Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Nataka nijikite kwenye kilimo cha pili pili mbuzi,naomba ushauri kwenye hili kuanzia kwenye kilimo mpaka soko lake...
1 Reactions
1 Replies
4K Views
Mimi ni wakala wa m pesa ninaye fanyia kazi zangu maeneo ya kariakoo, nina fanya sana biashara cha ajabu siku zinavyozidi kwenda wateja wanaongezeka ila commision inazidi kupungua, ni kitu cha...
1 Reactions
20 Replies
15K Views
Wadau naomba ushauri kwani sasa naandaa shamba kwaajili ya kulima matikiti zipo ni mbegu nzuri na tahadhari zake naomba msaada wenu wa mawazo nimeamua kujiajiri katika kilimo. Pia nimeona...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu Habarini za majukumu? Husika na kichwa cha habari hapo juu, wakuu ningependa kujuzwa bei stahiki za ufuta ama soko lake kwa kuuza kwa jumla Dar es Salaam. Natanguliza shukrani zangu za...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Nahitaji kuanzisha poultry project ya kuku walioboreshwa (machotara). Nipo singida lakini sijui nianzaje? 1. Ninunue vifaranga 150 kisha niwatunze au 2. Ninunue kuku jike 20 na jogoo watano...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hatua zipi za kuzingatia ukitaka kufuga kuku wa kienyejihabari wana bodi, nimekuwa mfugaji kwa siku za hivi karibuni, hata hivyo nimepata changamoto ya kifo kwa ng'ombe mmoja alionyesha dalili...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kuku kuku wangu mmoja anakoloma kama m2 mwenye mafua
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari za leo, Natarajia kupanda hili zao, ningependa kujua changamoto zake na soko lake likoje. Asanteni
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mtu anakufuata anaomba msaada wa kujikwamua kiuchumi. Unamuuliza unao uwezo wa kufanya nini wewe mwenyewe tena vizuri. Anajibu chochote. Nalikataa hilo jibu namwambia chochote si jibu sahihi...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari zenu wadau wa kilimo na ufugaji, Naombeni msaada wa ushauri juu ya nini cha kufanya kwa kuku wangu wa mayai. Wameanza kutaga takriban miezi mine iliyopita. ukubwa wa mayai umekuwa...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Wakuu, Ninahitaji tractor kwa ajili ya kilimo. Je, Aina gani ni imara ? Na Je, ni kampuni gani naweza kutumia kuagiza nje? Nitashukuru kwa msaada
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Jamani baada ya kuona maisha ya mshahara ni majanga tuu, nikaamua kujiongeza nifanye ujasiriamali. Nikapata wazo, na hili wazo nimelipata baada ya kusoma sana post za hapa JF kuhusu ujasiriamali...
0 Reactions
32 Replies
5K Views
Habar za jioni ndugu zangu, Mimi ni kijana nahitaji kujua jinsi ya kuweza kupata eneo maeneo yanayozunguka rufiji. Natakiwa nianzie wapi? Je, ni kweli hawa jamaa wanaweza wakakupa eneo, na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Salaam, Nahitaji kuanza biashara ya kuuza nyanya, hoho, vitunguu, karoti, tangawizi na vitu kama hivyo.. Nachohitaj zaid kujua ni bei za mazao hayo sokoni kwa jumla.. Na kama naweza pata toka...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habarini wajasiriamali wenzangu, naomba kujulishwa kama kuna uwezekano wa kupata shamba la kukodi ruvu. Asanteni kwa msaada wenu.
0 Reactions
49 Replies
14K Views
Naomba msaada wa mawazo. Nimenunua shamba eneo ambalo nimefanya utafiti nikagundua underground water iko karibu sana. Mpango wangu ni kuchimba kusima kwa ajili ya kufanya irrigation farming...
0 Reactions
12 Replies
10K Views
MIKUNDE KWA FAIDA KIBIASHARA, AFYA NA UTUNZAJI ARDHI Utangulizi.... Je unafahamu mimea jamii ya mikunde? Je unadhani kuna aina ngapi za mimea jamii ya mikunde ukiachana na mbaaazi, Dengu...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kuuliza anayefahamu kuhusu soka la soya Maana kijijini huku tunauza kilo 1000|= Naomba anayefahamu bei toka kwa makampuni ambao ni wanunuzi wa soya
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimejitahidi kumaliza panya hawa lakini naona inakuwa KAZI ngumu sana, kwani wanakula mazao chini kwa chini unachokuja shtuka ni mmea unadondo tu. Ufumbuzi tafadhali. Natamani nipate mlinzi wa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
HAKUNA anayeweza kubisha kwamba maisha bila kujishughulisha ni magumu sana. Wakati mwingine wapo ambao wanautengeneza ugumu kwa kutopenda kujishughulisha. Wao ni tegemezi kwa kila kitu, yaani bila...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom