Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari za Leo wana JF Naomba kusaidiwa kuifungua SIMU yangu aina ya Vodafone 200 Imeandika kwenye screen maandishi haya hapa chini SIM network unlock PUK Naomba msaada wenu wataalamu...
1 Reactions
24 Replies
4K Views
Wakuu habari za jioni Naomba kwa wenye uelewa na mambo ya computer wanisaidie katika hili Nina pc yangu aina ya lenovo G50 inatatizo 1.kuwaka inasumbua yani ukiiwasha inakuandikia jina la...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wadau naona simu yangu haipatani kabisa na IOS 10 maana at first nilipoaupdate to iOS 10 music app iliacha kufanya kazi ila juzi nimefix tatizo hilo kwa kuupdate to iOS 10.2.1 ikaanza...
1 Reactions
1 Replies
801 Views
Wakuu habar zenu,nasomea automobile engineering naomba kufahamishwa ninunue laptop yenye uwezo gani na brand gani ambayo itakidhi shughuli zote za masomo yangu.Nina bajeti ya 400000/= na kama...
1 Reactions
71 Replies
13K Views
habari za mda huu wapendwa kama thread inavyojieleza hapo juu jaman mm ni mjasilia mali wa kuingiza nyimbo kwenye simu na libraly hapa mkoan kwetu sasa kuna mteja kaniletea memory card ili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Msaada kwa anaye fahamu namna ya kutoa pesa ulizotumiwa kutoka mitandao mingine kwa njia ya SMS ambapo unapata sms uende kwa wakala wa M Pesa ndan ya siku saba
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Naitaji kwa kufanyia majaribio ya ya ulinzi wa ghetto langu.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Salaam wana bodi. Kama mada inavyojieleza hapo juu. Nimekuwa natumia JamiiForums App niliyoipakuwa toka google store. Lakini kwa muda kama wa wiki mbili hivi kila nikiifungua inaleta habari ya...
0 Reactions
3 Replies
930 Views
Naulizia kama itafanya kazi bongo nimeikuta inauzwa ebay na inaruhusiwa kuuzwa mpaka tanzania imetajwa pale DVB-T2 High Definition digital terrestrial receiver MPEG4 TV Receiver For Africa...
0 Reactions
24 Replies
7K Views
wakuu naombeni msaada mana niliweka mobile ant thief kwenye cm yangu siku za nyuma kidogo sasa baada ya kubadilisha line tu simu inaniambia privacy protection pasword ambazo nimeshazisahau naitaji...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari za leo Waungwana Samsung s3 imekata network ghafla na sijui sababu ni nini. Naomba tupeane ujuzi hapa ili niweze kuokoa simu yangu
0 Reactions
1 Replies
605 Views
Nimenunua flash GB 64, nimeweka PICHA na video nikichomeka kwenye TV haionekani kama flash, nikiiiweka kwenye PC inapiga kazi kama kawaida. Msaada ili niweze kuitumia kwenye TV. Nyingine zinafanya...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wakuu, Kuna hizi simu za wagiftishe zinatozotolewa na tigo ambazo SIM slot moja iko customized kwa ajili ya tigo tu na hiyo in access ya hsdpa upande wa internet wakati ile slot nyingine...
0 Reactions
13 Replies
15K Views
Je ni kweli simu za Samsung Galaxy Note 4 (N910h) hazina uwezo wa network ya 4G LTE?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wadau napendelea zaidi kutumia wap stlye kuliko desktop style nikingia jamii forum cha ajabu toka juzi niki select wap stlye muonekano unakuwa hivi-kama inavyoonekana hapo chini. setting kwenye...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu.. Nmeapply google adsense... Wakaipitia property yangu...then kuna code nlipewa niiweke kwenye header tags ili waifanyie review website yangu... Nikafanya hivyo...Sasa nashangaa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Sorry wakuu,nashindwa kuplay azam 2 tv,katika live streaming yao inazingua sijui kwanini,pia na ITV inanzingua kwa android app. waklati tayari nimeinstall vizuri tu lakini haitaki kuplay live.kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TV yangu aina ya LG nchi 42 LCD imepasuka kioo. Kwa yeyote anayemfahamu fundi mzuri wa flat screen TV naomba anielekeze anapopatikana. Au yeyote ambaye ana screen ya kufanya replacement...
0 Reactions
11 Replies
6K Views
Hivi hawa watu ni wa kuaminika? nimetaka kununua kitu kwao ila wanataka bank details moja kwa moja. Ushauri wenu wadau
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Habari wana JF, leo nimeona ni share na nyie huu ugunduzi uliofanyika nchini japan, Kampuni moja ya huko japani imeweza kutengeneza simu yenye uwezo wa kuoshwa kwa sabuni na maji tena hata maji ya...
1 Reactions
0 Replies
713 Views
Back
Top Bottom