Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Ndugu habari za mihangaiko.. Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye nia ya kuona kila mmoja wetu anafanikiwa ktk malengo au kusaidiana ktk ajira ndogondogo. Tafadhali natafuta kijana mwenye ujuzi na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za sahizi. Natafuta watu wanaoweza kuniletea zao la dengu kwa kiasi chochote kinachopatikana. Pia tunaweza kufwata uliko. Kama kuna mtu unamfahamu tafadhali wasiliana nami tuongee vizuri...
0 Reactions
1 Replies
851 Views
Habari zenu, nlikuwa naomba kujuzwa kwa mwenye ufahamu juu yq maabara za mifugo kwa hapa Dar, mahali zilipo. Natanguliza shukran zangu
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa,naomba kuuliza kwa yeyote anaejua upatikanaji wa maharage ya kijani (french beans/green beans) hapo bongo.hapa nilipo nayaona yanakuja kutoka kenya,hivyo nahisi hata bongo...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Nimefanikiwa kupata kianzio cha vifaranga vya kuku wa kienyeji ambao nimewakusanya kutoka sehemu tofauti tofauti. Shida yangu ni moja tu muongozo wa jinsi ya kuwafanya wakue vizuri. Nina banda...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habarin ndugu zangu me ni mfanya biashara nafanya biashara ya nafaka na kukufikia popote ulipo na pia kwa ushaur wa biashara ya nafaka pls contact me thru +255719553454/ +255787607207 /...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu naomba kufaham kwa anaefahamu, Kama utapanda kitaalamu kwenye heka moja kunaingia mashina mangapi ya muhogo?
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nataka nilime mboga mboga nnje kidogo ya jiji la Dar es salaam kisha soko liwe maeneo ya Dar, kwa wazoefu naomba ushauli na maelezo juu ya kilimo hiki cha mboga kama mchicha, chainizi, na majani...
4 Reactions
0 Replies
3K Views
WAKUU HIVI KUNA UWEZEKANO WA KUWA NA KUKU AMBAYE ANAWEZA KUWA MTETEA BAADAE AKAJA KUWA JOGOO KAMA HUYU KWENYE VIDEO
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hellow JF members,Mimi ni mwajiriwa wa kampuni binafsi..kiukweli nimejibana bana hadi nimenunua shamba (Ingawa ni dogo) heka 2,plan yangu ni kulima mahindi na kufuga kuku wa kienyeji,hivyo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
siku chache zilizopita nilienda pale Balton (njia ya Coca cola Dar) kufuatilia agricultural inputs mbalimbali, bahati nzuri nilikutana na mzee mmoja ambaye tuliongea mengi sana. Mojawapo ya kssue...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
Mkuu, mambo vipi? Naomba ushauri wako. Kuna eneo naweza kupata Kibondo (Kigoma), nahitaji nipande miti ya mbao. Nimeambiwa miti hii inastawi Kibondo. 1)Acrocarpus (2)Casuarina spp (3)Cedrela...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau za wikiend? Nina shida naomba msaada wenu please, Hivi karibuni nimeamua nami kufuga kuku hapa nyumbani kwangu kwa ajili ya kujiongezea kipato pia hata kula nyumbani. Kwa kua ndio mara...
7 Reactions
14 Replies
9K Views
Ndg wanajamvi, natumai hamjambo. Ninahitaji mshauri katika mambo ya kilimo cha umwagiliaji. Contact me via inbox. Karibu na asante sana, Josam
0 Reactions
14 Replies
5K Views
mwenye kujua bei ya Walter pump please
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kama kichwa kinavyoeleza....natafuta hiyo kitu kwa ajili ya kuwapa ng`ombe uli wawe wanafanya metabolism kwa haraka....mwenye info zaidi ani pm.....thanks
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi kwani huyo kiongozi ama waziri ama mkurugenzi wa Wilaya alikuwepo wakati unaandaa mpango wako W Biashara?! Ndugu wakulima na Wajasiriakilimo wenzetu naomba tuamke tujue biashara zetu...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, heshima kwenu na Heri ya Mwaka Mpya! Ni ukweli usiopingika kuwa wengi wetu tunakwama katika jitihada zetu za kutaka kujikwamua kupitia Ujasiriamali hususani katika shughuli za Kilimo na...
3 Reactions
12 Replies
10K Views
Kwa wakazi wa Dar naomba kujuzwa nitapata wapi water sprinklers kwa ajili ya kumwagilia shamba la 10 acres, nazingatia ubora zaidi. Asante
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom