Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hapo kuna info kazaa nimefuta lakini kuna mtu amekuwa akinifuatilia kwa miaka saba mpaka amefikia hatua za kujipa full control ya computer yangu katika kipindi cha miaka nane ameshaharibu computer...
1 Reactions
1 Replies
867 Views
Habari zenu wakuu , leo ningependa kuelezea jinsi ya kudownload video kutoka facebook/ Jinsi ya kudownload video za Facebook ( Najua baadhi yetu tunajua na baadhi ya watu wengine hawajui )...
0 Reactions
0 Replies
12K Views
habari wanajf,nina simu(tecno430) kila nikidownload video yenye size kubwa kwa kutumia operamin browser inakataa,yaan haiwezi kabisa,kama kuna wataalamu humu naombeni mnisaidie maana huwa natamani...
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Habari wakuu Nina shida kidogo natumaini ya kuwa mtakuwa Na msaada.Kuna MTU yeyote ambae anajua mahali naweza pata OS za dstv au firmware zake ??
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Betri ya simu yangu imevimba mpaga mfuniko haufungi. Sasa hadi naogopa isije ikanilipukia. Embu wataalam wa simu kujeni hapa muone namna ya kunisaidia maana hiki kimeo ndio kinachoniweka mjini!
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Smart Elite ni wamekuwa wakiwasaidia watu wengi namna ya kutengeneza simu au computer yako mwenyewe bila kwenda kwa fundi. Ni kampuni ambayo itazindua App yake karibun. Nimezipenda huduma zao...
0 Reactions
3 Replies
666 Views
hi ALL, Where in Tanzania can i get CONICAL SCALAR??? Thanks
0 Reactions
0 Replies
535 Views
Me nimemaliza bachelor degree ya computer science in software engineering na sasahivi namalizia ccna baada ya kumaliza oracle database 11g ila lengolangu kubwa nahitaji kuwa network engineer...
1 Reactions
4 Replies
898 Views
[emoji1666][emoji1666][emoji1666]
0 Reactions
1 Replies
714 Views
Wakuu ninawezaje kupata sms au call confrimation code ya whatsapp line yangu imefungiwa haitumik kwenye mawasiliano na ilikwisha poteaga N.b:nina shida nayo sana wakuu..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naombeni mwongozo wa ku unlock moderm tajwa hapo juu.. mubarikiwe sana
2 Reactions
6 Replies
7K Views
Niaje wadau, Ni muda sana sijapost kitu humu ndani, mambo mengi. Leo ningependa kuwasilisha shell script niliyotengeneza kunisaidia kutafuta decrypted hashes, sana sana za MD5. Script hii...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nahitaj iphone 5 yenye icloud (password locked). Mwenye nayo please tuwasiliane.
1 Reactions
1 Replies
828 Views
Kwa yyte anaefaham namna ya kutoa icloud naomba msaada tafadhali
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau, Nahitaji msaada wenu juu ya hv vitu, mana kwa mfumo, wa elimu Tz some time, mtu inabid ukatishe ndoto zako uangalie, ki2 cha kusomea kulingana na soko la ajira. Mana mifumo kwa hapa Tz...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habarini wakuu,natafuta microsoft lumia 950xl,kwa dar es slaam naweza kuipata wap and for how much?
0 Reactions
0 Replies
448 Views
File details:MT6580__TECNO__TECNO-L8Plus__TECNO-L8__5.1__L8PLUS-H805C1-L-160721V29 Naomba la kukopy toka kwenye simu ninayo download hayawashi simu sijapata file lenye details za hapo juu (Reason...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii mitandao naona ni ya wanasiasa mbona haichukuliwi hatua leo 1GB= Tshs. 2,000 200MB = Tshs. 1000
2 Reactions
32 Replies
3K Views
Vifaa hivi vifuatavyo bei yake inasimamaje? i) Main switch "Havels" 12 ways ii) Circuit Breaker "Havels" single phase iii) Twin cable 10mm iv) Single core cable 1.5mm kwa roll moja red, black na...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Nikichaji simu ina andika maandishi haya low battery temperature Simu inatatizo gani na nifanye nini kuondoa tatizo hili
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Back
Top Bottom