Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari zenu wakuu, hapa bongo soko la nguo kuna baadhi yetu lishatutoa knock out, unaweza kwepa midosho ya elf 15 ukaenda kwenye duka la cadet za elf 40 ukazani hapa ndio penyewe kumbe mambo yale...
0 Reactions
8 Replies
774 Views
Kwa wajuvi wa kuulamba jijini Dar es Salaam Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, ninahitaji mtaalamu wa kubuni na kushona nguo za kike na kiume. Awe mkali katika suti na mavazi mengine ya me na...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni mara kadhaa nakutana na nguo ikiwa na kidude chenye lebo au maandishi ya kumtaka mtumia nguo kukikata au kukiondoa kabla hajafua au kuivaa nguo hiyo. Nauliza je kama pana mtu ameshakutana na...
2 Reactions
69 Replies
8K Views
Kila aina ya mavazi ina sehemu zake maalumu kuvaliwa. Kuna kituo kimoja maarufu cha tv watangazaji wake wamekuwa wakiingia studioni na mavazi ya kidini kuanzia kichwani hadi miguuni. Je ni...
2 Reactions
4 Replies
721 Views
Habari wapendwa nilikuwa naomba kwa mwenye kufahamu namna ya kutengeneza lotion za kun'garisha serum lotion za kuondoa sugu nk. Anipe darasa au connection wapi wanafundisha
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Nguo niliyoona kwa mchina Na ilivokuja kutokea bongo
27 Reactions
73 Replies
6K Views
Naziona sana aina hii ya nguo, ama kwenye mwili wa mwanamke au madukani. Kitamaduni nguo hii ni maalumu kwa ajili ya kuuficha uchi ili usionekane kirahisi na kuutia joto ubaki na vuguvugu. Naona...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
bei cheee nauza hivi vifaaa kwa bei poa dryer 150,000, stima 80,000 , viti 50,000@, chanja za ukutani 35000@, Kioo 70,000 ( kina crack kidgo. na vingine wife kapata ajira rasmi anauuza ukinunua...
4 Reactions
4 Replies
708 Views
Hii ni "Jeans" ambayo imepewa Jina la Balenciaga Men Destroyed na inapatikana kwa thamani ya dola 2,450 ambazo ni zaidi ya Shilingi milioni tano (5.700.000) za kitanzania. Sent from my TECNO...
4 Reactions
12 Replies
1K Views
Baadhi ya wanawake wanatabia ya kuanika chupi kwenye kamba bila kujali wanaishi na nani je, iko sawa?
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu ndevu zangu naona haziko na color nzuri, so nahitaji nipate superblack nzuri ambayo ni special kwa ndevu au any black material ili ndevu zangu ziwe na muonekano mzuri zaidi. Ipi ushawahi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Yaani inasikitisha sana sana kwa baadhi ya wananchi kufanya ugonjwa ni mtaji wa kuomba na kupata ridhiki ... Yaani unakuta mtu ana kidonda au mguu kivimba sijui au tumbo limevimba basi ndio...
0 Reactions
4 Replies
574 Views
Kwa mujibu wa Mtandao wa KRONOS 360, Hizi saa ndio zinaongoza kwa kuuzwa gharama kubwa kwenye minada duniani. Kumbuka ni kati ya saa zilizotengenezwa kwa oda maalumu au chache. Hivyo sio rahisi...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Sijui ni ushamba wangu au ni nini ila mimi binafsi nawaza mtu mzima mwenye miaka ya kutosha ati kila nywele zikikuota unaenda kuchanua makwapa na kipochimanyoya saloon; ati unyolewe na mtu mzima...
4 Reactions
3 Replies
1K Views
Unakuta binti mrembo kabisa kaajaliwa ngozi nzuri kabisa, sijui ni nini huwa kinawawasha mpaka wajione wao sio warembo hadi wapake haya mimi nayaitaga majivu. Kuna siku nimemwambia wife jiandae...
11 Reactions
32 Replies
2K Views
Hivi wanawake mnajua mwanaume akiwa anakupenda anakuona mrembo sana kama hivi hii sura ya2 ila mcheat, mfanyie vituko, haijalishi wewe ni mrembo umejipamba ajae ila atakuona kama ilivyo kwenye...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimekumbuka miaka ile, kulikuwa na sabuni nzuri sana za kuogea. Mnaikumbuka Geisha? Sabuni flani hivi kubwa haswa. Ilikuwa sabuni nzuri sana. Pia kulikuwa Revola, nilikuwa navutiwa na tangazo...
13 Reactions
344 Replies
76K Views
Wife demu wangu kapendeza sana alinambia nimtafutie haya mafuta
4 Reactions
101 Replies
37K Views
Back
Top Bottom