanzo niliyokuwa nnimezoea.
Kwa mwenye...
JINSI YA KU UPDATE ANDROID KITKAT
KWENDA LOLLIPOP
No Computer needed…..
Utangulizi:
Bado Teknologia inakua kila sekunde.. Yapo
Maboresho kila Nyanja hasa katika Mawasiliano kwa ujumla. Kompyuta na...
Kwa kutumia hii app ni rahisi sana kuroot simu za android hii appinaitwa frame root
1.download hapa http://forum.xda-developers.com/attachment.php?attachmentid=2784451&d=1402084843
2.fungua...
Naomba msaada wadau....
Kila nikiupload video clips za mechi za ulaya haikai muda inakua blocked worldwide.
Tatizo ni nini? Maana unakuta watu wengi wameweka video hiyohiyo lakini mimi...
Najifunza mambo web design lakini kupitia internet kuna sehemu Hii nimekwama nisaidie kila nikiweka link inakataa kusearch inaniambia era nisaidieni jamani uwa naandika link namna Hii
<!DOCKTYPE...
Nahitaji kuhamisha line ya simu toka moja kwenda simu nyingine mpya,nahitaji kuhama na msg zote za simu A kwenda simu B.nini naweza fanya?maana kuna msg muhimu ktk maisha yangu nitazitumia siku za...
Nimepata barua yenye PIN za kufanyia account verification, na nimefanikiwa ku-verify account, sasa naomba kufahamu ni baada ya siku ngapi nitatumiwa hela ambazo zipo kwenye account yangu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.