Amani iwe nanyi wakuu., nimekutana sana na maongezi hayo .mfano wapo wanaosema inawezekana mtu kuwa ni mzuri lakini akawa hana mvuto., pia kuna warembo ila si wazuri na wapo wazuri kisha warembo...
Ladies and Gentelmen,
Leo tuangazie jinsi ambavyo tunaweza tukatunza Ngozi yenye mafuta hasa usoni.
Nakumbuka kuna kipindi nilikuwa naitwa Kitumbua,hii nikutokana na uso wangu kuwa na mafuta...
Hello from the other side!
Okay nafurahia sana hili jukwaa la "Nirvana" limechangamka japo ni lipya ila lipo poa sana shukrani kwa moderator.
Nimeona thread kadhaa juu ya fasheni za...
Walimbwende mpumzike siasa kidogo.
Hivi inakuwaje nguo ulinunua mwenyewe moja baada ya nyingine mpaka kabati likajaaa, halafu unapata tukio kama harusi unatoa nguo zote kabatini halafu bado huoni...
Well, we already gave you 25 Ways to Be More Handsome, but we also know you want to dress your best, right? I mean, who doesn't—that's why your reading Esquire. Dressing your best boosts your...
Mambo wadau ,
Hope ni wazima
Hii forum mpya nimeipenda, big up Jf
Sasa tupieni hapa style za viwalo vyenu.
Like huwa unavaa nini ndo unatoka chicha,yani uvaaji wako upoje upoje hivii ukitoka...
Habari za muda huu wadau? Tangu kuanzia mwishoni mwa mwaka jana nimeona wamama na wadada wanakimbilia kunyoa nywele tofauti na tulikotoka. Wenyewe wanasema wanataka nywele ziote vizuri ila kuna...
Habari wana JF,
Tangia niskie kuwa maji yanakufanya uwe mweupe hata kumzidi Rooney nimeanza kwa kunywa kama litre 3 kwa siku lakini wapi.
Naomba msaada kuhusu hili maana hata simkaribii Vicente...
Hawa jamaa ukiwakuta Mwenge wanavofanya masaji miguu ya wadada, dah moyo unadunda the fastest, maana wanafunua hadi mapajani karibu na 18 yaani dah, sina jinsi ningeweza ningemkataza wife but ndio...
Jamani hivi naomba tusaidiane kufikiri kwa sauti,kumekuw na wimbi kubwa sana kwa wadada kutengeneza shape zao aka "kuongeza makalio hips" naa kuwa weupe ,na watu maarufu na wasokuw maarufu...
Uvaaji wa mavazi mavazi mabaya kwa mabinti na akina mama pamoja na unywaji wa pombe ndio chanzo kikuu cha maambukizi ya UKIMWI.
Serikali haikuwa na haja ya kufanya kampeni ya uvaaji mipira na...
Siku hizi wanawake wetu wanashindana kubandika manywele ya bandia ili wawe na nywele ndefu zilizodondokea mgongoni...
But wapo watu, mimi nikiwemo huwa napenda kuona mwanamke akitoka na nywele...
Helo wenyewe,
Leo ni weekend ni siku ya usafi.kuna sayansi ya asili nilifundishwa na bibi yangu jinsi ya kujinyoa huko bila kuacha madhara kama mjuavo nyembe zimekuja miaka huii tu naomba idhini...
Kuna tabia ya wanawake na wadada kufunga vibaya minywele yao ya bandia inakera sana, mtu uko kwenye daladala afu ujui umeachia minywele mingine migumu mirasta ya buku inawasha na joto lenyewe la...
Kuna baadhi ya wanawake huwa wanatoka chicha tu wanaposukia nywele za bandia kichwani, infact huwa wanaonekana quite natural tu.
Sasa kuna wale ambao huwa wanazishonea hovyo hovyo kiasi kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.