Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wakuu habari za majukumu, binafsi ninasumbuliwa sana na mba kwa miaka mingi ni mba wa kichwani unashuka hadi usoni. Nimeshatumia dawa za pharmacy zinanisaidia kwa muda mfupi then unarudi tena...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Habarini za Ijumaa wana mazoezi na wadau wote, Eti kujipulizia unyunyu muda wa kwenda mazoezini huwa kuna muingiliano na performance nzuri kwenye mazoezi?
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Unakuta mwanaume nguo ya ndani hajafua Wala kuivua mwezi mzima na joto hili la Dar, huwa najiuliza sana hivi kweli umetoka bafuni kuoga utarudia kuvaa boxer hiyo hiyo? Boxer imekuwa nyeusi tii...
12 Reactions
118 Replies
5K Views
Habarini wana jamii, naomba msaada wa kuyajua haya mafuta tajwa hapo juu. Nahitaji mafuta mazuri ya kung'arisha mwili mzima ambayo ntachanganya na lotion au ntapaka juu yake. Nataka kufahamu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu zangu naombeni anaejua dawa, sabuni, mafuta au lotion inayoweza kuondoa upele usoni mabaka na chunusi. Kiukweli uso wangu umetokewa na upele mwingi naombeni msaada
6 Reactions
26 Replies
4K Views
Habar zenu. Mwenye kujua dawa ya kutoa michiriz mwilini kwa haraka tafadhali maana inanikera na sijui nipake kitu gani itoke, inaninyima confidence kabisaa Kama dermatologist yupo anisaidie...
6 Reactions
120 Replies
7K Views
Wakuu, Naomba ushauri wa kitaalamu. Ni mafuta au cream gani nzuri kwa ajili ya kufuta makovu ya moto(burn scars)first degree burn kwa watoto. Ahsante.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hey Guys! Mmeshindaje? Nimenunua hii lotion leo, kwenye instructions naona imeandikwa “ smooth on hands and body as often as needed..” Ina maana haifai kwa matumizi ya uso? Inaleta madhara...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari za wikiendi? Naomba kuuliza wadada/wanawake wote hasa wa Tz imezuka tabia mbaya sana ya kuacha mabega wazi kwa magauni/blauzi zao? Lengo ni kitu gani waonekane wana Chuchu saa 6...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Binafsi licha ya kutopenda uvaaji wa shangaa kiuononi kwa wanawwke, tabia hii kwangu naiona ni sawa na kuvaa hirizi tu. Nikikutana na mwanamke anaemia shanga kiuononi, basi siku hiyo ndio...
15 Reactions
112 Replies
10K Views
Nisikuchoshe na usinichoshe, tusichoshane! Kwanza kabisa nipende kuchukua nafasi hii kusema ya kwamba ujumbe huu si kwa wanawake wote bali ni baadhi ya wanawake tu. Kumekuwa na wimbi kubwa la...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Natumaini wote tumewahi kusikia au hata kuona mtu akiwa na tatoo kwenye sehemu fulani ya mwili wake. Je, kwani tatoo ni ngumu sana kufutika?? Kwanza kabisa ni muhimu kujua kua tabaka la juu...
0 Reactions
2 Replies
877 Views
Wakuu, Hivi kuvaa shati la kubana kwa kiasi hiki ni fashion sahihi au linapaswa kubana kiasi gani? Wataalamu wa fasheni mnasemaje Je inapendeza? Ahsante.
16 Reactions
115 Replies
7K Views
Nilishangaa nilipokutana na mdada ambae tunajuana miaka na miaka, leo nashangaa ana mwanya, khaa, haya kautoa wapi? Wanachonga meno au wanatanua? Lakini pia wanatafuta nini?
3 Reactions
7 Replies
606 Views
Aisee Jana nimetoka safarini from Dar to Arusha kuja kusherekea kristmasi nilipanda marangu coach alfajiri saa 11:45 safari ikaanza mwanzo ulikuwa hauna shida tulisafiri mpaka saa 7 tukaenda...
19 Reactions
53 Replies
9K Views
Nguo za dukani vs mtumba zipi nzuri ili nipendeze jamani, najiona nipo local sana! Muonekano wangu ni mwembamba wa wastani, mrefu wa kati maji ya kunde, nina kashepu kwa mbali, napenda magauni...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nimezaliwa kijijini ambako maadili ya 'kiuanaume' yanalindwa sana. Moja kati ya meeengi ya kiuanaume ni kwamba ndevu unanyolewa na mkeo tu au mpenzi wako. Kwa maneno mengine ni kwamba unyoaji wa...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wakuu, Kumekuwa na aina ya viatu vingi vya plastic ambavyo watu huvaa na kupendeza. Hapo nyuma kidogo viatu hivi vya plastic ilikuwa vikiitwa yeboyebo. Watu waliokuwa wanavaa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari, Husikia na kichwa cha habari hapo juu, Kumekuwa na fashoni fulani la wanaume kuachia midevu kama wehu. Hii fashion Kuna wenye kipilipili originali Hawa wanakuwa kama wehu. Yaani Kuna...
9 Reactions
137 Replies
7K Views
Habarini wakuu, Nimewakumbuka, Kwanza nafaurahi kurudi JF baada ya muda, Twende kwenye mada tajwa hapo juu, ni ukweli kwamba dread locks ni nywele nzuri hasa kwa wanaojua kuzitunza na...
21 Reactions
144 Replies
18K Views
Back
Top Bottom