Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Mimi ni mdau wa kilimo, naomba mwenye uelewa na kama picha ipo tupia hapa, lengo la kuanzisha maada ni kurahisisha kupatikana kwa taarifa muhimu kuhusu water pump hivyo inaweza kuhamasisha vijana...
1 Reactions
17 Replies
10K Views
Jamani naombeni Ushauli, nianzie wapi nataka kuanza kilimo cha miti mkoa wa morogoro..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu nimefarijika sana kutembelea site hii ya kilimo! Mimi nimekuwa natembelea sana jukwaa la siasa na lazima niseme ukweli ilifika kipindi nikaachana na jamii forums. Leo nimefarijika sana...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
GHARAMA ZA UENDESHAJI WA GARI - APRIL 2012. Watu wengi wemekuwa na mtazamo kwamba gharama ya uendeshaji wa gari linapotembea ni mafuta yanayotumika tu. Gharama za uendeshaji wa gari...
10 Reactions
27 Replies
9K Views
Ndugu wanajamvi nimekuja kwenu naombeni msaada wa jinsi ya kuchanganya chakula cha kuku wa nyama kwani napata shida sana kutoka kwa wauzaji kutokana na bei zao kuwa juu mara kwa mara.
0 Reactions
27 Replies
28K Views
Ndugu zangu naomba mnisaidie kama mnawajua vijana wachapa kazi wanaoweza kufanya kazi ya palizi kwenye shamba langu la nanasi ambalo lipo Bagamoyo, Fukayosi. Nahitaji kufanya palizi kabla ya mvua...
2 Reactions
21 Replies
7K Views
Habari za leo wana jamvi, Mamlaka ya Hali ya Hewa imetoa tamko/ kama sio tangazo la kuwepo kwa mvua nyingi sana kwa kipindi hichi cha Vuli kinachokuja, nadhani ni Oct - Dec flani hivi... Sasa Nina...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Wafugaji wa kuku ninaomba msaada wa haraka kuku wangu wanateketea. Naomba mnisaidie tiba ya ugonjwa wa kwenye picha
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana-JF naomba msaada, nahitaji sana automatic incubator yenye uwezo wa mayai 96, pia kama kuna muuzaji tutazungumza.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wanjamvi habari zenu... Kutokana na ukakasi wa maisha nimeamua kujiajiri katika kilimo naomba msaada wa kupata eneo zuri la mazao ya nataka ambayo nimewaza kuwa na ya kusambaza nafaka katika...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mimi ni kijana miiaka 27 muajiriwa nina uzoefu katika fani za accounting, sales na marketing nipo Dodoma. Nishafanya biashara zangu binafsi nyingi tu ikiwa kilimo, restaurant na huduma za usafi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Watafiti wa Mbegu nchini wamebaini kuwepo kwa aina 800 ya mbegu za ngano, huku baadhi ya mbegu hizo zikiwa na uwezo wa kustawi hata kwenye maeneo yenye joto kali hadi nyuzi joto 40, na kufanya zao...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nauza mbegu za mbogamboga za majani jumla na lejaleja, 1.mbegu ya majani ya maboga. 2. mbegu ya figili. 3. mbegu ya mchicha(super lishe) &)(lishe)
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Vyombo vya serikali na mamla husika chukueni hatua Mimi ni mdau mkubwa kwenye zao la ufuta na nimekuwa nafuatilia sana zao hili kwa muda sasa. kwanza nianze kwa msimu uliopita. Mwaka jana kiasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naomba kujua kuhusu utaratibu wa kuwatumia maafisa Mifugo wa serikali. Je wakija kunitibia Mifugo yangu natakiwa kuwalipabei gani?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Natoa ushauri kuhusiana na ukulima wa mazao mbalimbali pia usimamizi wa shamba kuanzia kuandaa shamba kupanda mpaka hatua ya uvunaji pia kuchukua rekodi ya ukuaji wa mazao yako lima kwa faida...
1 Reactions
29 Replies
6K Views
Habari wanaJF niliamua kurudi kwenye uti wa mgongo wa mtanzania na sasa navuna na ninauza vitunguu maji vyekundu(fresh red onion). Kama unaitaji niibox kwa maelezo zaidi.
0 Reactions
38 Replies
20K Views
Mimi ni Mtanzania mjasiliamali mchoraji wa nembo (logo). Hapa nakuonesha baadhi ya kazi ambazo nimewafanyia wateja mbalimbali kutoka nje ya nchi katika kipindi kifupi. Hii ni changamoto kwa...
1 Reactions
53 Replies
8K Views
Urbun Food Project ni aina ya mradi ambao unamanufaa kwa wakazi wa mijini.Nivyema tukatumia maeneo madogo tuliyonayo kuzalisha chakula salama na kwa tija pia.Lengo ni kutumia maeneo madogo ya...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
HABARI wanajamvi, Napenda kujua juu ya mazao ya uvuvi nchini mwetu. Tuna maziwa, tuna bahari lakini cha ajabu hatuna fishing industry tunaishia kuwaachia exploiters mali na sisi kubaki tukila...
0 Reactions
0 Replies
636 Views
Back
Top Bottom