Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hii flash sms ni kama zile sms tunazotumiwa na tigo baada ya kujiunga na kifurushi chochote.ukitumiwa huwa inakuja moja kwa moja imefunguka. Nakumbuka enzi tunatumia nokia za kubonyeza keypad...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
kuna utofauti gani kati ya ICLOUD---------? NA APPLE ID------?
0 Reactions
2 Replies
741 Views
Msaada jinsi ya kuupdate windows 8.1 to windows10 kwene Nokia Lumia 1320
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Habari ya kazi mafundi wana JF. Samahani nilikua naomba msaada wa kuifungua simu aina ya Nokia N8. Ilijilock baada, ya kuweka memory kumbe kwa bahati mbaya ilikua na virus. Naomba mnisaidie nifanyeje
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Mwenye link ya Chanel five live TV naombeni.. .
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Natanguliza shukran zangu tafadhal wadau wa jukwaa hili naomben maelekezo jinsi ya kubadili au kurekebisha jina ninalotumia kweny google Mfano natumia mandelaputin@gmail.com Nataka nibadili iwe...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Naomba mnisaidie nifanyaje simu yangu samsung note 2 ifungue wi_fi na bluetooth. Imejiupgrade version from 4.1 up to 4.4.1
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Niko dilemma kidogo hapa nataka kuongezea ka degree kangu ka ICT ila sioni kipya baada ya kufuatilia mitaala ya degree naona Ni yaleyale tu. Kwa wadau mnisaidie kidogo maana nataka nishift...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
habari zenu watanzania wenzangu,
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari za mchana wakuu Nina cm 2 Samsung Galax s4 yenye version ya 4.4.4 ya pili huawei y 360 zote nmezifanyia rooting sasa nilikua naomba jinsi ya ku upgrade version niende kwenye 5.0 asanteni...
2 Reactions
3 Replies
834 Views
Kama kuna mtu anafahamu jinsi ya hack....na kutrack mobile number anijulishe
0 Reactions
17 Replies
4K Views
kume kua na umuhimu mkubwa kutoa taarifa na elimu juu ya ku root android devices leo nimeona sio mbaya tushirikishane kile tukijuacho kuhusu rooting.KABLA YA KUANZA: KUROOT SIMU YAKO KUTA...
8 Reactions
154 Replies
32K Views
embu toa maoni yako kuusu hizi tv je ni nzuri? je katika matumiz azipat moto?je umeshatumia au iliwai kwenda kwenye kumbi za sinema ukatumia siku hiyo uliona utofauti gani.embu tujuzane na mm nijue
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Habari zenu waungwana mimi shida yangu ni kwa mtu yeyote aliyewahi kutumia ARDUINO au kuwa na uelewa nayo katika kusoma na kuandika data kwenye hizi eproms za tv ,vcd,dvd nakadhalika kwani hicho...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nawezaje kufungua account mbili za WhatsApp kupitia hiyo GB WhatsApp? Msaada wadau
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi ndivyo whatsapp for web inavyoonekana. kwa kutembelea https://web.whatsapp.com/ , na utahitajika ku scann QR code kwa kutumia simu yako.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini za asubuhi wapendwa, kwa atakayeguswa naomba anijuze kama ana technique yoyote. Kwa ufupi simu yangu (tecno tablet imeingia maji) inawaka na kuzima inaniumiza kichwa coz bado mpya na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba mwenye winrar nisaidiwe nina shda nayo wakuu
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari wana JF leo ningependa kushare na nyie jinsi ya kutumia flash yako kama ufunguo wa kompyuta yako au password, Basi kwa kuanza basi ni vyema tukajua faida za kuwa na password katika flash...
3 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom