Naomba ushauri kwa mtu yeyoye ambaye anajua biashara au mradi ambao unaweza kuingiza kipato kwa muda mfupi (mwezi mmoja mpaka 6) pasipo uhusika wa moja kwa moja (direct involvement). Gharama...
Hi wanaJF
naomba anaelewa bei ya vifaa vya kisasa vya saluni ya anipe mtiririko nataka mke wangu asikae nyumbani akatafute na yeye sababu ana uchungu na maisha bora.
Habari wanajamvi.
Nikiwa kama kijana niliyeamua kujiajiri mwenyewe kwa mtindo wa kipekee wa kuzifuata fursa.
Nimekuja jamvini ili nipate kujua RATIBA ZA MINADA HASA MAENEO YA PWANI kwa kuanzia...
Salamu wakuu
Kuna dogo mmoja nataka kumuwezesha apate fweza kidogo ya kujikimu. Nataka kumsaidia afanye biashara ya ku-refill wino wa printers na photocopy machines hapo kwetu Songea mjini. Ni...
Habari wakuu,
Katika kuperuzi mitandaoni nikaona kuna mabanda ya kisasa yanayoitwa chicken cages ambayo mayai hujikusanya yenyewe na kuyasafisha ni kazi rahisi.
Naomba msaada ni wapi wa...
Kwa mkazi wa Dar kwenye jua kali na uhaba mkubwa wa maji jaribu kutumia njia hii kuotesha miti kwenye eneo lako.
Chupa za maji ya AZAM LT 12 wanauza kati ya 2800 hadi 4000. Ukishayanywa maji...
Pata viwanja vilivyopimwa
Mailimoja Kibaha
3 Kilometa kutoka barabara kuu ya morogoro.
Vipo eneo la kilimahewa njia ya pangani.
Vimezungukwa na umeme, maji, barabara.
1square meter = 9500...
Habari wakuu,
Mimi ni kijana niliye chuo kikuu,baba yangu amenikatia eneo la eka 3 maeneo ya msata 100m kutok barabaran
Naomba ushauri wenu ni kilimo gani kinafaa maeneo hayo na ushauri wowote una...
Wanabodi naomba mnishauri.
Jana nilikuwa Kata ya Mwavi katika kijiji cha Mkenge wilayani Bagamoyo mkoani Pwani.
Lengo la mimi kwenda kwenye eneo hilo ni kutaka kununua shamba la heka 15 kwaajili...
Miezi michache iliyopita nilitaka mkopo kwenye kitaasisi hiki ambacho kiko sinza kijiweni karibu na Delux, maelezo niliyotoa mwanzo na aina yangu ya biashara yalitosha kabisa kuni disqualify...
Wakuu naomba ushauri zaidi, nna Tsh 5,000,000/= nataka kufanya biashara za simu za mkononi za bei nafuu kuanzia Tsh 30,000/= hadi 60,000/=kwa kuzinunua Kariakoo na kuziuza mtaani. Aidha sanjari na...
Naombeni ushauri wana JF nataka kufanya biashara ya kuuza mchele kwa jumla kutoka mikoani kuja dar, yoyote mwenye uzoefu na biashara hii mawazo yake ni muhimu sana kwangu.
Habari wana JF,
Kheri ya mwaka mpya wana jukwaa pendwa lenye maendeleo kwa kila anayepita hapa.
Mwaka huu nimedhamiria kufungua duka/fremu la vitu vya kila aina kwa jinsi zote( ke/me), lakini...
Natahitaji kufungua saloon ya kiume Arusha ya kawaida tu '' ECONOMY SALOON'' naomba ambaye anaweza kuniatia break down ya budget shilingi ngapi nitahitaji kuwa nazo ili saloon ifanye kazi kuanzia...
Wadau napenda kuwashilikisha katika uwekezaji wa miti na kujipatia utajiri Baada ya muda mfupi....miti inapatikana Kuanzia hekari 1 hadi 300 .nk..miti hiyo ni kama vile.....
(a ) miti iliyo...
Habarin Wakuu,Mim ni mkazi wa Msoma mjini,nataka kuanza biashara ya kuku wa kienyeji niwe naleta hapa msoma mjin nakuwauzia wachuuzi,napenda kujua kwa wenyeji wa Msoma,ni vijiji Gan vya karib...
Kama unasehemu ya biashara kubwa au ndogo au rafiki yako, Jajojo natamani tufanye biashara pamoja. Tutakuletea unga wa Jajojo from 1kg, 5kg, 10kg, 25kg kwa bei ya jumla au rejareja. Napenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.