Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habari wakubwa Jaman mwenye kufahamu utaratibu wa jinsi ya kupata (tbs) kwenye bidhaa mpya anifahamishe naomba.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu natumai mu wazima. Ninataka kufanya hii biashara ya kununua matunda kama vile matikiti au mananasi wakati wa msimu kwenye mashamba alafu nitafute eneo la kumwaga. Je kuna mwenye ujuzi wa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari JF Family Naomben msaada wa maulizo kwa mkulima wa vitunguu .... 0658210505
0 Reactions
0 Replies
795 Views
Habar wana jamvi naweza pata wapi mbegu bora za mbaazi zinazoweza kustawi vizur kanda ya ziwa natanguliza shukran
0 Reactions
33 Replies
7K Views
JAMII MEMBERS HELLO, HABARI ZA MCHANA WANA JAMII. NAPIGA HODI JAMVINI. POLENI NA HONGERENI KWA KAZI YA KUFAIDISHA JAMII. NAPENDA KUWATANGAZIA KUWA SISI NI KIKUNDI CHA WAJASIRIAMALI. TUNA UZA...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
LEO TUANGALIE MCHANGANUO WA TSHS 300,000/= (LAKI TATU) KWA KUANZISHA MRADI WA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI. Hapa tutahitaji kuku 11 tu wakubwa wanaotaga yaani majike 10 na Jogoo 1 tu. Kwa kutumia...
26 Reactions
51 Replies
11K Views
Wana JF kuna mtu anafanya au anaijua hii biashara? Je gharama zake za mwanzo ni kama sh ngapi? Challange zake kubwa ni zipi? Je inahitaji uangalizi mkubwa kama biashara nyingine ndogo ndogo ndogo...
0 Reactions
9 Replies
7K Views
Nilitarajia kwenye maonyesho hayo ningeona hivi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116] badala yake nimeambulia kushuhudia vinginevyo na wenye maonyesho yao ambao ni wakulima na hawa bila...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Wananchi wa halmashauri ya Malinyi wameendelea kujiunga kwenye vikundi vya watu 150 ikiwa ni sehemu ya kuitikia wito wa Mkuu wa wilaya hiyo uliowata kujiunga kwenye vikundi ili waweze kupatiwa...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapendwa karibu sana ktk Kilimo bora cha nafaka km ajira pekee isiyo na majungu mengi
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu mimi ni kijana mwenye nguvu na nina mke na Mtoto mmoja nafanya kazi katika kampuni moja binafisi ya ulinzi.nimejaribu kukusanya mtaji ili nikafanye kilimo nimeshindwa wandugu kama kuna...
2 Reactions
62 Replies
10K Views
Habari, za leo wadau..
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Halmashauri ya wilaya ya Malinyi, chini ya mkurugenzi wake na mkuu wa wilaya hiyo wamedhamiria kuhakikisha wilaya yao inakuwa kitovu cha kilimo cha mpunga, tayari halmashauri hiyo imeanza...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Miaka ya karibuni huku kusini haswa mikoa ya mtwara na lindi kuna mazao huwa wanayategea kwa kuwa na bei mzuri pindi yanapouzwa. Miongoni mwa mazao hayo ni -ufuta -mbazi -korosho Bei ya mazao hayo...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Heshima zenu wakuu. Siku za nyuma nilisikia kuwa kuna maeneo kigamboni wanalima matikiti maji (Watermelon). Kwa yeyote anayefahamu haya maeneo iwe jirani na DSM au iwe kigamboni kwenyewe ambapo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nilitaka kujua juu ya ufugaji wa samaki ghalama zake challenge zake kila k2 msaAda tafadhar
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Mkurugenzi wa halmashauri ya Malinyi, Mheshimiwa Ndimbwa (DED) akifanya ukaguzi wa mashamba ya wakulima yaliyopo kijiji cha Itete wilaya humo. Halmashauri imeanza kutoa mbegu bure kwa wanakijiji...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wajasilimali wa JF, swali langu ni simple. Nataka kukupa Millioni ishirini, jee utaziwekezaje? Masharti ni kwamba ndani ya miaka mitatu nataka nusu ya mtaji wangu, na asilimia 25% ya kampuni yako...
1 Reactions
88 Replies
14K Views
GARLICIDAL-Hii aina ya sumu itokanayo na vitunguu saumu+mafuta ya taa. Chukua v/saumu vikubwa 3, visage/vitwange kisha weka ndan ya mafuta ya taa lita 1 na uviache siku 2 kisha uchuje hayo makapi...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom