Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Amani iwe nanyi wakuu., nimekutana sana na maongezi hayo .mfano wapo wanaosema inawezekana mtu kuwa ni mzuri lakini akawa hana mvuto., pia kuna warembo ila si wazuri na wapo wazuri kisha warembo...
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Ladies and Gentelmen, Leo tuangazie jinsi ambavyo tunaweza tukatunza Ngozi yenye mafuta hasa usoni. Nakumbuka kuna kipindi nilikuwa naitwa Kitumbua,hii nikutokana na uso wangu kuwa na mafuta...
0 Reactions
6 Replies
17K Views
Hapa kuna cluches zinazopenda sana kwenye Oscars! Picha ni nyingi, hebu kuwa na patienti.
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello from the other side! Okay nafurahia sana hili jukwaa la "Nirvana" limechangamka japo ni lipya ila lipo poa sana shukrani kwa moderator. Nimeona thread kadhaa juu ya fasheni za...
11 Reactions
55 Replies
28K Views
Walimbwende mpumzike siasa kidogo. Hivi inakuwaje nguo ulinunua mwenyewe moja baada ya nyingine mpaka kabati likajaaa, halafu unapata tukio kama harusi unatoa nguo zote kabatini halafu bado huoni...
1 Reactions
30 Replies
6K Views
Well, we already gave you 25 Ways to Be More Handsome, but we also know you want to dress your best, right? I mean, who doesn't—that's why your reading Esquire. Dressing your best boosts your...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mambo wadau , Hope ni wazima Hii forum mpya nimeipenda, big up Jf Sasa tupieni hapa style za viwalo vyenu. Like huwa unavaa nini ndo unatoka chicha,yani uvaaji wako upoje upoje hivii ukitoka...
4 Reactions
136 Replies
32K Views
Habari za muda huu wadau? Tangu kuanzia mwishoni mwa mwaka jana nimeona wamama na wadada wanakimbilia kunyoa nywele tofauti na tulikotoka. Wenyewe wanasema wanataka nywele ziote vizuri ila kuna...
0 Reactions
128 Replies
56K Views
Habari wana JF, Tangia niskie kuwa maji yanakufanya uwe mweupe hata kumzidi Rooney nimeanza kwa kunywa kama litre 3 kwa siku lakini wapi. Naomba msaada kuhusu hili maana hata simkaribii Vicente...
1 Reactions
29 Replies
5K Views
0 Reactions
14 Replies
9K Views
0 Reactions
2 Replies
6K Views
Hawa jamaa ukiwakuta Mwenge wanavofanya masaji miguu ya wadada, dah moyo unadunda the fastest, maana wanafunua hadi mapajani karibu na 18 yaani dah, sina jinsi ningeweza ningemkataza wife but ndio...
1 Reactions
64 Replies
17K Views
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani hivi naomba tusaidiane kufikiri kwa sauti,kumekuw na wimbi kubwa sana kwa wadada kutengeneza shape zao aka "kuongeza makalio hips" naa kuwa weupe ,na watu maarufu na wasokuw maarufu...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Uvaaji wa mavazi mavazi mabaya kwa mabinti na akina mama pamoja na unywaji wa pombe ndio chanzo kikuu cha maambukizi ya UKIMWI. Serikali haikuwa na haja ya kufanya kampeni ya uvaaji mipira na...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Siku hizi wanawake wetu wanashindana kubandika manywele ya bandia ili wawe na nywele ndefu zilizodondokea mgongoni... But wapo watu, mimi nikiwemo huwa napenda kuona mwanamke akitoka na nywele...
6 Reactions
365 Replies
126K Views
1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21
6 Reactions
45 Replies
21K Views
  • Closed
Helo wenyewe, Leo ni weekend ni siku ya usafi.kuna sayansi ya asili nilifundishwa na bibi yangu jinsi ya kujinyoa huko bila kuacha madhara kama mjuavo nyembe zimekuja miaka huii tu naomba idhini...
1 Reactions
159 Replies
55K Views
Kuna tabia ya wanawake na wadada kufunga vibaya minywele yao ya bandia inakera sana, mtu uko kwenye daladala afu ujui umeachia minywele mingine migumu mirasta ya buku inawasha na joto lenyewe la...
3 Reactions
85 Replies
11K Views
Kuna baadhi ya wanawake huwa wanatoka chicha tu wanaposukia nywele za bandia kichwani, infact huwa wanaonekana quite natural tu. Sasa kuna wale ambao huwa wanazishonea hovyo hovyo kiasi kwamba...
0 Reactions
27 Replies
6K Views
Back
Top Bottom