Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Horticultural Farming for Improved Production Economy (HoFIPE) is a project that desires to address youth employment through the agricultural sector in Tanzania. The project intends to involve...
0 Reactions
3 Replies
905 Views
Nimenunua epson printer L800 na hapa mjini studio zinasafisha picha kwa tsh 200 picha ya size 4 kwa 6, je mimi nikisafisha kwa 200 nitapata faida? Msaada wadau
0 Reactions
27 Replies
10K Views
Wana jf Habari za majukumu,niko Serengeti mkoa wa Mara na jishughulisha na kilimo ila kwa sasa nahitaji kufanya kisasa kidogo nahitaji kujenga green house ya mita 15 kwa 25 kwa ajiri ya nyanya au...
3 Reactions
5 Replies
4K Views
Kwa wastani hatua ya mtu mzima ina urefu wa futi 2.5. sawa na 75cm au 0.75m. Sasa ukipimiwa upana wa hatua 70 na urefu wa hatua 70 utakuwa na eneo lenye urefu wa 70x0.75 = 52.5m. Upana pia utakuwa...
8 Reactions
40 Replies
23K Views
Naitwa benjamin l. Mbilo Nimtaalamu wa masuara ya kilimo na mifugo(general in agriculture) kwasasa nnapatikana iringa mji mdogo wa ilula. Kwasasa najishuhurisha na utoaji elimu na ushauli juu ya...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
Nina wazo la kuilima vitunguu maji, nipo kanda ya ziwa (ng'wanza), nina wazo la kulima vitunguu maeneo ya Magu karibu na mto simiyu, changamoto ninayoiona ni usitawi wa zoa hili katika eneo hili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu nataka kujiingiza kwenye kilimo maeneo ya Kibiti. Kuna mwenye mawasiliano ya bwana shamba wilaya ya KIBITI ili niweze kupata ushauri kwake juu ya mazao ya kulima, aina za mbegu na muda wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habar wanajamvini.....kwa miaka kadhaa wakulima wa zao la mahindi hasa mikoa ya nynda za juu ksini na magharib tumekua wazalishaaji wakuu wa zao hili kwa muda sasa ni zao pengine naweza sema...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Usemihuwo una mantiki sana, japo vijana tunajipotezea tujiulize ni kwanini? Wakoloni walikuja kulima mazao mbalimbali,walichukia ardhi yenye rutuba, wakaanzisha propaganda chafu tuchukie kilimo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Dawa za kusafishia, kungarisha na kupendezesha vioo MAHITAJI -sabuni ya maji -vinegar maji JINSI YA KUTENGENEZA Tia maji lita 10 kwenye plastic,sabuni ya maji lita 1,vinegar lita 1 kisha koroga...
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Tar 12/10/2018 mmoja kati ya viongozi wa benki ya maendeleo ya kilimo (Tanzania Agricultural Development Bank) alikuja kuongea na wanachama cha ushirika Madibira. Ushirika unawanachama 3147 ambao...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakulima tunazama kwenye dimbwi la umasikini. - JamiiForums Wakulima tunazama kwenye dimbwi la umasikini.
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Nimelima matikiti maji kwa mara ya pili sasa, changamoto yangu juu ya utiaji wa mbolea ya viwandani katika miche. mana inakufa sana nikishatia mbolea. Natumia kizibo cha take away kama kipimio...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Walio wengi hawajui ni kuchi gani anafaa kufuga kwa wakati uliopo. Karibu tujifunze kuchi
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Naomba kujuzwa na wataalamu wa mifugo huu ni ugojwa gani?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Naomba ushauri ng'ombe wangu anajinyonya maziwa nikichelewa kumkamua na kuta maziwa yote yameisha nifanyeje asijinyonye? msaada please!
1 Reactions
23 Replies
6K Views
Habari wadau.. Naomba kuuliza kwa wakulima wa matikiti. Nimelima sana tikiti lakini wakati wa kiangazi ambazo huwa nakata maji kuanzia siku ya 50 mpaka 55. Nalimia maeneo ya Kigamboni. Je...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari zenu wana jf natumaini mnaendelea vizuri naomba kujua ni aina gani ya kilimo cha biashara ambacho kina lipa na chenye soko na upatikanaji wake (mbegu)
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu. Poleni na mihangaiko. Wakuu tupo vijana wawili sisi ni wanafunzi kutoka vyuo tofauti UDSM na SUA tumekaa pamoja na kuamua rasmi kuingia katika kilimo wote tulikua JKT mwaka fulani...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Habari za Jioni wakuu. nategemea kuanza kupanda matikiti maji na pili pili hoho wiki ijayo. Wakulima wengi kwenye enao nililopo wamehsauri wakati wa kupanda nitumie mbolea ya kuku am samadi...
0 Reactions
29 Replies
8K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…