Habari wanajamvi
Nahitaji msaada,simu yangu inazima hovyo hovyo,tena nikiwasha internet ndo balaa, mwenye utaalam namna ya kuifanya irudi ktk hali yake nisaidie tafadhali.
Shukrani.
TAIFA A3 LAPTOP
The TAIFA Brand Laptop is a product of the Nairobi Industrial and Technological Park (NITP). NITP is a kenyan vision 2030 flagship project between Jomo Kenyatta University of...
Habar wana tekinolojia naomba msaada juu uwezekano wa kupata simu ya samsum mpya original kwa shillingi laki tatu tu
mfano samsung j5 au S4 au note3 au yeyote yeyote yenye angalau kioo kikubwa kidogo
Habari zenu wanajukwaa...Kwa dar wapi naweza kuoata pc yenye hizi specs kwa bei rahisi na ubora mzuri.
Core i7
2.7 ghz
ram 4gb
video memory 2gb
model yoyote
Habari za mchana,
Poleni na majukumu. Nataka nisikie kutoka wa mtumiaji wa TECNO W5 Lite kama ina uwezo wa 4G. Ninatumia Vodacom na mkoa niliopo bado Vodacom 4G haijafika.
Asante.
Wakuu habari zenu?sorry natatizo ktk application iyo(instagram) tangu jana najaribu kulog in haitak kabisaa na anuani ni ile ile hata neno siri pia ni lile,imegoma jana hadi leo hii,upande wa...
naomba kuuliza kifaa hiki kiitwacho 3d video magnifier je ninaweza kuchomeka simu kwenye hiki kifaa na nikafungua documents mfano za pdf na zikaonekana kwenye hichi kidude. au kinafanya kazi...
Naombeni msaada kwanini computer yangu nikiingiza code(html,css) za picha video na audio inakataa naombeni msaada labda kuna sehemu natakiwa kurekebisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.