Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Licha ya msimu mpya wa ununuzi wa zao la Korosho Wilayani Tunduru Mkoani Ruvuma kuanza, wakulima walalamikia ubovu wa barabara na uchache wa magari ya kusafirisha korosho kwenda sokoni...
2 Reactions
4 Replies
3K Views
Ugongwa wa ndui umekua kikwazo kikubwa kwa wafugaji kuku wa kienyeji. Sasa naweza kutibu kuku wangu wenye ugonjwa huo, hii ni baada ya utafiti wa mda mwingi kidogo. Ni dawa ya kupaka. Baada ya...
1 Reactions
19 Replies
9K Views
Habari wanaJf, kwa sasa tunapoelekea musimu wa kilimo , tujadili fursa zinazopatikan musimu wa masika ambapo zaidi ni kilimo! Kuliko kukaa na kuwajadili viongozi wetu na vyama vyetu!! Nina amini...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu kwa sasa unaweza pata Kuroiler Breed kwa Oda, Ila kama uko mbali na Arusha means Dar na kwingineko trasnport utaalenji mwenyewe. Kuroiler ni Breed kutoka India ina origine ya India, ni moja...
2 Reactions
29 Replies
9K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu... Kila mwaka nipitapo maeneo ilipo klabu hii kongwe Yanga Afrika, nakuta bwawa la samaki pembeni ya Jengo la Klabu hiyo...!! Naomba kujua ni aina gani ya Samaki...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mnisaidie huu ni ugonjwa gani maana unasumbua sana hasa vifaranga, nipeni mawazo ya sawa gani itawatibu?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
niko mpanda nina sh 200000 ninaomba ushauri nifanye biashara gani
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wapendwa naipenda sana mbolea ya super gro na kama na we mwenzangu una mbolea nzuri tujuze katka uzii huu Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
9 Replies
10K Views
M
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Imebainika kuwa sehemu kubwa ya mazao ya chakula yanayohifadhiwa katika maghala hupotea kutokana na kukosekana kwa njia bora za uhifadhi wa chakula. Hali hiyo inatajwa kupunguza thamani ya mazao...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
habari wakuu....mpapai wangu umekua sana na unazaa kwa sasa...ila maua yake yanashambuliwa sana kila likianza kutengeneza papai linakufa..mapapai machache sana yamesurvive..naomba kujua nipulizie...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
wamekufa kuku 2,na sijajua haswa niwapatie Dawa ipi kwakua sijajua ugonjwa wake DALILI Wanakunya kinyesi cha kijani+cheupe wanasinzia sinzia Wanatoa udenDa Tafadhali kwa mtu anayefahamu ni ugonjwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nahitaji mbegu ya mihogo aina ya kiroba yakutosha heka 4. niko mkuranga - Nyamalonda.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Plz Msaada mwenya kujua mchanganyiko mzuri wa chakula cha mbwa ili niweze changanya mwenyewe
1 Reactions
10 Replies
23K Views
Wakuu habari... niende moja kwa moja kwenye mada... nina shamba Bagamoyo kidomole ekari 10 ila lina magugu na hamna maji... ninafikiria sijui nifanye kilimo gani/kitu gani ambacho hakitaweza...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Habari za asubuhi. Kama kichwa cha habari kinavyosema. Naomba kusaidiwa kupata directions hizo kutokea makumbusho Dar-es-Salaam. Thank you in advance. God bless you
0 Reactions
12 Replies
4K Views
kwa mwenye shamba wilaya karatu nahitaji shamba la kukodi,
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Jambo la muhimu kuliko yote kwa wale wenzangu na mimi tunaotegemea kilimo cha mvua ni kujua ni lini hasa mvua hizo zinaanza. Hii itakisaidia kujua kuwa ni lini uandae mashamba na upandaji unaanza...
1 Reactions
7 Replies
5K Views
NIMENUNUA SHAMBA MKURANGA KWA NIA YA KUANZA KILIMO MWAKA ULIYOPITA NILILIMA NYANYA NA NILIVUNA VIZURI HILA NILILIMA KAMA EKARI 2 TU ZILIBAKI EKARI 10,KWAHYO NIMEONA KULIKO KUACHA PORI WAKATI...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Kama kichwa cha thread hapo juu kinavyojieleza. Naomba mwenye connection na wadau Wafugaji ili ninunue Jogoo mzuri Chotara kwa ajili ya mbegu. Nahitaji pia vifaranga chotara kuanzia 50 hivi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom