Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Tupeane facts mbalimbali za kimitindo na kimionekano. Mimi ntaanza na hizi kadhaa. Unaweza ongezea pia kama utapendezwa na thread hii...
1 Reactions
17 Replies
861 Views
Halo JF nipo jukwaa hili. Hivi chumbani unapolala huwa una vitu gani na gani? Vipi mpangilio wako wa vitu. Huwa unakumbuka kupangilia au ndiyo mambo mengi siku moja moja unadeki 😅😅😅 ninacheka...
6 Reactions
49 Replies
5K Views
Kazi kwenu warembo wetu. https://indianhair.net/blogs/journal/real-indian-temple-hair-all-you-want-to-know
1 Reactions
6 Replies
719 Views
Kama kuna mtu humu anajua jinsi/namna ya kutengeneza mataji naomba tuwasiliane
1 Reactions
0 Replies
403 Views
Mambo zenu jamani. Nimeona tukumbushane tu madiva wa Dslam kuhusu Visigino vyetu jamani. Sio Siri Dar panaongoza wadada kuwa na miguu michafu yaani hadi unashangaa huyu katoka kwenye vanga wapi...
38 Reactions
321 Replies
11K Views
Nataka kujuzwa faida ya matumiz ya sabuni aina ya dove.
3 Reactions
55 Replies
25K Views
Wadau wenye kujua napoweza kupata hii hand cream anielekeze. Wife alipewa na ndugu yake from USA Cream inakaribia kuisha ina harufu nzuri sana tena ya kishua kweli kweli. Naitafuta aweze kuwa...
1 Reactions
5 Replies
699 Views
Habari zenu ndugu wana JF, Hakika naandika hili jambo nikiwa nimekwazika sana, hivi inakuaje mwanamke wa ki analog unakuwa mchafu sehemu ya papuchi, dah maana kwa nilichokutana nacho leo sina...
3 Reactions
65 Replies
10K Views
Hello mamboz JF, Nauliza swali tu katika pitapita zangu na kuishi mikoa ya pwani wanawake wengi mikoa ya pwani hawana minyama uzembe. Hivi wao wanaishije na wana lishe ya aina gani, wana miili...
6 Reactions
104 Replies
7K Views
Wana ndugu majuzi nilikuwa airport kumpoke aabiria wangu gafla nikaona vijana wawili wote wamevaa hereni si mbaya...ila kuna mwingine huyu alikuwa amevaa kikuku kwa wale wanaojua ni hereni za...
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Ndugu zangu Naomba kwenda direct to the point uso wangu una vidude vyeusi kama vitano exactly sijui vinaitwaje please kwa anayejua tusaidiane dawa.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
*EXOGENOUS OCHRONOSIS TATIZO LITOKANALO NA KUTUMIA CREAM ZA KUBADILISHA RANGI USONI* Hii ni hali ya ngozi ambayo husababishwa na matumizi ya muda mrefu ya bidhaa za kubadilisha rangi ya ngozi;Hata...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wakati nikiwa mdogo wazazi wangu walinitoboa kla sikio kishimo kimoja. Mimi nimependa kuongeza, nimeenda kuongeza kla sikio vishimo viwili jumla vimekuwa vitatu kla sikio. Sasa leo mama ameniona...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Ebu ngoja niende moja kwa moja kwenye mada leo nilikutana na kijana ana heleni masikio yote na puani ana kipini na nyusi ana wei na kichwani nywele Katia rangi yaani mpk ujue ni mwanaume umuone...
4 Reactions
32 Replies
2K Views
Hello, Sijui kwanini siwezi kuvumilia hiki kitu, wewe unaweza kuona kawaida lakini kiukweli kwa upande wangu inaniboa. Mwanaume nikimuona hata kama awe smati vipi Halafu kavaa saa ya mkononi...
54 Reactions
261 Replies
14K Views
Vifuatavyo ni vitu vya kuzingatia unapofanya DAILY SKIN CARE ROUTINE yako yaani ASUBUHI na JIONI. WAKATI WA ASUBUHI Wakati wa asubuhi ngozi zetu huathiriwa sana na environmental damages kama vile...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Warembo wa jukwaa hili naomba kujua dawa au spray ya kusafishia nywele zilizosukwa ili kutokuwa na uvundoo. Asanteni
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Natafuta perfume original ya kike. Sitaki hizi feki au copy zilizozagaa. Bajeti yangu ni elfu 50 naweza pata perfume gani na duka lipi? Wauza perfume nyuzi zenu nishazipitia.
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwa mtu wa aina hii bila kujali hadhi yake unaanza kuona ni heri awepo paka aliejipumzikia pembeni kuliko yeye. Haya sio mambo madogo kwa mtu mzima, ustarabu ni jambo muhimu na heshima ni kitu cha...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Hello! Kwa Wadada, kama unatafuta wanaume wenye sura nzuri, gentleman na wa ukweli Basi hama haraka hapa Tanzania na nenda mojawapo Kati ya Nchi hizo hapa 👇
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom