Nina mpango wa kuanza kufuga kuku wa mayai. Na mipango yangu ni kuanza na vifaranga 250.. kwa ambao tayari wana mradi kama huu naomba kujua maelezo zaidi hasa kwenye
1) Bei ya hawa vifaranga 250...
Habari zenu wanajamvi
Msaada wa kupata mti wa MMUMUNA hapo ni kwa lugha asili ya kinyamwezi
Wajuzi wa miti botanist nataka kujua jina la kitaalamu pamoja na eneo inapopatikana
Natanguliza...
Ndugu wana jf jukwaa la mifugo ni dhahir kuwa nchi yetu ni ya tatu kwa wingi wa mifugo africa ikiichwa na Ethopia na Sudan lakin pato lake ni dogo katika uchumi wa nchi hii inatokana kutokufuga...
Wanajukwaa nawasalimu. Napenda kufahamu kwa waliokwenda nanenane morogoro kukoje??? Maana nami nataka nijongee huko jumapili nishinde pamoja na jumatatu
Habari wadau.
Ni miaka mingi sasa tumekua tukiambiwa na kuaminishwa kua kilimo ndio uti wa mgongo wa Taifa letu, kauli mbiu nyingi sana tumezisikia kuhusu kilimo na hamasa pia kutoka serikalini...
SIASA ni KILIMO
"Tangu Mwaka 1967 tumekua tukisema kuwa "Kilimo ndicho Uti wa mgongo wa maendeleo yetu". Mwaka 1972 tukatoa mwongozo wa "Siasa ni Kilimo".Mwongozo huo una mambo yote muhimu...
Habari wanajf.naitaji msada wenu kuhusu uwekezaji katika kilimo au ufugaji ni upi unalipa angalau kwa haraka... Kwa mtaji wa 4M. Nipo moshi tafadhali.... Naomba Msaada wa mawazo yenu tafadhali
Nilikuwa kwenye maonyesho ya nanenane hapa Mbeya. Nimejifunza mambo mengi kwenye vitalu vya Jkt nimejifunza kuhusu kilimo cha mboga mbalimbali exotic kama Kandoro, lettuce, turnip na nyingine...
Waungwana habari za leo.
Kwa wale wafugaji wa ng'ombe na wajuzi wa maziwa, naomba kujulishwa njia nzuri ya kugandisha maziwa ambayo hayatajitenga na maji.
Kwa sasa nagandisha maziwa kwa...
wakuu habari nimefikiria kuhusu products za aloevera kama, dawa za mswaki,mafuta na bidhaa nyingine nyingi, naomba kufahamu aloevera inalimwa wapi, kwa upande wangu cjawahi sikia, aloevera...
Je wewe ni mkulima? Pata elimu juu ya mazao yako kwa kujiunga group la watsup ambalo utapata elimu juu ya mazao yako kwa kuuliza maswali na kupata majibu kutoka kwa watalaamu waliobobea kwenye...
Hi wanajamvi.Hii ni post yangu ya kwanza kwenye jukwaa la ujasilimia mali bt nimekuwa mfuatiliaji wa jamii forum kwa mda mrefu.Mimi ni kijana wa kitanzania niliyemaliza chuo kikuu k1 huko moro na...
Wakuu habari zenu!!
Nimepata habari kwamba kuna biashara ya mahindi huko Sumbawanga, mahindi yananunuliwa vijijini na wanawauzia wakongo!!
Kilichonifanya nilete hii thread ni kutaka kujua hali...
Habari wataalamu wa kilimo na ufugaji.
Naomba kufahamu maonesho ya nane nane morogoro huwa yanafanyika katika viwanja hivyo hata kama sherehe hazifanyiki mkoani hapo kitaifa?
Naomba kufahamu...
Wadau naombeni mnifahamishe, nataka kupulizia dawa ya sulphur katika mikorosho yangu.
Ni wastani wa kiasi gani cha sulphur kinatumika kwa mkorosho mmoja? kilo?nusu? robo? nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.