Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Aseee kuna huyu dada anaitwa fatma ana website tatu nazozifahamu 1: Ocean of games; hii ni kwa ajiri ya kila aina ya game na crack zake 2: get into pc; hii ni kwa ajiri ya app yoyote unayoitaji...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
hivi iphone ni simu yenye usalama(SECURTY) wakutosha pia imara sana kwa anaejua naomba atoe ufafanuzi
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Baada ya simu yangu kusumbua kwa mda kwa kuzima au kugoma kila nikiingia fb, nimegundua tatizo ni kua app ya fb sa hivi new android version yake imekua 5.1, kwa hiyo kwa simu nyingi zenye chini ya...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Nahitaji software developer anayejielewa na kujitambua ili nifanye nae kazi ya kudesign software ya task management
0 Reactions
3 Replies
766 Views
Je tatizo ni nini, na ikishaandika hivo siwezi kupiga na wala sipatikani ila internet natumia kama kawaida. Natumia tecno c9
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Wakuu naombeni msaada simu yangu vitu vingi vimejaa ni samsung sasa nimeweka memory card kila nikitafuta sehemu ambayo nataka vitu ntakavyoweka au kudownload viende moja kwa moja kwenye memory...
0 Reactions
1 Replies
826 Views
Naomba mwenye utaalam wakuroot sim,yangu ni Tecno C9s.Nimejaribu njia zote nimechemka
0 Reactions
1 Replies
534 Views
Wakuu Habari, Nina listing yangu on "Google Local Business" a.k.a Google my Business but not verified. Ili uwe verified watakutumia postcard yenye code utayoingiza kwenye akaunti kuverify business...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hello,naombeni msaada ndugu zangu..king'amuzi cha startimes channels zimefutika..zmebak channel zao za matangazo pamoja na tv1 tu..nafanyaje kuzirudisha??nmeshafanya search lakini zinarudi hzo...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
wakuu habari za wakati! naomba kupewa msaada nataka kulink account yangu ya CRDB na paypal sasa nimekwama kwenye routing number, debit card na bank account msaada wenu ni muhimu sana.
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wasalaam ndugu zangu, naombeni masaada mwenye SPSS SOFTWARE anisaidie hapa, kuna kazi natakiwwa niifanye hapa nimepanic hatari, nimejaribu ku download nimeshindwa kabisa, naombeni mwenye nayo ai...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Habari zenu. Nilirestore simu yangu sasa nimeshindwa kuweka setting za internet. Nimejaribu kadhaa bado imegoma kufanya kazi.Natumia Halotel.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Nimeanza kusoma soma baadhi ya vitabu kuhusiana na hii kitu(Arduino) na nimekuwa interested kujifunza zaid ila nimepata changamoto kubwa mbili. kwanza ni kuhusu vifaa sijui naweza vipata wapi kwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nahitaji software developer kwa ajili ya kutengeneza software ya task management For more details contact me on 0744044048
0 Reactions
1 Replies
605 Views
Habar naomba msaada uc browser kwenye simu yangu nikidownload ikikaribia kumaliza inafail na kuandika retry na haijidownload tena msaada plz
0 Reactions
5 Replies
904 Views
Habari za muda huu Wanajukwaa.. Nina simu moja Sumsung Grand Prime tatizo lake ni kwamba, imewekwa laini lkn inaandika "Emergency Call" na ukijarbu kupiga inasema "Nertwok not registered"...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
After months of months of hard work I finally did it nimeweza reverse engineer cryptolocker.It was amazing hii experience all my years of programming ila cjawahi pata hii experience ya ku reverse...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
->Je Programming Language ni nini ? Kama hauna idea kuhusu maana halisi ya Programming Language basi ACHA usijifunze. ->Je nianze kujifunza Programming Language ipi ? Hii inategemeana na wewe...
6 Reactions
46 Replies
8K Views
Habari zenu wadau naombeni Msaada kulingana na kichwa apo juu pia nakaribisha ushauri
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom