Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habarini za mchana wana jukwaa, Samahani natafuta soko la Mbaazi kwa ambaye anafahamu kwa Dar es Salaam linapatikana wapi nikiwa na mzigo tafadhali naomba anijuze. Nipende kuwatakia mchana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wapendwa! Natarajia kuanza project ya kuku wa mayai,awali nilishauriwa kuagiza vifaranga Uganda lakini inasemekana kwa sasa Serikali hairuhusu kabisa kuingiza vifaranga kutoka nje. Hivyo basi...
0 Reactions
11 Replies
7K Views
Habari wana JF, Natangaza kuwa nilishaachana na biashara ya dagaa wa kutoka Mwanza, siku hizi na deal na biashara zingine ambazo hazihusiani kabisa na bidhaa hiyo. Ahsanteni sana kwa ushirikiano...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Naomba msaada wa elimu juuu ya ufugaji wa nguruwe please naomba msaada wenu
0 Reactions
4 Replies
957 Views
Habari wanaJF, Natafuta wataalam mbalimbali wa kilimo na mifugo nifanye nao online business. Nataka nianzishe website ya mambo ya kilimo na ufugaji, kwaiyo natafutaa wataalam wa kuandika nakala za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa mi nko chato mkoani Geita nahitaji kuzalisha uyoga aina ya Manama (oyster) huku chato, kwa haraka nahisi soko lake ni mwanza maana ndiyo mji mkubwa ulio karibu nami, sasa mbegu ntapata...
1 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari vijana wenzangu... Mi ni mkulima wa mpunga maeneo ya SShinyanga mwenye uwezo wa Kusuply zaidi Tan50 za mchele kila wiki ningependa kuuliza mwenye ufaham wa masoko ya nnje ya africa na dunia...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarin wana jukwaa, naomba ushauri kwa wataalamu na wajuzi wa kilimo, baada ya maisha kutaiti ktk mwaka huu w 2016, niakona si vibaya kunari u kitoma mjin na kijarib fursa shamba, lkn nilikuja...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Kama title ilivyo wapendwa,sina nijuacho sana kuhusu abc ya biashara hii,ni moja tu ndilo ninalolifahamu kuwa kwa hapa nilipo chakula hicho kitauzika sana maana kuna wafugaji wengi wa nguruwe na...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Jaman wanajamvi habari zenu mimi nipo Dodoma nilkua naomba nipate elimu juu ya ufugaji kuku wa mayai kulingana na sehemu niliyopo kwani kuna baridi alafu nina mtaji wa 300000...je nifanyaje na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wadau nina swali, hv wafugaji kuku wa mayai (layers) wanaanza kurudisha gharama za tangu mwanzo, baada ya muda gan?
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Hebu tuone nini unstakiwa ufanye ili nyanya ikufaidishe. -Kwa sasa kuna mdudu anaitwa Tuta Absoluta.. au waswahili wanaimuitaKanitangaze (MAANA AKIKUVAMIA SHAMBANI HAKUNA NAMNA UTAACHA KWENDA...
1 Reactions
12 Replies
14K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili. Naomba msaada kwa anayefahamu wapi ntawapata wataalamu wa kupima udongo kwa ajili ya kilimo hapa Dar es salaam anisaidie tafadhali. niko katika hatua za awali za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wana-jf'ers. ninategemea kufungua frame yangu ya biashara ya mobile phone repairs... na nina mtaji wa kununua vifaa muhimu kama blower...desktop computer na vifaa vyake...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
1.JINA 2.KTUO ULICHOPO,WILAYA 3.ANWANI YAKO 4.WAPI UNATAKA UHAMIE ILI UWEZE KUUNGANISHWA NA WANAOTAKA KUHAMIA HUKO ULIKO
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu naomba msaada kujua wapi naweza kuanzisha project ya kilimo cha MABOGA na VITUNGUU kati ya Morogoro na PWANI? Nafikilia pale Ruvu panaweza faa ingawa sina hakika sana. Mkuu:malila...
0 Reactions
12 Replies
11K Views
Wandugu habari za kwenu. Naishi Moshi nahitaj kujitupa shamban mazima. Naombeni msaada kwa wanaoifaham vizur Tanzania. Ni eneo gani naweza pata mashamba ya kununua kwa bei nafuu kama Hector 10 kwa...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Jaman wana jf nataka kuanza kufuga kuku Wa kienyeji! sasa sijui wanachukua mda gani tangu watotolewe hadi kufikia kuweza kuliwa! naombeni msaada! wenu!
0 Reactions
18 Replies
27K Views
Wana Jf nauza mbaaz kuna mtu aliniambia kuwa AZAM wananunua kwa bei nzuri ila kwa sasa hawapo Dar wako mashambani na me sina mawasiliano yao hvyo naomba msaada kwa yeyote mwenye mawasiliano yao...
0 Reactions
16 Replies
8K Views
Habari wakuu? Naomba kwa mwenye contact za watu wanao dili na mifugo pale uwanja wa ndege wa Nyerere anaipatie nina shida nao sana, nataka mwongozo fulani wa mambo ya mifugo.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom