Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habari wanaJF, nimefungua website mpya ya maswali na majibu kuhusu kilimo na ufugaji. Tembelea KilimoUfugaji .Karibuni wote tusaidiane kuelimishana kuhusu magonjwa ya mimea na wanyama
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Heri kwenu wanabodi, Niseme kuwa mimi ni mwalimu mtarajiwa ninayesuburi ajira hivi karibuni, kwa kuwa kuna hali ngumu ya maisha siku hizi hatuwezi kutegemea ajira tuu pekee, nikiwa pia kama...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Anaehitaji mzigo mkubwa wa asali iliyo bora isiyo na mchanganyiko wowote wa madawa inapatikana. Ni PM
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji msaada wa kufahamishwa bei ya gunia la mpunga toka Kyela kipindi hichi tunachoelekea kwenye mavuno
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu naomba mnifahamishe sehemu gani kwa hapa Dar ambayo nitaweza kufanya vipimo vya udongo wa shamba langu tayari kwa ajili ya kilimo. Msaada wenu tafadhali.
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu mfugaji/msomaji, ninahitaji mayai ya bata mzinga kama 15 hivi ambayo yanafaa kwa uzalishaji Kwasasa nipo dar kama unayo tafadhali ni PM Asante
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa mwenye kujua, naomba aniwezeshe kujua wauzaji wa Jumla wa vichanganyio vya chakula cha kuku. Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku, nataka kununua vichanganyio kama vile Mashudu, Mifupa, chokaa kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa ,mi ninatafuta mbengu aina mbalimbali za mazao kama Mbengu za maboga bamia choroko kunde zile nene pilipili mbuzi nyanya za kienyeji mchicha aina ya supalishe nyeupe na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu naombeni mawazo na ushauri wenu, mimi sio mtaalam wa kilimo nimekuwa nalima kienyeji kwa muda sasa, lakini sijapata faida ya kilimo kama ninavyosikia kwamba kilimo kinalipa kama wengi...
3 Reactions
35 Replies
12K Views
Unasimu? Unatumia simu? matumizi yako ya vocha yanazidi au kukaribia 10,000 kwa mwezi? Je umejiuliza ni kiasi gani umeichangia mitandao ya simu? imewahi kukulipa hata sent moja? jibu ni...
2 Reactions
47 Replies
7K Views
Habari wanajf, nahitaji kufanya biashara ya kutengeneza na kuuza chaki naombeni kujuzwa chochote mnachofahamu kuhusu biashara hii. Natanguliza shukurani zangu
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu mwana JF.Habari hii ni njema sana. Katika hoteli ya Canivore Arusha tarehe 9 na 10 mwezi wa 4 kutakuwa na mafunzo mazito yatakayotolewa na ENKISUMA TRUST FUND.Mafunzo haya ni ya ujasiriamali...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mafenesi yamekuwa dili Dar kila hatua mbili kuna kitoroli wanachambua na kuweka kwenye vikombe vya plastic yaelekea biashara nzuri. Ila kama vile usafi tatizo wenye u juzi watujuze
0 Reactions
1 Replies
2K Views
We ni mfugaji na una swali lolote la kitaalamu linakutatiza uliza. Asante.
2 Reactions
64 Replies
11K Views
Habari za majukumu. Naamini kila mmoja anafanya vyema. Ni kiasi kinafaa kwa kuanza kilimo cha mboga kuanzia mbegu hadi madawa hadi kuvuna. Nahitaji kuanza kilimo cha mbogamboga. Bado sijapata...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wana JF kama critical thinkers naomba msaada wenu Ninataka kuchukua mkopo wa sh milion 25 benk ambao marejesho yake yatakua ni kupitia kukatwa katika mshahara kwa kipindi cha miaka mitatu. Tatizo...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Wakuu, Nina Shamba langu lenye ekari 40 maeneo ya mkuranga, Ninataka kusafisha jumla ya ekari 10 ili niweze kujenga mabanda ya mifugo na kupanda mazao machache. Ninaomba msaada mwenye kujua wapi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau wafugaji salamu zenu. Kuna mtu anahitaji kupata mayai ya kisasa kila siku trei 10. Kwa mwenye uwezo anitaarifu tafadhali. Mhitaji yupo Dar es salaam Kimara.
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau ni matumaini yangu mmeamka salama na mnaendelea kulijenga Taifa. Naomba msaada wenu kwa anayefahamu ni utaratibu upi unahitajika ili kuruhusiwa kuingiza mayai nchini toka nje ya Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Back
Top Bottom