Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Unawashaurije hawa vijana na ni Nini kinakujia akilini ukimuona kijana wa kileo amevaa hivi?
3 Reactions
10 Replies
933 Views
Wakuu hivi hizo fila bado zinapatukana kwel kibongo bongo. Na ambao waliozivaaga kipind hicho watuambie ni bei gani ilikua enzi hizooo.
3 Reactions
3 Replies
718 Views
Kuna mambo yanastaajabisha. Siku moja nipo kwenye daladala kuna mlokole akawa kapanda akaanza kuhubiri. Katika mahubiri yale akasema mwanamke kuvaa suruali ni dhambi. Nikajiuliza maandiko gani...
5 Reactions
118 Replies
4K Views
Hii fashion nimeanza kuiona inashika kasi sana, sidhani kama inaleta picha nzuri sana, ni mawazo yangu tu. Hasa Dar. Tena vikaptula vyenyewe vina marangi rangi na maua maua. What is this?
14 Reactions
92 Replies
23K Views
Ina shangaza ndio, na ina weza isiaminike lakini huo ndio ukweli. Maji ya mchele yana faida kubwa katika nywele una weza kuuliza kivipi na nani yame msaidia, ina semekana kabila la Yao kutoka...
9 Reactions
28 Replies
6K Views
Hivi ni kweli mnakosa 3000 ya kununua mkanda mpaka mfunge na kamba za viatu wengine mnatumia utambi wa jiko la mafuta kufunga suruhali zenu kweli vijana wangu mnakosa kabisa 3000 kununua mkanda...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwa wale mnaoishi maisha ya gym na diet, vip mabadiliko ya miili mnayaona?? Tunaomben ushauri hapa mazoezi yapi tufanye, diet twende nayo vip, ili kupunguza kilo maana zimeongezeka kwa kasi...
5 Reactions
49 Replies
8K Views
Tattoo zina tafsiri chanya huko majuu, lkn siyo hapa Bongoland. Watu wengi wanatafsiri tattoo kama uhuni (wezi, makahaba na maraibu wa madawa ya kulevya). Hakuna mwanaume atakuoa mwanamke...
11 Reactions
80 Replies
5K Views
Rangi za mavazi (haswa za ndani) huwa zinaleta msisimko wa mapenzi, na kuna rangi zingine ukiziona zinakata ladha. Rangi Kama: (1) Nyeupe, mwanamke akija na rangi ya namna hii NALIA NGWENA huwa...
11 Reactions
141 Replies
7K Views
Mimi ni mnene mno. Naomba kufahamishwa aina za mavazi akivaa mtu mnene anapendeza. Please ninaomba msaada kwenye hilo. Ila ikitokea nimevaa vest nyama za mbavuni zina hang na kuchora mistari...
3 Reactions
27 Replies
4K Views
Hello wanajamii forum, mimi ni kijana wa kiume kweny 20s age, Nina changamoto ya kupata chunusi baada ya kupunguza masharubu wakat mwingne yanakua magumu na kufanya upande mmoja wa shavu kuwa...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari, Watu wa masuala ya urembo na utanashati. Mimi ni kijana wa kiume. Ningependa kupata muongozo wa mavazi ya kawaida (casual wear ) kwa ajili ya kuendea date kwa kijana wa kiume. Nimejipata...
7 Reactions
112 Replies
8K Views
Yani nikitoka kuoga nikijifuta kichwani nywele zinabaki na vipamba vyeupe na ni vigumu sana kutoka. Kwa mataulo ya mtumba mimi niliyashindwa, yani nikifikiria tu kwamba mtu kalitumia kujifutia...
0 Reactions
3 Replies
526 Views
Dye ni unga au maji maji ambayo hutumika kubadili rangi, tuliyoizoea wengi ni ya nywele inaitwa picco, pia huwa kuna dye maalum kwajili ya nguo ambayo hutumika kurejesha rangi ya nguo hasa hizi...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Unamkuta mdada kajikoboa ,make up, makucha bandia nywele bandia na Infinix yake ila ananuka kwapa, jasho mpaka unahisi kichefuchefu. Mbaya upande naye kwenye daladala yaani una suffocate...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Umevaa mchuchumio (high heels) afu unatembea umbali mrefu...eti Kimanga mpaka Kinyerezi siyo mbali ujue😳 napita shortcut😎...sawa siyo mbali mwenyeji wetu...sasa ndo utembee umevaa mchuchumio...
15 Reactions
104 Replies
3K Views
Wakuu habari za majukumu. Nisiseme mengi sana, ni nani alisema/kutuambia bwana harusi anatakiwa kuvaa suti wakati wa harusi? Maana naona kila mwanaume anayeoa anavaa suti.
1 Reactions
3 Replies
581 Views
Bila shaka hamjambo wana Jf, nisiwachoshe nahitaji mashati kama haya niliyoambatanisha na hii thread kwa hapa Dar. Natanguliza shukurani zangu.
4 Reactions
48 Replies
2K Views
Kuna kale karaha mtu upo huko katika shughuli zako umevaa nguo bado zipo fresh, Sio unapita sehemu nguo imepauka/rangi zimefifia yani hata mtu akikuangalia mara mbili unajua tu hapa kipengele ni...
10 Reactions
122 Replies
10K Views
Niliwahi pata kiatu kigumu sana, ni kizuri yani tangu 2020 mpaka sasa kinadunda poa tu, Ajabu ni kwamba hata sikuomba kupunguziwa bei maana kilikuwa elf 15 tu, laiti ningeenda dukani...
1 Reactions
7 Replies
783 Views
Back
Top Bottom