Habari wajasiriamali,kama ulikuwa unampango wa kuwafanya bishara ya jumla ya vinywaji (bia) na huna creti za kutosha,sasa waweza kuwasiliana nami kwa manunuzi ya creti hizo.
Tuwasiliane...
Habari wanaJF wote,Heri ya mwaka mpya.
Mimi ni mjasiliamali natamani kufuga kuku wa kisasa na kienyeji kwa ajili ya biashara.
Naomba ushauri au msaada wa kupata namba ya simu ya group ya...
Habari wadau..naitwa neema ni mwanamke ambaye kwa sasa nataka kijishuhulisha kwa kilimo nimebahatika kununua shamba maeneo ya kibaha ..naombeni ushauri wenu wadau je kwa huu mwezi january naweza...
Hello JF
Well over the past holiday (x-mass & new year) nilipata chance ya kuzungumza na moja ya alie kua potential figure katika nchi yetu ila baada ya kustaafu sasa anajishughulisha na biashara...
Kwa anayehitaj huduma ya malazi arusha. Ninatoa huduma ya malazi arusha maeneo ya mbauda kituo cha buchadi. Vyumba vyote ni self contained,kitanda cha kisasa cha chuma,hetal ya maji moto kila...
Karibuni Bata Mzinga wakubwa, majike wanataga na madume wanapanda, jike laki 1 dume 90. Karibuni pia kuku choatara vifaranga na mayai. KARIBUNI WOTE. 0682169798 DSM!
Habari wana JF,
Natumaini mnaendelea salama,mimi n mwanamke ambaye nimebahatika kuwa na shamba langu Kibaha sasa nilikuwa nataka kulima.
Je kwa mwezi huu wa january naweza lima zao gan? Maji...
"There are two primary choices in life: to accept conditions as they exist, or accept the responsibility for changing them." – Denis Waitley
Katika maisha, mazingiara, biashara n.k kuna mambo...
Hello people
Msaada wa ushauri pls nimekuja na palm oil sample kutoka far East Asia na nintaka ku import kwa kiasi kikubwa, ni hatua gani ninapaswa kuzifata ili kupata kibali cha kuingiza kwa kua...
Amazing Things That Will Happen To You, If You Join The Team Now.
Green World Distributor.
It's as simple as this........Green World Distributor.
Distributors get rewarded for the right behavior...
Kampuni ya Edmark kutoka Malaysia yenyemakao makuu Masaki pangani street.tunauza virutubisho vya kupunguza unene,tumbo na kitambi.vimethibitishwa na TFDA kua havina madhara.
Mawasiliano...
Tafadhali kwa yeyote mwenye ufahamu wowote wa kuuza aluminium ikiwa pamoja na uzalishaji wa bidhaa zake kama madirisha, milango, meza, viti nk. Anishauri ili nijitupie humo kwenye hii mambo. Niko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.