Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wadau, Kwakweli nyinyi sijui mnaonaje? Pale msichana anapovaa nguo za kiume na kuwa na muonekano wa kiume ! Mimi uwa nashangaa sana sijui ndo uzungu mwingi.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Jamani nakerwa na harufu ya madawa/mafuta anayotumia mpenzi wangu kwenye nywele zake ila ndo sina jinsi sasa maana nikimwambia anyoe nywele kichwa ndo tatizo tena. Sasa wanaume wenzangu hili...
3 Reactions
46 Replies
8K Views
Kwa Muda sasa nimekuwa nikisoma hoja katika mijadala juu ya uvaaji usiofaa kama vile nguo fupi, nguo za kubana, mipasuo kupitiliza kuwa ni chanzo cha wanaume wengi kupungua kwa hamu ya tendo la...
3 Reactions
53 Replies
9K Views
Na nyie wadada ifike mahali mpunguze mbwembwe za urembo hatari hii!
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Jamani hivi hawa vinyozi wakishanyoa nywele zetu huwa wanazipeleka wapi?
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Kwa tatizo lolote la Muonekano , Harufu, Usafi nk sasa ufumbuzi bora na salama umepatikana. Karibu S&E BEAUTY SOLUTIONS upone kabisa Chunusi, Mba, Fangasi, Makovu, Vipele, Harufu mbaya mdomoni...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari ndugu wana JF, Naombeni mwenye ujuzi au hata idea juu ya masuala ya modelling (uanamitindo ) anifungue macho na ikiwezekana connection zake maana napenda sana lakini sijui nitaanzia wapi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
JITENGENEZEE AJIRA HAPA. Kampuni ya Edmark kutoka Malaysia inamakao makuu Masaki Dar es salaam Tanzania. Inajihusisha na uuzaji wa bidhaa za afya (food supplement) ambazo ni asili na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwakweli aliyeweka kigezo cha urembo au kuwa handsame ni urefu aliwakosea watu wengi sana duniani isingelikuwa kigezo hiki ni matumaini mtu kama Lulu Michael angekuwa miss TZ leo.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mbunifu wa Mavazi Amina Plummer Akitoa Mada kwenye Semiana ya Ujasiriamali kwa Wanawake wa Zanzibar yenye Lengo la Kuwafundisha Mbinu Mbalimbali za Biashara pamoja na Matumizi Sahihi ya Vipodozi...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wasalaam wandugu? Nina matatizo ya scars na chunusi kwenye uso wangu. Kuna mtu aliwahi nishauri jinsi ya kutumia Bio Oil. Nimenunua lakini sielewi jinsi ya kuitumia. Naimani humu kuna ambao...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Natamani kuweka nywele zangu ile style ya kujisokota na bleach kwa mbali anaipendelea sana Shamimu Mwasha wa 8020 blog nimechoka rasta halafu sipendi weavings.Nywele zangu ni natural halafu fupi...
1 Reactions
17 Replies
3K Views
These are some of supplements to use; 1. Soy Power has the following functions: (A ). Prevents the decline of ovary's function (B ). Reduces the loss of bone destiny; prevents osteoporosis...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
0 Reactions
27 Replies
8K Views
mashine mpya kabisa kwa ajili ya kuweka stones/urembo kwenye nguo, viatu, vitambaa na pia kuandika maandishi kwwnye t.shirts na vitambaa kwa kutumia stones.... call 0714812375
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Nianze na Issay Miyake, Kouros na 212,nitajuaji ni fake na original. Msaada tafadhali.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Pata cheni ya mkeka kwa bei rahisi shilling elfu 35 tu.cheni hizi ndo habari ya mjini necklace, bracelet na heren kwa ajili ya event ,ofisin nk.nicheki kwa namba 0767626990 SMS or call. Free...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Queen Elizabeth kwa bei nafuu pamoja na lotion nyingine nyingi,mascara, rangi za kucha,perfumes,deodorants na spray za aina mbalimbali,shower gels,sabuni za kuogea n.k. Karibuni, tuwasiliane.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau, Hivi kuna tofauti gani kati ya hivyo viwili, perfume na body spray?
0 Reactions
27 Replies
18K Views
Back
Top Bottom