Je unaogopa kuambukizwa na ugonjwa wa malaria ?
Ikiwa jibu lako ni ndio basi nakupa ushauri nasaha,, Fuga kuku !
Utafiti umebaini kuwa ,harufu ya kuku inaweza kukulinda dhidi ya maambukizi ya...
jaman wapendwa nataka kulima mpunga huko kahama,,lakn sijui nianzeje kwa gharama kias gan,sjui muda wa kupanda na kuvuna,lbei ya mbegu kwa heka moja.naomba msaada
kwa
mawasiliano
0769586126
Wadau,
ktk pita pita yangu mashambani nilikutana na kisa hiki ktk picha,baada ya kuwafumania wafugaji jamii ya kimasai wakiwa wameingiza ng'ombe ktk shamba la mkulima ktk kijiji cha...
Wadau habari!narudi tena jukwaani kwa wale ndugu zangu wajasiliamali na wote ambao wana idea juu ya soko la pili pili mbuzi kwa ndani ya nchi na nje ya nchi pia kama itawezekana,kwa yeyote mwenye...
Wakuu nashukuru kwa mada mbalimbali humu jamvin kiukweli nimepata faida nyingi tangu nijiunge hapa. na sasa nimekuwa mkulima mzuri wa zao la tikiti maji ,nimefanya hivi zaidi ya mara mbili na...
HII ITAKUSAIDIA NDANI YA MWAKA MMOJA UTAANZA KUISHI BILA KUTEGEMEA MSHAHARA WA MWAJIRI.
Tunasema "fire your boss" ....kipato kinapokuwa kidogo au mshahara ukaisha huku mkononi bado umeshikilia...
Za miangaiko ndugu zang
Mm ni kijana Nina miaka 21nasoma APA Mosh na nna kaa APA Arusha
nataka nianze ufugaj wa kuku APA mkoani Arusha nataka kufaamu wap ntapata kununua kuku namaanisha...
Habari? Ndugu zangu mliopo makazini,mijini au wenye fedha kiasi ambao wanapenda kujishughulisha na shughuli mbalimbali ili wajiongezee kipato.
Kuna watu wanafanya kazi hawana muda...
Ninashida na kuuliza Dawa ya wadudu nipo ktk shamba la matikiti nahitaji kubadilisha Dawa baada ya Kuona Dawa nitumiayo haina madhara kwani wadudu wana endelea kula niche yangu
Sasa nimeadhimia...
Habar wadau,
Ninatafuta MTU ambaye ni mwelevu,mwaminifu na mwenye kkujituma ili tulime nae kitunguu hheka nne.shamba zipo nzur sana ambazo zinauhalika WA kutoa gunia si chini ya gunia 80 kwa...
Habari wana jamvi.
Naomba msaada kwenu,nyumbani kwangu kuna sisimizi wengi sana, nimejaribu kupulizia dawa,ila bado wanarudi tu, naomba msaada kwa yeyote anayejua dawa ya kuwaangamiza au suluhisho...
Habari Wanajf?
Kwa yeyote mwenye knowledge ya kilimo cha vitunguu maji tushauriane juu ya namna bora ya kulima zao hili
Ningependa kufahamu mambo yafuatayo:-
Aina ya udongo
Aina ya mbegu
Mbolea...
Habari wadau,
Nimeamua kujiajiri katika kilimo cha mboga mboga, lakini napata changamoto ya maji.
Naomba mwenye uelewa na hizi pumpu za maji za ardhini anipe mwanga wa gharama ya pump na pia ina...
Hallo ndugu naomba kujua ili niweze sajiri lasimi kikundi cha wakulima nifanyeje hatua zake, inachukua muda gani, gharama yake hadi kumaliza ni kiasi gani, vitu vya muhimu inavyobidi niandae...
Mara nyingi sana nimekuwa nikitembelea jukwaa hili. Ninachokuja kukiona ni kuwa thread nyingi ni za kufikirika na hazina uhalisia.
Mimi binafsi nataka nijiingize katika kilimo lakini nashindwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.