Habari ndugu zangu?
Nimeamua rasmi kuingia kwenye kilimo na ufugaji lengo langu kuu ni kulima mpunga na vitunguu na kwa upande wa mifugo tayari nimenunua nguruwe 10 na kuku 20 wa kienyeji 15...
Mimi ni kijana wa kiume mchapakazi. Naamini jukwaa hili kuna watu wana/wamiliki wa project za kilimo na ufugaji na naweza kupata msaada. Nahitaji kazi katika maeneo tajwa hapo juu kama 'unskilled...
Amani kwenu nyote.
Nia ya bandiko hili ni kuomba msaada kwa wale wenye taarifa au wameshapitia mchakato huu wanisaidie maelezo na utaratibu jinsi ya kuanzisha gazeti la kila siku au kila wiki...
Habari ya majukumu,
Jamani mimi ni mfugaji wa kuku wa kienyeji toka mwaka 2011 na sasa nina zaidi ya kuku 700. Tatizo langu ni kuwa mwanzoni mwa mwezi huu niliatamisha kuku 18 ambao jana...
Habarini wana jamvi?Naitwa Nicholas naishi morogoro,nashughulika na biashara na ufugaji.Kifupi ni kwamba nimepata tatizo katika kuku wa nyama niliowachukua kutokakampuni ya interchick kupitia...
Wadau nimekuwa nikijiuliza kuhusu ufugaji wa bata mzinga (turkeys) nasikia wanauzwa bei ghali. Kuna mwenye uzoefu na mradi wa aina hii? Na je soko lake lipo?
wadau nipo katika hatua za mwanzo za utafiti wa utengenezaji wa peanut butter kwahiyo yeyote anayefahamu chochote kuanzia bei za mashine za kusagia karanga na vingine vinavyohusika.
ahdante
Wanabody nimekuja kutoa rai yangu wale wenzangu waliojitokeza kulima matikiti mwaka huu.
Hali ilivyo mpaka sasa si shwari kwa kuwa soko linatatiza sana kwa maana watu walioingia kwenye kilimo...
ifahamike kwamba, ufugaji na kilimo ni uwekezaji mzuri hasa kwa wakulima wenye mashamba madogo na hata yule mkazi wa mjini ambaye anaweza kulitumia eneo lake la uwani kufuga.
Ifahamike pia...
. Naomba ushauri juu ya hili tatizo kwanini zinapasuka na zingine kuoza. Hizi tikiti bado wiki mbili zivunwe na tatizo hili Luna siku kama 3 toka lianze
Tunauza na kufunga madirisha, milango na Balcony kwa PVC toka Uturuki na Aluminium. Bei zetu ni nafuu sana.
Bei zinajumlisha ufundi na usafiri hadi nyumbani (ndani ya Dar es salaam).
Mteja mwenye...
Salamu kwenu wana Jamii Forum na Wakulima wa Tanzania.
Nimetafakari kwa kina na kuona kuna haja ya sisi wakulima wadogo wadogo wa Tanzania kuungana na kupaza sauti zetu kwa pamoja na kuiomba...
Habari wadau
Mimi ni mkulima mchanga( nikimaanisha ndio naanza hizi shughuli za Kilimo) sasa tangia nimeanza tatizo kubwa ambalo nalisikia ni kuhusu soko la bidhaa zetu.
Ndugu zangu mimi nina...
Habari,
nafahamu uwepo wa manguli wa kilimo humu JF, itakua faraja kama nitapata msaada wenu. nimenunua shamba la heka mbili miezi sita iliyopita, nataka kujua utaratibu wa shamba boy kulipwa...
Habari wanajf,
Mimi ni mkulima ninajishughulisha na kilimo cha mbogamboga [kilimo cha bustani] pamoja na ufugaji wa kuku wa kienyeji.
Changamoto kubwa ninayokutana nayo ni ukosefu wa mitaji...
Habarini, kwa wale wakulima wa Mahindi walioko katika wilaya ya Mbozi na maeneo ya jirani.
Sisi wataalam wa kilimo tunapenda wakulima wapate kipato kizuri na si kipato tu bali katika kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.