Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

JF Prefixes:

Nahitaji ushauri wa kitaalamu namna ya kuanzisha ufugaji samaki nyumbani asante sanaaa
0 Reactions
9 Replies
682 Views
"Je, lini Serikali itawalipa mafao wastaafu wa shamba la Kapunga Wilayani Mbarali lililokuwa linamilikuwa na NARCO? - Mhe. Bahati Ndingo, Mbunge wa Jimbo la Mbarali "Wakati wa ubinafsishaji kati...
0 Reactions
1 Replies
425 Views
Habari nina tafuta kuku wa kienyeji pure kwa ajli ya kufuga wale mbegu kubwa. Nipo Dar es salaam kwa alyenao tuwasiliane.
0 Reactions
3 Replies
925 Views
Wanajf Mimi ni mfugaji mdogo wa kuku! Msimu huu nimebahatika kupata pumba ya kutosha! Ninaomba anayejua namna nzuri ya kuihifadhi ili niitumie au hata kuiuza hapo baadae ninaomba anijuze! Lengo...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Inahitajika mashine ya kutotoa vifaranga. Sifa za lazima: Iwe inatumia umeme wa Tanesco na Ikiwezekana umeme wa jua. Iwe inayogeuza mayai (Automatic). Iwe imara
1 Reactions
1 Replies
675 Views
Habar za kazi wana JF naomba kujua kuhusu kilimo cha hili zao Je, mbegu zake zinaweza kupatikana wapi? Je, soko lake lipoje na linawez kustaw maeneo ya baridi kama vile Njombe na Iringa...
3 Reactions
44 Replies
44K Views
Habari wanajamvi. Kama mada tajwa hapo juu. Natafuta shamba lenye ukubwa wa kuanzia hekari 20 hadi 100 kwa ajili ya kufugia. Vigezo! 1. Liwe na miti ya asili au vichaka au maotea/chipukizi za...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Natumai mko vema nilikuwa nahitaji kuanza biashara ya maharage mwenye uzoefu wa masoko na changamoto zake. Mwenye uzoefu karibu.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hello JF. Nimeanza uzalishaji wa mchicha lishe miezi michache iliyopita hapa Kyela mjini. Takribani kola kitu kinaenda sawa. Mimi hutumia samadi na kuvuna mchicha kila baada ya siku 15 - 20...
1 Reactions
17 Replies
6K Views
Fursa ya Kuanzisha Viwanda vya Kuchakata Mazao ya Karanga, Ufuta na Alizeti - Kata ya Likokona, Nanyumbu Serikali kupitia Kituo cha Uwekezaji (TIC) inaendelea kutangaza fursa za uanzishwaji wa...
2 Reactions
1 Replies
789 Views
Habar wadau wa jukwaa hili kama ujumbe wangu jinsi unavyojieleza hapo juu. Mimi ni kijana ambaye kitaaluma ni fundi umeme, ila nimejikita kwenye ufugaji kwa muda sasa hasa ufugaji wa kuku kienyeji...
3 Reactions
0 Replies
322 Views
Zao la muhogo limekua likikua sana katika sehem mbalimbali za nchi ya Tanzania. Kuna mwenye uwelewa wa wapi wanapatikana wanunuzi wa unga wa muhogo?
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Kwa kweli sijaona mfugaji wa mbuzi wa maziwa anayefanya vizuri kama huyu mfugaji aliyeko Uganda. fuatilia program hapo chini.
2 Reactions
40 Replies
8K Views
Nilikuwa na watch Youtube kuhusu mkulima wa Apple Nchini Kenya anaitwa Wambugu (Wambugu Apple) nimekuwa inspired aisee, ingia Youtube andika Lynn Ngugi Wambugu apple utaiona, na anatoa darasa free...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Nimetapeliwa laki 1 ,nilitoa tangazo nahitaji maharage ya njano , mwenye namba hii 0789242824 ajanitumia meseji inbox akanambia anamjua anayeuza maharage ya njano yupo kyela ,mbeya na akanipa...
3 Reactions
42 Replies
4K Views
Wakuu nimeamua kuchukua uamuzi wa kufuga ng'ombe wa asili na kuachana na hawa wa kisasa. Nitaenda minada ta bara ninunue mitamba kama 50 yenye mimba/au iko tayari kupandwa kwa Sh 250,000 kila...
5 Reactions
86 Replies
16K Views
Hi jamani, Hivi kwa Sasa bei za nyanya dar ,,Arusha,,moro ..Mwanza na Dodoma ni sh ngapi Kwa create? Na je gunia la vitunguu ni sh ngapi?
1 Reactions
5 Replies
6K Views
Peter Wambugu amejizolea umaarufu mkubwa sana Kenya kwa kuweza kudevelop Breed yake ya Apple ambayo ameipa jina Wambugu Apple. Hii apple inaonekana kuvuta watu wengi sana hasa West Africa, Centra...
5 Reactions
28 Replies
2K Views
Chuo cha Misitu Olmotonyi (FTI) ni chuo pekee kikubwa tangu kuanzishwa kwake mwaka 1937 na ni moja ya chuo bora kabisa kuwepo Afrika Mashariki, Afrika na Duniani, katika utoaji wa mafunzo ya...
0 Reactions
0 Replies
311 Views
Wakuu, Leo nimetembelea maonyesho ya wakulima hapa rock city na nikapita mabanda mbali mbali ya wauzaji na wazalishaji wa mbegu Bora za aina mbali mbali. Kilicho nivutia ni Hawa kampuni ya mbegu...
5 Reactions
51 Replies
25K Views
Back
Top Bottom