Habari wadau. Naomba niulize kati ya kampuni hizi mbili yaani Selcom na Max malipo, ni ipi ina commission nzuri katika miamala yake? Na je zote zinafanya kazi sawa au kuna moja inazidi mwenzake?
Bilionea wa kibongo kupitia taasisi yake pamoja na kampuni binafsi inaitwa Darecha Ltd(micro venture capital firm) wameanzisha shindano la idea za biashara kutoka kwa kampuni/sole traders...
Habari wataalam, nina kuku naisi kawa kipofu gafla ila ana vidonda vyovyote kwenye macho sijui ugonjwa gan umemkuta na mm sio mtaalam kabsa haya mambo, naombeni msaada wa haraka maana kuku...
Habarini wajasiriamali.
Niende Kwenye mada Kabisa.
Mimi ni mwalimu kijana Mdogo,
Na ni Mchanga Katika kazi ambaye sijatimiza Hata mwaka Mmoja kazini hapa Bagamoyo.
Pamoja na majukumu na...
DEO AGRO COMPANY
Ni kampuni mpya ambayo inajihusisha na mambo ya kilimo, kwa sasa imeanza na kilimo cha cha mbogamboga na matunda, kwa kua ndio imeanza imekodi hekari sita kwa miaka mitatu na...
Heshima kwenu wanandugu
Nina shamba nataka nioteshe yale maembe na mapapai ya kisasa yanayozaa yakiwa chini kabisa ila naomba kufahamu
1~Ukubwa wa mashimo
2 aina ya mbolea ya kuoteshea
3Huzaa...
Habari Zenu Wadau wa Jamii Forum!
Mimi ni Mkulima na Mfugaji wa Kuku.
Sasa mazao yangu ya kuku pamoja na Matunda yapo tayari ,natafuta soko.
Matunda nina Ekari Tano Approx Matunda 15,000 na...
Ndugu wananchi,
Ufugaji wa kuku ni biashara kubwa ambayo imewatajirisha wafugaji na wengi wao sasa ni matajiri wa kutupwa. Kwa mtu yeyote anayetaka kutajirika kupitia ufugaji wa kuku, naomba...
Heshima mbele wadau.
Naona kuna vijana wengi waliosomea kilimo na biashara wanahangaika kutafuta kazi kwa miaka mingi bila mafanikio. Nimeamua kuanzisha kazi ya kilimo mchanganyiko cha mboga...
Habarini wadau.
Nahitaji vifungashio vya mafuta ya nazi vilivyo na ubora wa hali ya juu ili kukidhi masoko ya ndani na nje.
Mawasiliano yafanyike katika usi huu.
Liko Tabata segerea..
linachukua kuku 400 wa nyama ...
au kuku 200 wa mayai..
limetengenezwa kwa ghorofa 4 kwa utaalamu wa hali ya juu kwa kutumia vipande vyepesi vya mbao na nyavu...
Mwenye nalo...
Habari wadau kwa wanaohitaji kuku wa kienyeji dar wapo 40 mitetea wakubwa kabisa wanataga majogoo 10 kwa sasa bei ni 14000 kila mmoja aliye serious anicheki hapa 0674522382 karibuni
Habari Wapendwa.
Napenda kuwataarifu kuhusu Mafunzo ya ujasiriamali kwa wakazi wa mkoa wa DODOMA
Darasa litahusika na mafunzo ya kutengeneza sabuni za mche, sabuni za unga, sabuni za maji na...
USIFANYE BIASHARA KAMA HUNA YAFUATAYO.
Sipendi kukuambia nini usifanye, kwa sababu ni hasi. Napenda kukuambia ni nini ufanye, ili iwe rahisi kwako kufuata vizuri.
Msisitizo unahitajika zaidi ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.