habari za majukumu wanajukwaaa.
kama tittle inavyojieleza
naomba ushauri juu ya mashine nzuri ya kutengenezea popcorn na bei zake,pia sehem nnayoweza kuzipata mashine za uhakika,na...
Nahitaji Isuzu injection kununua. Bei maelewano ila inaanzia na Tsh 3m na kuendelea. Ikiwa popote hata ifakara au Tabora tutaifuata. Iwe Tipper au boxboard sawa tu.
Kazi ishakuwa kadhia,mwaka ushapita pasi kuwa na ajira japo Degree ninayo,tena ya Uchumi. Nimedhamiria kujiajiri hata kwa kuficha vyeti,Ombi langu, je biashara ipi ya halali na mtaji kiasi gani...
Heshima yenu wakubwa.
Wakubwa nina mil 10 ya kwenda kununua nguo china na kuja kuuza hapa mjini. Yupo rafiki yangu ambaye nyumba zetu zimepakana ameahidi kwenda na mimi na kunisadia huko China na...
Habarini wanaJF,
Samahani naomba kufahamu kwamba ni zao gani ambalo Lina mzunguko mkubwa sokoni kwa hapa Tanzania. Ninataka kuanzisha kilimo mda sio mrefu, Ila sasa sijajua kwa kipindi hiki in zao...
wadau mwaka huu baada ya kusoma michango ya baadhi ya wadau niliamua kujiingiiza kwenye hiki kilimo hapa nakaribia kuvuna naomba ambae anaweza kujua soko zuri la vitunguu anijulishe nimelima mbeya...
ORiflame ni kampuni ya Sweden ambayo inasambaza
cosmetics, perfume za kike na kiume .ni networking
business ambayo kujiunga kwake ni sh elf9 tu na
kuchukua mzigo kwa laki moja tu.
Unachotakiwa...
kwenu wadau wenye ufahamu na hili, bila shaka wengi wetu kule tunakofanyia/njiani tunamopita kuelekea kwenye pilika zetu za kila siku tumekuwa tukikutana na watu pembezoni mwa barabara wakiwa na...
Justice Farm Products inawatangazia kuwauzia Vifaranga na Kuku wakubwa wa Kienyeji kama wanavyoonekana katika picha hizo. Bei za bidhaa zetu ni kama ifuatavyo:-
Kuku Kienyeji Wakubwa -...
I have three project.
One is located at Kimbiji kwa chale 45 kms from ferry the second is at puna 48 kms from ferry both are on the ocean side within 1.5kms while some plots are beach plots.
The...
Habari... Kama kuna watu wa EATV anapita humu au kuna wa2 ambao wameangalia kipindi cha mtambuka. Naomba msaada wa kuunganishwa na mjacriamali anaitwa FERUZ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.