Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Wajasiriamali wezangu, nimenunua Kuku tetea wa kienyeji ambaye amenivutia kumfuga,ila fuko lake la chakula limejaa toka Jana kiasi kwamba anapata shida kugeuza shingo,na ameanza kutochangamka. Je...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu naombe mnijuze faida za ufugaji huu wa kisasa wa kuku wa mayai kwenye cages! Nimekuwa mfugaji kwa muda kidogo ila tatizo ni kuku kudonoana, nimesikia ufugaji wa cages unamaliza kabisa hilo...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Mkuu, mambo vipi? Naomba ushauri wako. Kuna eneo naweza kupata Kibondo (Kigoma), nahitaji nipande miti ya mbao. Nimeambiwa miti hii inastawi Kibondo. 1)Acrocarpus (2)Casuarina spp (3)Cedrela...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Heshima kwenu ndugu zangu.. Me napenda kuuliza hivi siwezi anza kulima vitunguu kipindi hiki..? Kuanzia mwezi huu
2 Reactions
50 Replies
11K Views
Habari wana jf, katika kukimbizana na maisha ninampango wa kulima mbaazi na choroko mkoani mtwara, zinastawi sana. nipo katika mchakato wa kujua soko/wanunuzi wakubwa hapa nchini ili niwe na...
0 Reactions
49 Replies
21K Views
Ni kikundi cha watanzania ambao wamemua kutengeneza mtandao wa masoko kwa bidhaa za kilimo ambao utapunguza kwa kiwango cha juu utapeli wa madalali ambao Leo hii wanachukua asilimia 40 Ya mzigo...
6 Reactions
25 Replies
6K Views
Mimi ni mfugaji mdogo kitu kinacho niumiza ni aina gani ya chakula natakiwa niwapatie vifaranga. *naitaji kufahamu magonjwa ya Kuku na dawa ambazo natakiwa niwapatie vifaranga...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za leo wadau wa JF.. Kwanza niwape pongezi wadau wote kwa ushirikiano na michango yenu mnayoitoa kila siku. Nilikuwa naomba kuuliza kama kuna mdau yeyote anawafahamu watu ambao...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Inakuaje bibi kule kijijini asiyejua kusoma wala kuandika anaweza kufuga ng’ombe na kuku kuliko ‘msomi’ mwenye digrii ya mifugo anayelia njaa na hajui nini cha kufanya? Inakuwaje mmachinga darasa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi naomba msaada wenu nimepata mkoponwa Tsh Milion10 na ninataka kufanya biashara na kuweza kurudisha iyonpesa haraka. Je nifanye biashara gani ambayo itaniingizia fedha za alaka...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Kwanza habari zenu wanajamvi Kiufupi mim ni kijana baye nimeajiriwa na kwa sasa nalipwa kama laki 2 kama takehom yangu sasa kwa jinsi maisha yanavyokwenda nahisi laki hizobhazinitoshelezi kufikia...
4 Reactions
48 Replies
10K Views
Habari wataalam wa kilimo.. Naomba msaada kwa mwenye utaalam wa kuchora mifereji kwa ajili ya kumwagilia shamba... Nipo mkuranga pwani.. Mwenye uzoefu tuwasiliane ntamlipa..
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu wote! Mimi ni kijana wa kiume mwaminifu, mtulivu na mwenye kujituma nimemaliza mwaka jana chuo (2015), bachelor degree of science in food science and technology nipo kwenye...
0 Reactions
1 Replies
848 Views
Wapendwa wana jamvi wenzangu habari za majukumu?.Ninaomba yeyote mwenye utaalamu wa Teknolojia ya kutengeneza WINE YA NDIZI,Anisaidie kupitia JF.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wana jf ninaomba mnisaidie athari kuu tano za mazingira na changamoto tano unazoweza kuzikabili katika utekelezaji wa shughuli za mazingira
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za jioni ndugu zangu,mimi ni kijana wa kiume naishi arusha,naomba ufafanuzi juu ya kilimo cha matikiti maji,naomba kujua mfumo sahihi wa kilimo hichi,gharama zake,ardhi na hali ya hewa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari Wataalam Nampango wa kuanzisha mradi wa kuku wa kienyeji hasa nikijikita kwa mazingira nilionayo. Ila nilitamani kufuga angalau kitaalamu, sio ili mradi nimewaweka tu nyumbani. Kwa wale...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Vifaranga wangu wanavimba vichwa sehemu za jicho kwa mwenye utaalam anisaidie huu no ugonjwa gani na tiba yake ni ipi
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jamvi nilikua nina shida ya kupata elimu kamili ya kuku wa kisasa wa mayai na sehemu naweza kupata mbegu bora ya hao kuku iliyo imara Na kama kuna thread yoyote ya kunisadia zaidi nitashukuru
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Jinsi ya kuandaa viota vya kuku Kuku anapotagia porini, mayai huliwa na wanyama kama vile nyoka na wengineo. Kuku pia anaweza kudhuriwa na wanyama hao na wakati mwingine kuibwa. Viota ni mahali...
0 Reactions
0 Replies
8K Views
Back
Top Bottom