Wadau mambo vipi,
Juzi usiku maeneo ya Tazara nliibiwa simu yangu ni iPhone 6,kwa bahati mbaya icloud haikuwa active.
Details nyingine kama imei nnazo, najua uwezekano wa kuitrack Upo na JF kuwa...
Hellow JF Members!
Naomba kufahamu kama ni kweli betri za kampuni ya Samsung zina Tracking device na zinaweza kutuma Private Data zako na kwenye Savers zao?
Kama si kweli hizo kama wires...
Habari zenu wakuu?
Nimeazimia kwamba, nataka kununua Satellite Dish (nadhani natumia jina sahihi) yaani pamoja na receiver ili niweze kupata FTA channels. Hii ni kwa mategemeo kwamba nitaweza...
salam wadau
vigezo vipi vinatakiwa viwepo kwenye website yako ili kuinclude ads kama googleads, infolinks na nyingine? and which one is best?
msaada wataalam
Habari?
Kwa wale wataalamu wa magari unapoweka mashine ya kupima gari na kupata matokeo haya tatizo linakuwa ni nini na linatatuliwa vipi?
Si mnajua mambo ya mafundi akitoka hapo anapiga mpunga...
Natumia sony bravia smart tv na dish la azam. Kila nikiweka simu yangu on kwenye wifi inaletea sony bravia wifi inaonekana iko na nguvu sana. Naomba msaada wa kujua password maana inahitajika...
Tafadhali naombeni msaada tutani Laptop Toshiba satellite Radius L10w-C2019 haifanyi Booting kwa kupitia Flash.
msaada wa Haraka unahitajika kila niki bonyeza F 12, nimejaribu pia F2, ESC zote...
Wakuu mambo vipi! Naomba kuuliza kwa waliowahi kutumia au wanaotumia hivi vifurushi vya internet vya voda, wanidaidie kwa hili hiki kifurushi cha internet cha mwezi cha kudownload bila...
Kama heading inavyosema hapo juu, katila pita zangu nilikutana na simu ya samsung grand prime plus. Awali ilinivutia kwa mwonekano wake.
Ila nikaamua kuzama mtandaoni kuona specs zake ndo nikaona...
Habarini za usiku wadau,
Tafadhali naomba kuelekezwa kama kuna sehem kwa hapa DSM wanatoa short course ya graphic designing na video editing na bei yake ikoje?
Natanguliza shukran na niwatakie...
Habari jamani nmeletewa Kazi ya kuresize passport size iwe katika KB4 naombeeni msaada program itafanya Kazi kwenye computer kama ikishindikana hata kwa simu
Naskia kuna MICROMEDIA FIREWORK 8...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.