Habari ndg wanajamiiforum,
Nani anapajua Kitomindo vizuri? Na je mazao gani yanastawi maeneo yale kando mto Ruvu?
Mwenye idea anieleze jamani nimechoka kukaa town naangaika na ajira za...
Mashirika yaliyochini ya mwamvuli wa mtandao wa AgriProFocus, yanaandaa Jukwaa la vijana lenye lengo ya kuhamashisha vijana kuingia kwenye kilimo biashara kwa kuwakutanisha na fursa mbalimbali...
Habari wadau,
Nashukuru Mungu aliniwezesha kupa shamba la ekari 20 maeneo ya mtibwa morogoro. Kwa muda wa miaka 5 nimekuwa nikilima Kilimo cha kutegemea mvua niliwahi kupata mwaka juzi tu mazao...
Za asubuhi ndugu zangu, natumaini mmeamka salama,
Mimi ni kijana wa kiume nahitaji ushauri wa kitaalamu kuhusu kilimo nahisi ndo kitu ambacho kitanifanya nifikie malengo yangu, nimeajiriwa lakini...
Kilimo Cha Tikiti.
Je unataka kujitunza kuhusu kilimo cha matikiti? wasiliana nasi kwenye Whatsapp namba 0683556677 Kwa ada ya shilingi elfu mbili tu uweze kuunganishwa kwenye group. Kumbuka ada...
Wakuu habari
Kwa anaehitaji shamba kwa ajili ya kupanda miti mkoani iringa wilaya ya mufindi mashamba yapo yanapatikana kwa bei 130000 mpaka 120000 kwa ekari moja kutokana na eneo shamba...
Wakuu habari ya leo,
Naomba anayejua au aliyenavyo vitabu vya kilimo cha.
-kitunguu
-nyanya chungu
-Pili pili
Anielekeze vinakopatikana au ani PM tuongee Biashara kama anavyo
Wadau kutokana nauzoefu niliopataka katika biashara ya kupanda miti. Ni nzuri zaid watu wakajiunda kwenye kundi then wakanunua Shamba nakupanda. Nirahic kwenye management nainaitaji mtaji mdogo...
Habari zenu?
Nahitaji Asali halisi (original honey) ambayo haijawa haijachakachuliwa iwe ya nyuki wa kubwa hata wadogo itanifaa pia.
Nahitaji kununua lita moja ila kuna uwezekano wa kuhitaji...
Naomba kujua heka moja inatoa gunia ngapi za shairi????
Na je bei ya shairi kwa sasa sokoni ni shilingi ngapi kwa gunia???
Pia bei ya kitunguu saumu sokoni ni shilingi ngapi kwa gunia...
Habari wana JF! Nafikiri wengi tutakuwa tumeona katika maeneo mengi ya nchi hii watu wakusanya vyuma chakavu na plastiki kwa ajili ya kurecycle na kutengeneza vitu vilivyo bora zaidi...
nimelima mpunga huko katavi mpanda ekari kama 10 pia ninataraji kununua mpunga ili nihifadhi bei ikipanda nauza lkn juzi nilikuwa naongea na jamaa yangu mmoja akaniambia kuwa kuna uwezekano...
Niko mkoani Iringa, naomba kufahamishwa wapi nitapata mashine tajwa hapo juu kwa ajili ya kutotolesha mayai. Ninahitaji automatic, electronic. Nahitaji kitu genuine na cha uhakika.
Mbwembwe sitaki
Serikali ya kibongo sijui ni lini itamthamini mkulima.
Wana JF nimepima zali la kulima ufuta ila nashukuru Mungu anasaidia unaendelea vizuri.
Ila mashaka yangu ni bei tu sijui itakuaje mwaka huu.
Incubator Yenye Uwezo Wa Kutotolesha Mayai 48 Inauzwa Mkoani Geita ... Bei Ni Sh. 350000/= Tu ... Kwa Yeyote Atakayehitaji Wasiliana Nasi Kupitia Simu Namba : 0766922108 au 0656721710
Shalom wakuu.
Naomba kuuliza juu ya mbegu za matikiti. Nimeelezwa kwa ufupi sana juu ya mbegu inayoitwa "Mwananchi". Nimeambiwa inakubali sana maeneo ya mto Ruvu.
Naomba nipewe darasa juu ya...
wasalaaam!
Ndugu zangu nilikuwa naomba wenye uelewa na Hii biashara ya kufuga Mbwa haswa German shepherd na Doberman kwa ajili ya SECURITY inaweza kulipa......
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.