Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Mimi ni mpenzi sana wa hivi viatu,brogues. Kwa mnaojua viatu, ninadhani mnajua heshima inayoletwa na viatu hivi. Pia ,ni timeless. Lakini ,sijui inakuwaje? Kila nikinunua, nikivaa sijisikii...
2 Reactions
4 Replies
736 Views
Habari za mida hii wadau, natumaini tunaendelea vyema na mihangaiko ya kila siku. Naomba kujua njia gani nzuri/ mafuta ya kufanya nywele ziwe na weusi mzuri bila kutumia material kama "super...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Huwa sipendi mwanamke wangu atumie cream ya aina yoyote au mafuta yatakayo mbadili rangi yake ya asili au kumfanya kuwa mweupe,, kuna mtu kamshauri kuwa top lemon ni nzuri,, Naomba ushauri wako...
0 Reactions
37 Replies
6K Views
Hongereni sana Akina dada wote ambao hampaki make up na Bado mnapendeza. Mnanyoa na Bado mnapendeza. Amen!
31 Reactions
342 Replies
11K Views
Habari zenu wana urembo, Naomba msaada wa kupewa ushauri wa moisturizer gani nzuri kuupaka usoni kwa wale wenye combination skin or oily skin uso wangu una mafuta ambayo hayachemki bali...
0 Reactions
48 Replies
132K Views
Wadada mnapendaga vito vipi? A. Gold B. Silver C.Tanzanite D. Diamonds Tuambizeni
4 Reactions
23 Replies
1K Views
Wanasifika kwa kuwa na Kipulilo aka Komwe. Nini Chanzo cha Tatizo hilo? Unakuta dada mzuri tu maskini sura huku chini inavutia ila ana Komwe. Na nywele zimeanzia karibu na kati kati ya kichwa...
7 Reactions
19 Replies
3K Views
Habari zenu watanashati nina shida leo Naomba msaada hivi mnawezaje kuchagua nguo kwenye mtumba tena zile grade nzuri kabisa mbona mimi nimeshindwa kila nikinunua nguo mtumbani nikifika nyumbani...
5 Reactions
61 Replies
11K Views
Habari wakuu, Nimewakumbuka sana, Kwakweli kama kuna kero ambayo ipo kwenye usafiri wa umma basi ni harufu mbaya ya uvundo wa boxer. Kwakweli safari yangu ya kutoka sehemu A kwenda sehemu B...
24 Reactions
264 Replies
8K Views
Changamoto ya utafutaji wa mavazi kwa upande wa wanaume ni kubwa kwasababu wafanya biashara wengi wanalenga soko la watu wenye urefu wa juu wastani kwasababu hata sisi tulio na urefu wa chini...
8 Reactions
39 Replies
6K Views
Habari wadau, Mimi ni kijana wa miaka 30. Nimezaliwa kijijini na kukulia huko. Mjini wa mara ya kwanza nilikuja kwaajili ya masomo. Pamoja na kwamba kazi yangu inanilazimu kuvaa kistaarabu, bado...
5 Reactions
104 Replies
18K Views
Habari wakuu. Ni maeneo gan mjini dar es salaam nitapata maduka ya nguo nzuri za kiume ukitoa kariakoo(pananichanganyaga nashindwa kupaelewa). Yaani jeans kali na tshart zenye quality nzuri kwa...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Heri ya sikukuu ya sabasaba. Kwa masikitiko makubwa naomba niwakilishe malalamiko yangu kuhusu ndugu zangu na wananchi wenzangu. Wengi wenu hamuogi, hamfui nguo zenu na hampaki deodorant achilia...
18 Reactions
158 Replies
10K Views
Hey guys! I was wondering what you guys use for skincare. I'm pretty happy with mine right now (SpectroJel cleanser for blemish prone skin, EpiDuo some nights, La Roche Posay Toleriane Ultra...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Naomba kufahamu Barber shop nzuri Arusha mjini.( Wanaozingatia usafi wa hali ya juu, wenye customer care nzuri na wanaonyoa vizuri)
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. 1. Ethiopia 2. Eritrea 3. Somalia 4. Rwanda. 5. Afrika kusini 6. Ivory coast 7. Nigeria 8. Kenya 9.Tanzania 10. Ghana.
8 Reactions
245 Replies
65K Views
Huyu mheshimiwa naona kila akiingia ndani anatoka kavaa nguo nyingine. Hivi hizo nguo anazobadili kila sekunde ni sisi walipa kodi tunagharamia?
19 Reactions
75 Replies
5K Views
Hello, I am interested in learning about how I can take care of my skin to prevent wrinkles. Can you provide me with any advice? Thank you.
1 Reactions
10 Replies
1K Views
RECIPE TO LOOK 10 YEARS YOUNGER! If you think that you need to spend a fortune and a lot of time to refresh and revitalize your face, you are wrong. You will need: 1. ½ a banana 2. 3 tablespoons...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Bustani za Mughal na Soko la Polo iliyoboreshwa. Srinagar (Jammu na Kashmir) SRINAGAR, Taji la thamani ya Kashmir,imekuwa ni nembo ya ishara ya ukaribisho kwa wajumbe kutoka nchi za G20...
2 Reactions
0 Replies
367 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…