Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Hii trend ya wanawake kunyoa vipara hasa huku uswahilini ni uchawi tu na kuamini ushirikina nothing else .
3 Reactions
23 Replies
2K Views
TONER • Kazi kubwa ya Toner ni kubalance pH ya ngozi, kutoa uchafu wote uliobaki baada ya kuosha uso (kuosha uso pekee kwa maji na sabuni haimaanishi umetoa uchafu wote usoni), inazuia bacteria...
0 Reactions
4 Replies
15K Views
Jamani kwa wale wenyeji wa Moshi naomba msaada wa wapi naweza kupata huduma ya massage ya full body kwa bei ambayo ni reasonable yaani kati ya 30,000 -40,000. I am on my way to Moshi nitafika...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wana jamii forums Kwa muda sasa nimekuwa nikitafuta mitindo hii ya nguo ambayo nimeona wanawake wa Ethiopia wamekuwa wakivaa sana,nao.ba kujulishwa maharishi yalipo haya machine ya nguo hizi
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Katika pita pita zangu mitaani nimekutana na njia kadhaa zinazodiwa kuotesha nywele kwenye upara, baadhi nimezifanyia majaribio lakini hazikuleta matokeo chanya. Je, ni njia gani ya uhakika...
0 Reactions
20 Replies
12K Views
Moja kwa moja kwenye hoja, Mimi ni miongoni mwa wasiyopenda ndevu kabisa. Nikitoa ndevu naonekana nadhifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote. Utaratibu wangu ni kunyoa mara...
2 Reactions
75 Replies
10K Views
Nimejaribu kuzunguka maduka mengi nimekosa naombeni location wakuu...Nipo mwanza kwa sasa ila next week nitakuwa Dar
3 Reactions
10 Replies
939 Views
Huwa unatumia dakika ngapi kupiga mswaki? Na unapiga mara ngapi kwa siku? Unatumia dakika ngapi kuoga kila siku na una oga mara ngapi kwa siku? Wabongo mtaongopa hapa
3 Reactions
66 Replies
3K Views
Mtu Msafi anapoona Uchafu katika Mwili wake, Gheto au nyumba barabarani nk anapata Hasira na kero katika moyo wake. Na kwa mtu mchafu Uchafu kwake sio tatizo mfano kwa Mtu msafi hawezi kulala na...
0 Reactions
1 Replies
731 Views
Kinyozi wa kwanza wa kike kuninyoa nywele za kichwa changu alikuwa ni Naomi mke wangu. Hakuninyoa vizuri hivyo siku hiyo ikawa ndio mwanzo na mwisho wa kunyolewa na Naomi. Baadaye nilitafuta...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Hapa sinzungumzii bidhaa za yule msanii mwana FA la hasha bali ni za ile chapa ya FA, wanakuwa na deodorant nzuri sana. Mimi huwa napenda hasa ile imetengenezwa kwa watermelon. Sasa nmejaribu...
0 Reactions
2 Replies
673 Views
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza.. Nimeona kuna umuhimu kwa wadau tunaopenda masuala ya UNYUNYU kukutana hapa na kujuzana ni aina gani ya Perfume/Body Spray(s) kali ambayo(zo) tumewahi kutumia...
9 Reactions
162 Replies
45K Views
Wadau wa Jamii Forums habari zenu, nimekuja kwenu nikiwa na maswali ila pia nitapenda kupokea ushauri kuhusu chapa tajwa hapo juu. Nimekua nikiona tu hizi bidhaa za hii kampuni ya njiwa (Dove)...
5 Reactions
56 Replies
13K Views
Wakuu naomba kujua faida na hasara za Glycerine kwenye ngozi!
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Ndugu watanashati habari, Ninatafuta mkanda wa saa kama huo pichani. Si lazima nipate kama huo bali kama naweza kupata mkanda mzuri wa ngozi. Niende duka lipi hapa Dar?
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Inawezekana umeolewa halafu bwana anataka kwenda kazini unatakiwa umuandalie mavazi lakini vyote unaweza ila kwenye kufunga tai unaumbuka, unaonekana mshamba pengine kukaripiwa na kuharibiwa siku...
9 Reactions
35 Replies
17K Views
Mimi ni handsome sana, mitaani kote wananisifu. Hata wanawake wananiambiaga. Lakini hawaachi kunikosoa tumbo langu hadi nimeanza kujichukia. Kwa kweli nakosa sana raha, namtongoza msichana...
21 Reactions
80 Replies
4K Views
Kwa wale kina Dada wanaopenda kubandika kucha mnatunzaje kucha zenu ili zisibanduke, maana kwa upande wangu napenda kubandika kucha, lakini napata changamoto katika kufua, kusugua sufuria etc au...
0 Reactions
18 Replies
1K Views
Habari wakuu, Naomba kujuzwa kwanini vijana wengi huvaa mlegezo? Tatizo ni kuwa suruali inakuwa fupi au ni chupi mpya anataka tuione?
0 Reactions
128 Replies
16K Views
Ndugu zangu kama kichwa kinavyojieleza, mama kijacho wangu ameanza kupata shida ya michirizi kiunoni na tumboni hivi karibuni. Kwa mjuzi wa dawa tusaidiane katika hili tafadhali. Kabla sijafanya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom