BIG UP for JamiiForums [ Jukwaa la Ujasiriamali & Jukwaa la Ufugaji na Kilimo ] Be blessed
Wakuu, tunawasalimu !
Tunapenda kutumia fursa hii kuwakilisha kile tunachoamini ni ‘mpenyo’ kwa wengine...
MTANZANIA ATAWEZAJE KUPATA
MKOPO?
Mikopo inatolewa kwa kila
mtanzania bila ya kuwepo na
ubaguzi wa aina yoyote huduma
zetu ni stahiki kwa kila mtanzania
ambae ni mjasiriamali,mtumishi
wa...
Wanajamvi habari za mda huu!!
Mimi kwa ufupi ni mhitimu stashahada ya ualimu 2015 .... Wadau baada yakumaliza chuo nimeingia mtaaani nimefundisha tempo nimefanikiwa kupata kiasi cha 1,500,000...
Mambo kwa Mara nyingine.
Kumfundisha Kuku tabia inawezekana na ina faida kwa mfugaji. Ntaelezea machache Mimi ninayo yatumia na yanipayo faida
Nilianza na Kuku wachache sana ila nilivyo itumia...
Wakuu salam
Nina project yangu ambayo mali ghafi kuu ni miwa.( sio sukari).
Project hii itafanyika Dar ambapo nataka kufungua small scale sugarcane juice ambayo inakua bottled.
Hivyo Nahitaji...
Annie Nyaga amefanya kitu ambacho kimebadiisha fikra za watu wengi hasa vijana wa kiafrika,na hii ilikuja baada ya jina lake kuchomoza katika orodha ya vijana mamilionea nchini Kenya wakati huo...
Hizi ni baadhi ya picha zinazoonyesha upekee wa Hifadhi ya ZIWA MANYARA ambayo :
1.Hifadhi pekee na maarufu sana ambayo Simba wake wanapanda miti. Aina hii ya Simba hupatkan ZIWA MANYARA pekee...
Hello JF,
The other day I posted that I was selling a dog for $2000 and the responses I got,well while some were appreciative others were down sarcastic but most of all misinformed about the dog...
Kuna matapeli wanajifanya wana kampuny ya kutengeneza incubator na kuuza na kampuni yenyewe ni pretty development for reduction nimatapeli msijiloge kuwatumia ela na wala msisumbuke kuwatafuta...
Ndugu wana jamii wenzangu najitokeza kwa mara ya kwanza kutafuta wateja wa asali na mafuta ya ubuyu.mimi naishi Dodoma nimeanzisha kampuni yangu nashughulika na ufugaji wa nyuki na zalisha asali...
Ni matumaini yangu kuwa wote muwazima hapa jukwaani, kinyume na hapo ni mipango ya Mungu.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nina long term plan nyingi kimaisha, lakini hili la kupanda miti...
Jamani wadau naomba kujuzwa hili. Jana katika kutafuta ndege aitwaye kanga ili nianze kufuga, nikakutana na hili; eti ukiwa Malaya kanga hawatagi na watakukimbia????
Nimeambiwa na mfugaji mzoefu...
HEBU CHUKUA KALUKUKETA YAKO, TUFANYE HESABU..!!
Eka moja ya shamba la papai inaweza kuingiza miche 1000-1200(elfu moja hadi elfu na mia mbili)-zile mbegu fupi. Tufanye umepanda miche 1,000. Mti...
Wakuu nimenunua springa kwa ajili ya umwagiliaji busitani yangu ila kila nikiweka kwenye pipe inavujisha maji tu na sio kurusha, tatizo itakuwa nn naomba msaada maana sijawahi kuitumia, naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.