Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Tunajihusisha na mambo ya ujenzi ikiwemo praster ya urembo, tiles na tarazo -tuwasiliane ;0719999526 au allympenzwa@gmail.com nipo dar. Karibuni wadau
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, Natafuta duka wanalouza miwani za urembo kwa bei ya jumla hapo kariakoo.Kwa anaefahamu tafadhali anifahamishe na mawasiliano yao kama yapo tafadhali.
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Nchi nyingi duniani zimekuwa zikikabiliana na matumizi ya bidhaa feki ikiwemo vyakula na vipodozi ambavyo kwa kiasi kikubwa huathiri afya za watumiaji. Huko Uingereza imeelezwa kuwa kinyesi cha...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1 Times have change and are still changing! But some issues just prove to be Time resistant!!!!!!! Stubborn...
16 Reactions
109 Replies
32K Views
Ariana Miyamoto Ariana Miyamoto aliingia katika shindano la malkia wa urembo nchini Japan baada ya rafikiye mwenye mchanganyiko wa rangi kujiua. Na alivumilia unyanyasaji baada ya kushinda taji...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Pengine mwenzangu wewe unaona hili ni sawa. Mimi naona hii ndo ishara ya kwanza tunaishi katika taifa la watu waongo na tumekubali kwamba uongo ni sawa tu. Naomba niulize, hivi kuna ubaya gani...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Urembo wa Ngozi, nywele na Kucha Namshukuru Mungu Muumba Mbingu na Nchi kwa kutuweka hai hata leo. Yeye tu apaswa kutukuzwa na kuabudiwa! Katika mfululizo wa post zangu nitaeleza kuhusu urembo wa...
0 Reactions
1 Replies
19K Views
Mtu ukimwambia uwezo wetu wa kuigiza movie bado ni mdogo atakubishia mpaka kunakucha. Kuna movie nyingi za kibongo bado hazikizi viwango, unakuta mtu ana act ni maskini lakini ukimwangalia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Weekend njema wadau wa JF. Mara nyingi nimekua nikiona vijana wenye rasta wakijihusisha na urembo kwa Wanawake. Kusuka nywele, kupaka hina, kupaka rangi kucha, kusugua Miguu na mikono, kutinda...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari na karibu sana!! Kwa habari ya ngozi yako,usoni na mwilini!. Madoa madoa ya usoni,.chunusi na vipele visivyoupendeza ngozi,alama za viwembe,makovu na majipu!!. mikunjo mikunjo,muwasho...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Je unajua umuhimu wa perfume kwenye mahusiano? Mpenzi wako anapokuwa na perfume permanent inatengeneza harufu yake ya kipekee inayomtambulisha. Sasa ikiwa hivyo inaongeza intimacy! 1. Freedom to...
10 Reactions
222 Replies
23K Views
Habar za jion wadau, natengenexa vitu vya urembo mf heren ,kembe cheni na mikanda .changamoto niliyonayo sijui pa kuviuzia, naomben ushaur jaman na hat a jumla nauza vipo vya jumla na rejareja...
2 Reactions
35 Replies
6K Views
Kina dada wengi huamini kuwa mwonekano wao na thamani yao kiurembo ipo kwenye nywele zao. Hata hivyo utafiti wangu umebaini kuwa kuna utofauti mkubwa katika kuthaminisha nywele kati ya wale...
0 Reactions
21 Replies
7K Views
Hakuna haja ya utafiti ni jambo lililo wazi sasa kwamba biashara ya urembo kwa wanawake imepanuka sana kufuatia uhaba wa wanaume. Wanawake wamekuwa wafuasi wazuri wa makorokocho kwenye miili yao...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Binafsi huwa navutiwa na vitu vingi sana.., infact kwa wale wanaofikiri kujifunika kichwa ili nywele zisionekane ni kuzuia uzuri wako usionekane mnajidanganya, tena hapo mi ndio huwa navutiwa...
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Hi Wadau naomba kuuliza vigezo vya uzuri au urembo ni vipi na watu wametumia misingi ,taswira na mtazamo upi kuweza kuoanisha uzuri wa mtu. Facts with no leakage ndo hoja reasonable reality
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Back
Top Bottom