Je unahitaji software au huduma ya ku recover data zilizopotea either kwa kuformat au kufuta kimakosa?
Wewe ni mwasibu na unahitaji account package kama quick book?
Wasiliana nami kwa no hizi...
Quantum computing breakthrough could 'change life completely', say scientists
nikisoma nakala hii Na kuangalia taifa letu roho inakuwa inauma sana.Tech gap inazidi kuongezeka tu Na mudaa cyo...
Siku hizi maisha yanakimbia sana na kila kukicha majukumu yanaongezeka kwa kasi ya ajabu, ni rahisi sana kusahau baadhi ya ratiba kama kufanya mawasiliano na watu wako wa muhimu. Hapa ndipo...
Habari zenu wakuu nilikuwa naomba msaada maana nimepokea E-mail kutoka UNITED NATION, Ila nikuwa naomba msaada wenu wakuu maana E-mail hii imenichanganya hivyo nilikuwa naomba mnichanganulie zaidi...
Kuna njia mbalimbali zinazotumika kufungua simu zinazotumia mtandao mmoja. Hapa tutatumia njia 2.
Njia no 1:
Maandalizi
1/ Kompyuta
2/ Simu iliyofungiwa
3/ Simu inayofanana na hiyo...
Kwanini MB za internet zinakimbia hivi, 600MB ndani ya 30 mints zimekata, hakuna download wala update kwenye pc. Nimezima browser zote lakini bado inanipa hadi 2.56Mbps.
Habari wakuu,.
Kuna uzi uliwekwa hapa jamvini namna kuweza kufanya rooting katika simu, mimi nimefanikiwa katika Android yangu.
Naomba wajuzi wa mambo watusaidie what's next baada ya hili ili...
Habari zenu wakuu
Wakuu, naombeni mnijuze athari ya kuroot simu, je, kuna athari yoyote ukiacha tatizo la kuharibu simu kwa kutojua kuroot simu!
(2)naomba kujua pia nini madhara ya kuwa...
Wadau habari;
Wakuu nina tatizo na simu yangu kucharge muda mrefu sana, ambako inafikisha mpaka Massa kumi na moja bado haijai, kwa SAA moja inajaza hats asilimia tano tu, hebu niambie tatizo...
Habari wanajamvi, cha kwanza kabisa unatakiwa kujua lengo kuu la website unayohitaji. Mfano, habari, michezo, biashara n.k. Hii itasaidia kujua ni script gani itakayo kufaa.
OK STEP YA KWANZA...
Wakuu habari za humu.
Naomba msaada kwa yeyote atakayeweza kufungua simu yangu aina ya LG iweze kusupport huduma za tigo pesa na m pesa.
Shukurani kwenu
Nb : Pamoja na hayo bado kwenye simu nimeweka memory card ya 4GB na sijahifadhi chochote.
Sasa wakuu suala la storage kukosekana linakuja vipi? hata app ya 5 Mb nashindwa ku download!
Please...
Natumia huawei G510 yaani inanipa shida sana kila nikitaka kuingia fb inazimika. Nashindwa kubaini tatizo ni nini.
Pia najaribu kuingiza link ya kupata TV za hapa Tanzania inagoma. Msaada tafadhali
Wakuu natumia device ya Lenovo na IWAPO TUU nikitumia SIM CARD ya AIRTEL na nikifungua Data, my device automatically GPS inajiswitch on!! Hata kama nikiswitch off!! After 40 or 30 second...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.