Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Kwa anaehitaji vitunguu, anicheki, ni kama gunia 50 red onions vimekomaa vizuri nipo Moshi. Mawasiliano 0767525054.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii niliipata kwenye Whatsup na nimeona bora niwashirikishe na WanaJF pia. LISTI YA FURSA ZA BIASHARA NA MIRADI 1. Kununua Mashine za kukoroga zege na kukodisha. 2. Kununua Mashine za kukata...
1 Reactions
2 Replies
5K Views
Mashine za fast food Oven ya gas , mashine ya kupondoa unga mashine za juice ya miwa , mmashine za shawarma nione kwa kamkumbe@gmail.com
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ukiitaj piga no 0712451923
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu ya kila siku. Naombeni kufahamu mkoa wa dodoma katika sehemu hizi 1. kilimo. Mazao gani yanalimwa mkoa huu. Ingekuwa vema utaje na wilaya linapolimwa zao hilo. Wateja wa...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wanajamvi, Kuna dada mmoja yupo kijijini anadai kadunduliza wee kafanikiwa kupata kiasi cha laki tatu (300,000). Anataka kwenda Dar akatafute biashara afanye ila hadi sasa hajajua ni...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Hizi nyimbo za kap John Komba naweza kuzipata kwenye website gani ?.
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Karibu wadau tunasambaza ubuyu wa zanzibar jumla kwa rejareja karibuni sanaaaa. Whatsap/call/sms 0712177449
1 Reactions
3 Replies
2K Views
natafuta MOTHER BOARD YA HP ENVY M6 SILVER. PLZ
0 Reactions
1 Replies
813 Views
Habarini wana jamvi , Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza naomba kusaidiwa kimawazo. Nilienda kwa ndugu yangu kumuomba anikopeshe fedha kwa ajili ya mtaji lakini kinyume na matarajio yangu, ndugu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SIRI YA MAFANIKIO YA KUWA TAJIRI. Hii ni siri ambayo nimekuwa nikiitumia katika maisha yangu binafsi na wengine wengi waliofanikiwa huitumia pia na imewasidia sana kufikia malengo makubwa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Msaada wenu waungwana, nikiwa hapa Dar naweza kuuza wapi madini km Almasi, dhahabu n.k naomba msaada wenu tafadhali kwani ni zaidi ya mwezi sasa sijajua nikauzie wapi mzigo wapu
1 Reactions
35 Replies
17K Views
Tunatoa huduma za ushauri juu ya uandishi wa research pamoja na data analysis... kwa mawasiliano zaidi tucheki kwa namba 0653218299
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Msaada wana jamvi. Nahitaji till numbers za tigo na voda lakin ziwe kwa majina yangu. Ninahitajika kuwa na nin na nini pia inachukua muda gan kuzipata. Mwenye mawazo tusaidiane...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wana jamii habari zenu, nafikria kufungua stationery office naomba wenye ufahamu wa gharama zake hasa photo machine, printer, compunter, nk aniambie natakiwa kuwa na mtaji kiasi gani, na...
0 Reactions
16 Replies
14K Views
Kwa mwenye kumfahamu Bibi/Bwana Shamba aliyebobea katika kilimo cha maembe naomba anipatie contacts za huyo mtaalamu. Shamba la Miembe lipo Dar es Salaam. Shukrani.
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wadau? Mie ni kijana nnaeanza ujasiliamali na nna fremu ya duka dogo sana ( kigoli) maeneo ya kkoo. Sasa nimenda kufuatilia tin pale Lumumba leo na kabla ya makadirio naambiwa kodi mil 2...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
How are you!? Namaanisha kwamba mtu ni mwajiriwa serikalini au sekta binafsi lakini anapenda kujiongezea kipato kwa shughuli za ufundi baada ya kutoka kazini. Naamini wazoefu mpo humu tafadhali...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wanaJF, Me nipo chuo mwaka wa 1 ila nimeanzisha mradi wa ufugaji Nguruwe na pia natarajia kuanza na kuku, bata, mbuzi, kondoo kwa ajili ya kufanya supply yangu kwenye mahotel na migahawa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu, Ninahitaji kuanza kufuga nguruwe pembezoni mwa Dar es Salaam hivyo kabla sijaanza nimeamua kuanza kuangalia bei za vyakula vya hiyo mifugo ili nipate picha ya gharama za uendeshaji...
0 Reactions
12 Replies
9K Views
Back
Top Bottom