Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Habari wadau, hivi cement za Dangote zimeshaingia kwenye soko la Dar es salaam na wapi zinapatikana?
0 Reactions
49 Replies
10K Views
Mimi ni mjasiriamali najishughulisha na,shughuli za kuuza nguo yaani nina duka la nguo naitaji mkopo wa milioni 3 ili nikuze biashara yangu. Duka langu mali niliyonayo sina nyumba wala kiwanja...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Natafuta contact za viongozi wa vyombo vya Usafiri kama vile taxi nchini Tanzania. Shukrani
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza mbegu za ufuta za lindi 2002
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wana JF, naomba mnijulishe ni wapi nitapata kuku wa kienyeji aina ya kuchi maana nasikia kuwa kuku mmoja ana nyama kati ya kilo 4 mpaka 8
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Naomba kujua borrowing interest rates za CRDB, NMB na NBC kwa mwaka kwa mfanyakazi, ahsante.
0 Reactions
7 Replies
6K Views
WADAU HABARI, Nina wazo la kibiashara la kutoa huduma fulani kupitia makampuni ya simu nahitaji mbia/business partner mwenye ujuzi wa maswala ya mobile money/ telecommunication business. Nina...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Fuata link hii hapa chini ili ujiunge na mtandao unaokuwezesha kutengeneza pocket money kwa kujitangaza. InternetDuty.com/?id=drgshoo
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Ndg wanajamvi nahitaji kuanzisha biashara ya uuzaji wa vocha za simu kwa bei ya jumla, Je inahitaji pesa kiasi gani ya mataji kuanzisha hiyo biashara? Naombeni mnijuze ndg Zangu.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
ndugu watanzania, mimi Nina wazo la kuendeshwa kiwanda cha kuboresha mazao ya nyuki kwa kuzalisha asali na nta au wax. hivyo kama upo interested unakaribishwa kwa masharti yafuatayo kwanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Rejea habari hapo juu .Samaki aina ya kambale wanauzwa ,wapo Mbezi mpiji magoe . Uzito (500gram-1.5kg), kilo Kilomoja ni TSH 6000.00,wasiliana kwa 0755305766
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Hahaha!!! naona jinsi unavoshangaa na unataka kuniandalia bonge la tusi. Yaani hapo unajiuliza bia moja ya Tzs 2,500 inawezaje kubadili maisha ya mtu? Penginepo wewe ni mlevi kama mimi katika...
5 Reactions
49 Replies
8K Views
Kwa lugha nyepesi ni kwamba ukiajiriwa maana yake umeshindwa kujitegemea kwa ujuzi wako (yaani hujui ufanyie nini) hivyo umeona uukabidhi ujuzi wako kwa wenye "akili na uwezo" wa kuupangia...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Ndio mara yangu ya kwanza kulima mwaka huu hila nimeanza na mananasi na sasa hv yameshakomaa nnataka nianze kuvuna
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni msaada wapi naweza pata chupa zinnazo weza kuingia kimiminika za 70ML &100ML nipo dar es salaam... msaada wenu niweze kamilisha order ya kusambaza mafuta ya kupaka
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunauza kuku wa kienyeji kutoka singida bei 13000.karibuni sana
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau natanguliza salam zangu kwenu...napenda kusaidiwa jinsi yakupata mzigo wa rim papers za A4 ambazo nitaweza kuziuza kwa jumla...kwa kuzisambaza katika mastationaries APA mjini...nipo...
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Kama upo upo mbeya mjini tuwasiale ili tujue tunasaidiana vp...naomba kuwasilsha
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu nilikua naomba msaada wa kujua bei za mashine za kufyatulia matofali. Ya aina zote ya kuchoma na kawaida ikiwezekana na mahali zinapopatikana. Asante
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nahitaji mashine hiyo Kwa arusha naza Pata ..
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom