Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Mimi ni mpenzi wa vikoti fulani hivi vya kubana kwa mbali, hasa kutokana na umbo langu la mwili mwembamba kiasi. Naomba kujuzwa chimbo kali la suti za Kikorea kwa Dar, ahsanteni na karibuni.
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Men and grooming have finally become great friends in the last few years. Ever since the likes of Saif Ali Khan made meterosexuality a fashion statement, men have been rushing to salons, spas and...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Poleni na kazi, nahitaji lotion inayonukia vizuri na ambayo haichubui. Nataka ngozi yangu ing'ae niwe muli muli, ngozi yangu iteleze. Unaweza kwenda duka la urembo ukakuta mtu ana ngozi mbaya...
7 Reactions
76 Replies
5K Views
Hivi mnaotembea na kutingisha mzigo ni urembo au ni kitu gani,naona sielewi ,kusema kweli wananishughulisha vibaya mno kitu gani kinawafanya wawe wanaendaga kama wanakasolo.
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Mafuta gani mazuri ya ndevu kwa mwanaume? Anayoweza kutumia yakajaza ndevu vizuri na kuzifanya zenye kuvutia na afya.
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wadau kwema, niende moja kwa moja kwenye mada, ipo hivi naomba kujua ni mafuta gani? Yatanifaa kwa mtu kama mimi mwenye uso wenye mafuta, Chunusi zinanisumbua kila nikipaka mafuta usoni...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Jamani natamani ninunue iPhone, ila nakatishwa tamaa na watu wanaoniambia App zake na android haziko compatible. Mara nitashindwa kushare docs na mtu wa android mara kuna applications ambazo...
2 Reactions
5 Replies
686 Views
Hello,jmn kuna mtu yeyote anayejua sehemu wanayo tinda nyusi vizuri kwa kutumia uzi?
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wakuu, Kuna wanawake baadhi wanatabia ya kuburuza viatu. Utakuta anatembea anaburuza viatu yaani watu wanamshangaa.. Yeye anaona ni kawaida tu anaburuza mayebo yake... Mdada mzuri...
4 Reactions
9 Replies
665 Views
Pole na hongera ya nguvu kwa majukumu ya leo ndugu mpamabanaji na muwajibikaji. Langu ni moja tu, nalo ni hili. Hivi mtindo wa kujipima mathalani, unanunua suruali au sketi halafu eti unapima...
10 Reactions
54 Replies
3K Views
Habari zetu, Mimi nina makovu miguuni na mikononi yaliyosababishwa na vipele vya allergy, nitumie nini yaweze kuisha sitaki kutumia mafuta makali. Mimi ni mweupe wa kawaida. Sent from my vivo...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Hazinyolewiiiii
22 Reactions
256 Replies
23K Views
Mwanaume ni sifa, mwanaume ni kiongozi ebu ifike hatua wanaume tujitambue na tutambue nafasi zetu katika jamii. Hii tabia ya wanaume kuvaa vinjunga inaniboa sana, yaani sasa hivi kuvaa vinjunga...
12 Reactions
28 Replies
2K Views
Wakuu, Hili jambo limekuwa likinishangaza sana, mwanamke anaetengeza nywele zake natura anaambiwa mbona hujasuka, ingekuwa rasta ndio ingekuwa sawa na ungependeza, ingekuwa wigi ndio ungekuwa...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Morning Wanaume acheni uchafu yaani unakutana na jianaume hajaoga na wiki mbili ananuka halafu anakazana kujipulizia perfume, mkikataliwa mnaaza kusema wanawake wanajishaua. Mwanaume kuwa msafi...
14 Reactions
112 Replies
7K Views
Habari, kwanza niipongeze serikali kwa kufungia tovuti zote za video za porn( maarufu kama X videos) uamuzi huo umefikiwa leo tarehe 19/7/2021, ambapo tovuti zote za ngono zimekuwa burned na...
6 Reactions
61 Replies
14K Views
Hivi karibuni nilianza mazoezi ya squat lengo likiwa nikujimarisha viungo vya chini kama mapaja na miguu Lakini nimesikia baadhi ya watu wakisema kuwa mazoez ya squat kwa mwanaume yanasababisha...
10 Reactions
91 Replies
19K Views
Unapenda kutumia njia ipi kati ya hizi kukata kucha zako na ni njia ipi ni SALAMA? 😆
5 Reactions
45 Replies
2K Views
1. Ulikuwa na umri gani na ni nini kilisababisha kujua kuwa wewe ni mrembo? 2. Baada ya kujua wewe ni mrembo ulichukua uamuzi gani? 3. Je, unadhani urembo wako umekupa faida gani ya msingi...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu Siku chache zilizopita nilitembelewa na mgeni nyumbani. Alikuwa amejipulizia manukato/perfume ambayo harufu yake imebaki kwa wiki nzima sasa kwenye sofa aliyokuwa amekaa. Kwa...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Back
Top Bottom