TONER
• Kazi kubwa ya Toner ni kubalance pH ya ngozi, kutoa uchafu wote uliobaki baada ya kuosha uso (kuosha uso pekee kwa maji na sabuni haimaanishi umetoa uchafu wote usoni), inazuia bacteria...
Jamani kwa wale wenyeji wa Moshi naomba msaada wa wapi naweza kupata huduma ya massage ya full body kwa bei ambayo ni reasonable yaani kati ya 30,000 -40,000.
I am on my way to Moshi nitafika...
Habari wana jamii forums
Kwa muda sasa nimekuwa nikitafuta mitindo hii ya nguo ambayo nimeona wanawake wa Ethiopia wamekuwa wakivaa sana,nao.ba kujulishwa maharishi yalipo haya machine ya nguo hizi
Katika pita pita zangu mitaani nimekutana na njia kadhaa zinazodiwa kuotesha nywele kwenye upara, baadhi nimezifanyia majaribio lakini hazikuleta matokeo chanya.
Je, ni njia gani ya uhakika...
Moja kwa moja kwenye hoja,
Mimi ni miongoni mwa wasiyopenda ndevu kabisa. Nikitoa ndevu naonekana nadhifu sana na najisikia kujiamini kuliko nikiacha ndevu ziote.
Utaratibu wangu ni kunyoa mara...
Huwa unatumia dakika ngapi kupiga mswaki? Na unapiga mara ngapi kwa siku?
Unatumia dakika ngapi kuoga kila siku na una oga mara ngapi kwa siku?
Wabongo mtaongopa hapa
Mtu Msafi anapoona Uchafu katika Mwili wake, Gheto au nyumba barabarani nk anapata Hasira na kero katika moyo wake.
Na kwa mtu mchafu Uchafu kwake sio tatizo mfano kwa Mtu msafi hawezi kulala na...
Kinyozi wa kwanza wa kike kuninyoa nywele za kichwa changu alikuwa ni Naomi mke wangu.
Hakuninyoa vizuri hivyo siku hiyo ikawa ndio mwanzo na mwisho wa kunyolewa na Naomi. Baadaye nilitafuta...
Hapa sinzungumzii bidhaa za yule msanii mwana FA la hasha bali ni za ile chapa ya FA, wanakuwa na deodorant nzuri sana. Mimi huwa napenda hasa ile imetengenezwa kwa watermelon.
Sasa nmejaribu...
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza..
Nimeona kuna umuhimu kwa wadau tunaopenda masuala ya UNYUNYU kukutana hapa na kujuzana ni aina gani ya Perfume/Body Spray(s) kali ambayo(zo) tumewahi kutumia...
Wadau wa Jamii Forums habari zenu, nimekuja kwenu nikiwa na maswali ila pia nitapenda kupokea ushauri kuhusu chapa tajwa hapo juu.
Nimekua nikiona tu hizi bidhaa za hii kampuni ya njiwa (Dove)...
Ndugu watanashati habari,
Ninatafuta mkanda wa saa kama huo pichani. Si lazima nipate kama huo bali kama naweza kupata mkanda mzuri wa ngozi. Niende duka lipi hapa Dar?
Inawezekana umeolewa halafu bwana anataka kwenda kazini unatakiwa umuandalie mavazi lakini vyote unaweza ila kwenye kufunga tai unaumbuka, unaonekana mshamba pengine kukaripiwa na kuharibiwa siku...
Mimi ni handsome sana, mitaani kote wananisifu. Hata wanawake wananiambiaga. Lakini hawaachi kunikosoa tumbo langu hadi nimeanza kujichukia.
Kwa kweli nakosa sana raha, namtongoza msichana...
Kwa wale kina Dada wanaopenda kubandika kucha mnatunzaje kucha zenu ili zisibanduke, maana kwa upande wangu napenda kubandika kucha, lakini napata changamoto katika kufua, kusugua sufuria etc au...
Ndugu zangu kama kichwa kinavyojieleza, mama kijacho wangu ameanza kupata shida ya michirizi kiunoni na tumboni hivi karibuni.
Kwa mjuzi wa dawa tusaidiane katika hili tafadhali. Kabla sijafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.