Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Nakereka na tabia za wanawake kukaa uchiuchi harafu wakiona wanaume huanza kuhangaika kufunika nyuchi zao! Hivi nyie wanawake wanawake mna nini lakini vichwani mwenu?
11 Reactions
64 Replies
3K Views
Kichwa kimenyooka bila shaaka, asee mimi naongea na wewe mwamba unaefuga kucha yaani kucha ndefu mkono mzima hua mnayatumia vip. Au huwa mnafeel vipi mkijiona na izo kucha wazee, mimi nimejaribu...
1 Reactions
12 Replies
871 Views
Binafsi, je naenda kukutana na nani? Hilò ndio swali namba 1. Swali namba mbili huwa je anajua nini kwenye mitindo na fashion? Basi napenda vitu unique, yaani niwe wa kipekee ndio maana...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Watu wengi now tumekalili suruali tunavalia kiunoni when in effect it's hips na kiuno kipo kw kitovu that's why baba na Babu zetu suruali ndo walikuwa wanavalia juu kabisa na kutuona cc wahuni...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Hali? Niliketa uzi humu siku chache zilizopita kuhusiana na tiba ya nywele nyekundu/njano na nashukuru wengi walijitoa kunishauri kwa uchanya. Baada ya kuwaza na kutafakari sana, ikiwa ni pamoja...
3 Reactions
8 Replies
971 Views
DALILI ZA MTU ASIYETAKA KUBADILIKA 1. Akielezwa mapungufu yake ya kweli- (a) ananuna; (b) Kama ana wajibu wa kutekeleza jambo fulani, Anasusa ili mteseke muone umuhimu wake, muache kumkosoa...
3 Reactions
4 Replies
667 Views
TIBA MBADALA NA BUJIBUJI Hamna kitu inakera kama kwenda ugenini huku ukijua wazi kabisa kuwa miguu yako inatema chechex hadi moto unaweza kuwaka kwa harufu Kali. Kama unajijua unapitia tatizo...
10 Reactions
35 Replies
3K Views
Ndugu watanashati, Ninaomba kufahamishwa maduka yanayouza manukato (perfumes) halisi hapa Dar. Ninapenda nipate marashi yanayoanzia elfu themanini(80,000) hadi laki moja na hamsini(150,000)...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Wakuu, yani wadada kusikia utabiri wa hali ya hewa kwamba maeneo ya pwani kutakuwa na upepo mkali wa wastani na mawimbi ya bahari kufikia hadi mita 2 , Basi wameamua kuvaa nguo fupi alafu...
12 Reactions
46 Replies
4K Views
Habari za mda wadau wa forum hii pendwa. Bila ya kuwachosha na kujichoshq mimi mwenyewe niende moja kwa moja kwenye kile ambacho kinaendelea. Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la...
4 Reactions
72 Replies
4K Views
Hello JF members....kama heading inavojieleza,Nipo shop moja kubwa ya cosmetics hapa mjini right now, nataka nunua Body spray ...je unanishauri ninunue spray ipi kali yenye manukato mazuri?karibuni..
1 Reactions
38 Replies
7K Views
Leo nimeshuhudia wigi la mdada limeanguka baada ya kunata kwenye mlango,aisee ki ukwel ana kichwa kibaya saaaaanaa. MY TAKE Kama ni mdada na unavaa mawigi ongeza umakini usije kuaibika kama una...
13 Reactions
47 Replies
3K Views
Kila ninapo pita sehem kubwa ya vijana suruali haziwatoshi/zinaanguka. Na vijana wengi wana vyuoni suruali haziwatoshi/zimekua fupi miguuni hata kama ametoka kwa fundi kuishona jana. Kuna siku...
23 Reactions
118 Replies
6K Views
Wakuu. Mimi asilimia 80 ya madundo a.k.a viatu nannuliaga bar...hawa chingaa wanaopitaga bar huwaga wanatushikaa kwa kweli...ni experience yangu lakn kiasi huwaga siez endaa Sehem kuchagua viatu...
1 Reactions
3 Replies
840 Views
Relaxer ni dawa ya nywele inayofanya nywele za mtu mwenye ngozi nyeusi wa asili ya Afrika zilainike na kunyooka kama nywele za wazungu, waasia au waarabu, watu wengi hasa wanawake wanapenda...
2 Reactions
19 Replies
32K Views
Viatu tuu alivyovaa vinatia huruma, ina maana hata neutral ya 2k walishindwa kumnunulia angalau kiatu king'ae? Nguo ndiyo usiseme, kapiga tshirt na suruali ya kitambaa. Buti ndiyo likaharibu...
13 Reactions
88 Replies
9K Views
Habari I Wakuu Shida yangu ni moja.. Nina viatu vyangu brand "Clark" hvi majuzi vimemwagikiwa na mafuta ya nywele almaarufu "Olive" ambayo yamekuja kutengeneza madoa ambayo yameonekana ni magumu...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Ndugu watanashati, Ninaomba kufahamishwa maduka yanayouza manukato (perfumes) halisi hapa Dar. Ninapenda nipate marashi yanayoanzia elfu themanini(80,000) hadi laki moja na hamsini(150,000)...
1 Reactions
1 Replies
875 Views
Wakuu Salam, Naomba msaada kwa anayefahamu shampoo nzuri ambayo nikiitumia basi mba kichwani zitaisha. Karibuni.
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Mimi ni Kijana, Na haya ndio mavazi yetu, labda kwa kuwa Kila kitokacho Ulaya ni kinafaa Afrika. Lakini pengine kina nisichojua, So naomba elimu juu ya maana ya vazi hili.
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom