habari wadau..
hivi hizi biashara vp? kwa maoni yangu ni kama inamnufaisha manufacture wa hizo bidhaa kumuuzia kinguvu bila sisi kujua..
maaana kuna watu wananishawishi kweli ila kila...
Nataka kuanzisha shirika litakalohusika na masuala ya mazingira. Mm ni mhitimu wa chuo kikuu shahada ya awali kutoka chuo cha hapa hapa nyumbani Tanzania. Naomba ushauri juu ya masuala ya msingi...
wakuu salaam sana
nina nyumba maeneo ya kibamba natarajie baada ya uchaguzi niiezeke .nahitaji
mbao 4x2 na 2x2 hapa naomba mnifahamishe bei na tofauti ya trited na zile za kupaka dudu killer...
naomba kujuzwa mtaji wa kias gan wahitajika kuanza biashara ya asali kutoa kijijin kuleta mjin kama dar, na pia nahitaj kupewa ushaur juu ya hyo biashara na pia nipewe na changamoto ntazokutana...
1246
Je ungependa kukuza biashara yako?
Kama ni msindikaji wa chakula cha kuku, mzalishaji wa vifaranga, msindikaji wa nyama ya kuku, mzalishaji wa mbegu za mahindi, msindikaji wa mahindi, nk ...
Habari,
Kampuni yetu ya Central Park Bees Limited inakuja na Starter KIT iliyokamilika ya kukuwezesha wewe kuingia katika biashara ya ufugaji wa nyuki kwa njia ya kisasa na yenye mafanikio...
Habari wanajamvi,mimi nipo mkoani mwanza ninahitaji kuuza cement za dangote maana nimeona kwenye mitandao ya kijamii inabei nzuri sasa nitawezaje kuzipata so mwenye link yeyete ile naomba...
Mimi ninautalaamu wa kutengeneza mishumaa ila sijui maeneo ambayo wanauza material ya utengenezaji wa mishumaa kama kuna mtu anafahamu tafadhali nifahamishe nami
ndugu mjasiriamali na mfugaji leta mayai yako yenye ubora tukusaidie kutotoa ujipatie vifaranga vyako.
tupo tabata segerea dar es salaan.
bei zetu ni nafuu sana
0713219408
Great thinkers wa Jf naombeni expirience na ushauri juu ya ukumbi mwenye uwezo wa kuchukua watu 300 tu, na jinsi utakavyoingiza pesa km kitega uchumi....
TUSHAURIANE
TrueCafe is a distributed system. It consists of server and client software.
Server software is a center of cyber cafe maintenance. It provides pricing, customer...
Habari wanaJf, naomba msaada wa sehemu ambayo naweza kuanzisha duka kubwa sana la hardware za UJENZI Dar es salaam, nitakuwa nauza kwa rejareja pamoja na kwa jumla na kwa Order pia.
Natumai kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.