Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Serpenti Sedutori (Nyoka atongozaye) ndio saa inayovuma saa hizi mtandaoni popote Tanzania na East Africa, gharama yake ikiwa ni dollar za kimarekani 44,200, takribani shilingi za kitanzania...
2 Reactions
30 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Nimeona ni vema leo tukajuzana namna ya kufunga tai kwasababau nimekutana na wadau kibao wanakwambia hawavai tai eti kwasababu hawajui kufunga, pia hata akina dada nivema mkajua...
6 Reactions
45 Replies
22K Views
Nimewaza tu wazee wenzangu kuwa tuna kila sababu ya kuwashukuru wenye Barber Shop au Saloon kwa kutusaidia tusiufikirie saaaana uzee tulionao. Wengi tunapaka Black na wengine tunanyoa vipara...
13 Reactions
44 Replies
2K Views
Habari wakuu!, Nina rafiki yangu ambaye ni Mzungu anaishi Dar na anataka kunyoa nywele zake, amejaribu saluni kadhaa ila hawajamnyoa vizuri. Kwa anayejua saluni wanaoweza kunyoa vizuri nywele za...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Mbinu gani naweza kutumia ili kuridisha nywele zangu. Watu waliniambia nitakuwa na upara lakini ni kitu sikujali sana, saiv naona kabisa nina upara. Mwenye mbinu yeyote anawezakusaidia kurudisha...
5 Reactions
50 Replies
3K Views
The newest Air Jordan 1 'LATTE' high colorway is rumored to release on May 29,2024 ⭐COMPLEXSNEAKERS.
4 Reactions
3 Replies
513 Views
Habari wakuu, Kama heading inavyoeleza hapo juu, nataka kufanya research binafsi ili nione kama kuna kipya katika matumizi na gharama zetu katika maisha yetu ya kila siku, Nikisema kipya ni kujua...
5 Reactions
71 Replies
3K Views
Sijawahi kutumia hizo makitu sasa nashawishika nijaribu so Ningependa kujua kama hizo cream za kuondoa nywele za makwapani, ndevu ama sehemu za siri sina side effects yoyote?
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna lotion niliyokuwa naitumia first time ilinikubali sana nikawa mweupe kama mwarabu, kopo liliisha nikanunua jingine sasa hii ya mara ya pili ndo imenikataa kabisa yaani nimekuwa mweusi mpaka...
7 Reactions
95 Replies
6K Views
Yani unakuta mkaka mzuri msafiii kapiga raba zake nyeupe na jeans black na white t-shirt isiyo na mbwembwe halafu amepiga manukato ya kutosha kwanini asipendwe hasa. Sio mkaka unanuka mijasho all...
24 Reactions
214 Replies
12K Views
Habari wakuu, Au nasema uongo ndugu zangu... Mwanamke nywele bana, yaani unywele alafu wa kwake sio fekero. Mtoto anaachia unywele unashuka mpaka kwa mgongo jamani. Nywele nzuri safi...
13 Reactions
171 Replies
6K Views
Utafiti uliofanyika Uingereza Mwaka 2022 umeonesha Takriban nusu ya wanaume ambao hawajaoa walisema hawafui shuka zao hadi miezi minne hivi kwa wakati mmoja, huku 12% wakikiri kuwa wanazifua...
8 Reactions
34 Replies
3K Views
Watanashati mpo? Angalia hapa njia mbalimbali za kukufunza jinsi ya kukunja nguo. Hii ni nzuri sana hasa ukiwa na nafasi ndogo ya kuweka nguo na hata muda wa kusafiri, inafanya ndio zako...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Leo tarehe 1/1/2024 Nimenyoa dongo na kujiapiza kuwa sitanyoa nywele zangu Napenda sana kuwa na Rasta lakini nimekuwa nikipata upinzani kutoka kwa mke wangu, ndugu na baadhi ya wanajamii hivo...
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Kunayo haja gani ya kuandika wrong brand name ili hali sio? 有什么必要把品牌名称写错才不会呢?这已经超出了愚蠢的范围。我们不是胆小鬼,先生
0 Reactions
0 Replies
457 Views
Hello,. Mwanaume umevaa mkanda nje umechomekea shirt nzuri suruali nzuri mkanda mweusi kiatu brown.....big no,mkanda mweusi kiatu cheusi....mkanda brown kiatu brown...... -Ukajivalia suruali...
11 Reactions
35 Replies
3K Views
Habari 🖐 🖐 🖐 Kuna jambo naomba mnishauri, najua kuna watu humu mnajua mawili matatu kuhusu nywele. Mm nywele zangu kwa sasa zipo level hii(picha hapo chini) baada ya kuacha kunyoa takribani...
10 Reactions
80 Replies
6K Views
Salaam! Wanaume tuwe makini kwani kizuri kikizidi huwa kibaya. Ushawahi kusikia finite na infinite, chenye mwanzo na mwisho relatively..... Basi tunao penda kuvaa vizuri na kupendeza tuwe na...
20 Reactions
163 Replies
10K Views
Ninasumbuliwa na darkspot jamani nimetumia mafuta kibao lkn Bado hali ni ile ile ni nafuta gan mazur ya kutumia . Aina ya ngozi yang ni oily skin
3 Reactions
17 Replies
3K Views
Jamani naombeni ushauli, mimi ni mdada nataka kunenepa😒Nina kilo 52 sasahv nataka kuongezeka mwili lakini yani kula kwangu kunasuasua ani, nikila kidogo tu nakua nshashiba ani. Nawaza kutumia...
16 Reactions
175 Replies
8K Views
Back
Top Bottom