Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Wakuu mambo vipi? Nilikuwa nauliza Pangani kuna fursa gani za biashara ambazo bado zipo empty au hazijawa occupied sana?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wadau naomba kufahamishwa usalama wa hiki kikundi cha kukopesha watanzania cha focus vicoba, Je kuna mtu yeyote amefanikiwa kukopeshwa na kuendana na masharti yao ? Wadau hebu angalieni...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Habari yenu JF members, Tunatafuta wateja wa jumla wa samaki wabichi aina ya sato na sangara kutoka Mwanza. Sangara wanaukubwa wa kuanzia 50cm na Sato 25cm. Pia tunatoa na hudumu ya kusafirisha...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mimi ni mjasiriamali natafuta ushauri na connections na wadau wanaojihusisha au wenye uzoefu na biashara ya supply and demand ya viwanda vya mifugo. Yoyote mwenye interest tafadhali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta mtaalamu wa kufuga kuku wa mayai na jinsi ya kujenga mabanda yao Naomba anionyeshe Cheti cha utaalamu huo. Mawasiliano 0713 689665
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mimi ni mjasiriamali natafuta ushauri na connections na wadau wanaojihusisha au wenye uzoefu na biashara ya supply and demand ya viwanda vya mifugo. Yoyote mwenye interest tafadhali...
0 Reactions
0 Replies
862 Views
Please naomba kama kuna mtu anajua sehemu ya kutotoleshea mayai hapa DSM town tuwekee contact details hapa shukran
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nina wazo la kuinvest kwenye mashamba ya miti ya mbao au milingoti, mwenye uzoefu kwenye sekta hii naomba ushauri namna ya kuanza, gharama za mwanzo hasa kwa anaenza small scale maeneo ya iringa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa anaehitaji vitunguu ananichek, ni kama gunia 50 red onions nipo moshi vimekomaa vizuri shambani tayari kwa kuvunwa, Mawasiliano 0767525054 bei maelewano.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ninauza mchele kutoka mbeya kwa kilo sh. 1900, kuanzia kilo 100. Mwenye kuhitaji tuwasiliane kwa namba 0713564994. Mchele upo sinza.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Updated. KWA ANAYEHITAJI KIKOKOTOZI CHA HESABU ZA UFUGAJI WA KUKU BASI AWASILIANE NAMI 0752 693 692 Utapewa Bure 1. Kukokotoa kwa uhakika kiasi cha chakula kinachohitajika na kuku kulingana...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Habari wana jf.....? Mm ni mfanyabiashara kutoka mwz nimekuja dar kutafuta masoko ya samaki wamaji baridi sato na sangara. Kutokana na mm yakutokuwa na nanafasi yakufanya hiyo biashara kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mwanasaikolojia Anti Sadaka amewafunda wanawake wa Zanzibar wanaoshiriki mafunzo ya ujasiriamali ya kujikita katika biashara ya Vipodozi vya LuvTouch Manjano. Mafunzo hayo yanaendeshwa na...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakuu, heshima kwenu. Mimi ni mjasiriamali niko Mwanza mjini, Natafuta Chumba cha kupanga Jijini Mwanza kwa ajili ya kufungua Mgahawa wa kuuza chakula. Kwa ambae anaweza kunisaidia kupata...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
UNICEF is inviting technology start-ups developing solutions with the potential to improve the lives of the world’s most vulnerable children to apply for funding from its recently launched...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini za humu wakuu moja kwa moja niende kwenye mada..... jamani sisi tupo watu tisa kwenye kundi letu kwa mwaka sasa tumekua lakini tumekua tukijaribu kufanya shughuli mbali mbali lakini...
0 Reactions
1 Replies
668 Views
Halo wakuu, kama heading inavyosema hapo, nina kuku wa kienyeji kama 150 hv, ambao ninawafuga nusu huria, yaan wako ndani ya fensi, so nawapa chakula ila pia wanajitafutia ndani ya huo uzio, kuna...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Salam Wanajamvi, Hivi hii kamata kamata ya pikipiki ina tija gani kwa serikali? Nina jamaa yangu huwa ni dreva bodaboda na huwa anaegesha pikipiki yake macho,na pia anafanya shughuli za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za leo wadau.. Kwanza poleni sana na misaada yenu mnayotoa katika kuelimisha na kutusaidia kwa namna moja au nyingine humu kwenye forum. Mimi nataka kuanza ufugaji wa bata maji aina ya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
3 Money Habits That Separate the Rich From the Poor It all starts with the same amount of money—just a different philosophy. January 30, 2016 Here is an exciting thought! Why not work full...
0 Reactions
1 Replies
848 Views
Back
Top Bottom