Si kazi ya wanawake tu kama ilivyozoeleka hapo awali, bali ni kwa msaka pesa yeyote aliye serious na kazi yake.
Nilihudhuria mara kadhaa ktk semina za fani hiyo pamoja na vinginevyo, na baada ya...
Poleni na mapambano na mikikimiki ya uzalishaji kama ilivyo utamaduni wa wanajukuaa hili( ijapokua kule Japan mtu anayapambana haambiwi pole bali anaambiwa pambana au kazana)
Naomba kujulishwa...
Ndugu wanajamii, nimeshawishiwa mara nyingi na rfiki zangu ili niingie kwenye biashara ya forever living lakini kila nikijaribu kufanya uchunguzi sipati picha kati ya namna biashara inavyoendeshwa...
Naomba kwa anayejua anifahamishe! Uwa wananza kutaga kwa muda gani.. Na kuku mmoja anataga mayai mangapi kwa siku!... Pia kuhusu chanjo zao dhidi ya magonjwa!.. Msaada wana JF.
Habari za Leo wanabodi? Ninaamini JF ni kisima cha utaalam. Ninaomba kueleweshwa namna ya kuanzisha kilimo cha greenhouse. Pia gharama zake, upatikanaji wa vifaa na pembejeo kwa hapa Tanzania...
Habarini wana Jf, Napenda kuwakribisha watu wote ambao wanahitaji kupimiwa viwanja vyao kwa gharama nafuu ili kuongeza thamani ya viwanja vyao, kwa yeyote aliye atakaye hitaji tafadhali aniPM...
Wana jamvi,
Hebu tulitazame na tulijadili jambo hili, mwaka huu nilifanikiwa kulima kama eka 2 za mpunga, na nimefanikiwa kuvuna gunia zangu 50.
Sasa wakati nasafirisha mazao yangu hayo kutoa...
Nataka nianze ufugaji wa kuku wa kienyeji mwakani ntakapo maliza elimu yangu.
Je naanzaje anzaje na mtaji upi unahitajika katika kufuga kuku wa kienyeji pia malezi yao yanakuaje
Habari wanaJF,
Naomba mwenye experience na usafirishaji wa mazao kwa kukodi gari ni shiling ngapi mfano toka Morogoro kwenda Dar?
Na pia inawezekana kusafirisha mazao kama matikiti fuso nzima...
NJIA YA KUWA NA MAISHA BORA
Njia moja ya uhakika ya kuwa na maisha bora ni kuyaelewa maisha kwanza. Bila ya kufanya hivyo utateseka sana na maisha haya.
Bila ya kuelewa maisha kila mara utasema...
Habari watu wa jamii forums, katika kuperuzi mitandao nikaona kwenye mtandao wa youtube ufugaji wa kuku wa kisasa kwa kuwaweka kwenye cage, yaani ufugaji huu ni wa ufanisi wa juu kweli.
Hata kuku...
Habar ndugu wana jamii,
Naombeni mawazo yenu nahtaj kuanza kilimo cha matikiti maji kule mikese Morogoro, mwezi huu wa sita! Nifanye nini ili niweze kufanikisha malengo yangu
Msaada jamani
Tips to getting more eggs from your chickens
So you think your chicken aren’t laying well? Maybe they’re not. Laying eggs is a daylight sensitive business. Commercial egg production uses...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.