Kuna mbegu za nyanya nimepata kuziskia zikitajwa kwenye kipindi cha television. Mbegu hizi ni Tengeru
Mshumaa
Je kuna utofauti gani kati ya mbegu izo mbili?
Habari. Egg incubators za size mbalimbali zimekuwa zikitumiwa na wafugaji nchini kutotolea vifaranga kwa ajili ya ufugaji binafsi. Ila ni watu wachache tu ndio wamekuwa wakitumia incubator hizi...
Habari zenu wakuu.
Naombeni msaada wenu kwa mwenye ufahamu, gharama halisi za uchimbaji wa kisima kwa ajili ya umwagiliaji, yaani kilimo cha umwagiliaji.
Habari wadau,
Naomba ushauri. Nlijaribu kulima nyanya zilikua vizuri tu lakini zilipofika stage ya maua na kuanza kuzaa zikapata ugojwa wa Mnyauko. Nlipata ushauri wa dawa mbalimbali lakini...
Wanahitajika vijana wawili wenye ujuzi wa uvuvi wanaotaka kuwa wajasiriamali katika sekta ya uvuvi. Tuungane katika shuguli ya uvuvi wa dagaa katika ziwa victoria = ujuzi wao ndiyo hisa zao katika...
Habari Wakuu.
Mimi ni muajiriwa Katika serikali, laikini nataka nijikite kweye Kilimo Cha Mpunga huko Turiani mkoani Morogoro, na Kwakuanzia nataka nilime Hekari mbili,. Kiukweli nataka...
wana jamvi naombeni msaada wa haraka kwa anae jua vizur magonjwa ya KUKU kwa dall nitazo weka ushauri na tiba za kisasa au kienyeji
dalili
1:hana guvu miguu yote na vidore vina jifunga hawez...
Wapiganaji habari za leo ...
Nimekuwa kwenye kujaribu kila ushauri niupatao hapa Jf kwenye ujasiriamali na namshukuru Mungu kwamba kuna vitu nimevifanyia kazi vikaleta matokeo chanya. Sina budi...
Habarini waheshimiwa.!!
kutokana na watu kuwa bize sana na kazi zao na kushindwa kufanya kilimo japo wanapenda. mimi nimeamua kuwasaidia watu wa namna hiyo, yaani hivi tunakubaliana unataka...
Habari za mihangaiko wakuu, msaada mwenye uzoefu nataka nianze biashara ya kuchukua mahindi mikoani na kuleta dar kwa ajiri ya kusaga unga na mengine kwa ajiri ya kuuza, sehemu ya kusagia...
Wapendwa naombeni kujuzwa kuhusu wapi nitapata mbegu nzuri ya kuku wa mayai maana nilishauriwa niagizie Uganda lakini inasemekana kwamba Serikali imezuia uingizaji wa vifaranga kutoka nje.
Shukrani
Habari wana jf, mimi ni kijana nataka kujikita kwenye suala zima la kilimo,sasa nina shamba langu maeneo ya zombo wilayani kilosa lakini hilo shamba langu lipo mbali na mto.Dhumuni la kuja hapa...
Ongezeko kubwa la mahitaji ya matunda na mboga limefanya kilimo cha horticulture kukua kwa kwasi na kuwanufaisha wakulima wengi....
Watalam Wa Kilimo hicho wanawaletea Huduma maalum ya kitaalam...
naulizia jamani kwamba nawezaje kupata kuku chotara ambao nitawafuga kama wa kienyeji ambao ni chotara unawaachia wajitafutie chakula wenyewe mchana lakini usiku na hata mchana natenga pahala pa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.