Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu habari zenu... Nina laptop yangu ya toshiba, ilikuwa na window 7 ila baada ya window 10 kutoka ikabidi niipige window 10.... Baada ya kuipiga window 10 ilikuwa inasumbua kuwaka kwaiyo...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu,,,,,,naomba kujua wakuu nitumiee antivirus ipi ya simu aina android phine ni nzuriii?? Msaada jamani
0 Reactions
16 Replies
6K Views
habari za humu...naombeni msaada kwa mwwnye ufahamu wa kudowngrade window phone...some days ago nilidownload window device recovery tool nikafata taratibu zote ila mwishoni inaandika...
0 Reactions
3 Replies
649 Views
Habari wana JF, Nimepata tatizo moja kwny simu yangu, Samsung Note II ghafla imepata tatizo la kutopokea sms, ukijaribu kutuma sms kwa mtu mwengine zinaenda bila tatizo, shida ni pale mimi...
0 Reactions
4 Replies
23K Views
Wakuu mimi natumia samsung S.3 .mini!! Tangu juzi imeanza tatizo yaani upande wa f.b (facebook) kama nikikuta comennt au nikigusa file lake cm inazima na kuwaka yemyewe na ikiwaka inaniandikia...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Wakuu kuna mtu alishawahi kuipata au kuitumia chaneli hii?? Nimeona sifa zake ni FTA inarusha mechi nyingi sana kama ilivyokuwa Sport 24
0 Reactions
0 Replies
709 Views
Jaman cm yangu inatabia ya kujirudia sms endapo nikiizima na kuiwasha,namaanisha sms ambazo tayari nimeshazisoma nikiwasha cm tu zinaingia as a new sms
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Kuna mtu wangu wa karibu ana tatizo, Pc yake aina ya Tajwa hapo juu (Dell Icore3) ina tatizo katika switch yaan power button, haibonyezek kwwnda ndani wala haitoki kwa nje, imekuwa ngumu sana...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana board.. Nahitaji kutengeneza App, Je kuna online platform au software ambayo Naweza kutumia!?? Nahitaji iwe from Website to Mobile App. Ahsante..
1 Reactions
1 Replies
646 Views
sim yangu ni tecno n2 sim 1 lazima iwe laini ya tigo... sasa juzi nmeflash upya lakini bado inanilazimisha niweke laini ya tigo... naomben msaada wa mawazo nifanyeje ili niweze kuunlock network??
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Habari wana JF leo ningependa kushare nanyi makala kutoka katika tovuti ya Tanzania Tech, Njia hii inaonekana kuwa bora na ya haraka kwa kila mtu mwenye kompyuta. Kwa kuanza basi kumbuka ni...
2 Reactions
32 Replies
11K Views
Naomba msaada mtu mwenyekujua jinsivya kuangalia salary slip kwenye mtandao, najinsi ya kuangalia makato ya mfuko wa jamii kama lapf au pspf.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Khabari wana jamvi hili.. Nikiwa na tabasamu lenye tumaini la uimara wa afya zenu, naomba nikunje miguu kama nyie jamvini kisha tujumuike pamoja.. Ewaah.. Akhsanteni.. Kabla hamjanipa chakula...
0 Reactions
8 Replies
916 Views
Jinsi ya ku ‘root’ simu yako ya Android. SASA TUJE KWENYE MADA; Android ni Mfumo wa simu (Operating System) ambao unaboreshwa siku hadi siku. Mfumo huu una majina tofauti kutegeana na toleo lake...
12 Reactions
59 Replies
7K Views
Nahitaji kuhack simu ya android ili nipate sms za kawaida, za whatsapp, voice calls na call logs zake. Software ipi na inapatikanwa wapi? Namna gani kuitumia? Naomba ushauri.
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanajamii naomba mtu mwenye ujuzi na simu anijuze. nimejichangachanga kidogo nina 200,000/= hivyo nataka ninunue simu yenye ubora mzuri. nahitaji TECNO je ipi nzuri kwa pesa hiyo au nikiongeza...
3 Reactions
116 Replies
28K Views
Habari wakuu..!! Nina sony music system yangu ya miaka mingi kidogo kwa miaka zaidi ya 15 inapiga kazi. Miezi miwili iliyopita haikutumika tulikuwa safari, sasa leo kuiwasha, inawaka lakini main...
0 Reactions
2 Replies
656 Views
Habari wanIT, bado nafikiria kwann IT wengi wa kibongo magumashi kwenye swala kujoin pamoja na kutengeneza ajira kwa wengine kama vile FB, Twitter, Google n.k. Kwann tunakuwa wabinafsi kiasi hiki...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Wakuu naomba kuuliza hzi cm hapo chini ipi bora kuliko nyingine
0 Reactions
10 Replies
828 Views
Back
Top Bottom