Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Kama kichwa inavyo jieleza am only 20 old but nywele zangu zimekuwa zikinisumbua zinatoka na kuacha vigepu kuna wakati nilikuwa natumia brush ngumu sana ya kuchania nywele nikahisi ndo chanzo...
4 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari za mda wadau natumaini mko poa na mnazisubiri per diem za mama kwa shauku kubwa. Kwa kuzingatia kichwa tajwa hapo acha nijikite kuelezea kero ninayokumbana nayo.Binafsi mimi kwa maisha...
2 Reactions
33 Replies
6K Views
Kiukweli nimechoka kununua hivi viatu vya Kariakoo unanunua leo wiki ijayo kimeachia pembene unapeleka kwa fundi huku kiatu umenunua 100k+. Naomba kujua maduka ambayo yanauza viatu original...
4 Reactions
34 Replies
5K Views
Habari ndugu zangu? Nimetokewa na mistari miwili juu ya pua katikati ya macho sijui ndowanaita makunyanzi sasa naona inanifanya nionekane mzee, naombeni ushauri nitumie nn kutoa hii mistar au...
3 Reactions
37 Replies
12K Views
Siku moja nilikuwa nimeuzuri kikao cha kiutendaji na wanachama wa taasisi A. Karibu yangu nilikuwa nimekaa na mbaba mmoja, ana kama miaka 45 hivi. Ni mtu mwenye nafasi nzuri tu, na kipato si...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Mambo zenu alowahi tumia hii lotion ya fair and white anipe feedback
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Perfume ya Pheromone Na MARILYN MIGLIN KWA wanaume Pheromone na Marilyn Miglin Perfume. Feromone ya kisasa na ya kiume zaidi, inafurahisha hisia za wale walio karibu nawe kwa mchanganyiko wake wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni muda wa miezi takribani miwili Sasa nipo nipo nyanda za juu kusini uku mkoani Mbeya Kama mnavyojua hali ya hewa ya uku kwa Sasa baridi, upepo na vumbi Kali ndo muda wake hivyo nimejikuta ngozi...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Nawasalimu kwa jina la JMT, wakuu poleni kwa yaliotukia kuhusu mwaka mpya wa serikali naamini mama ameyasikia na watayafanyia kazi. Wakuu kwa heshima na taadhima naomba mnisaidie kupata mitindo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za muda huu wakuu, hope mmeamka salama. Nisiwapotezee muda moja kwa moja nijikite kwenye mada. Kuna jambo moja ambalo linanipa kero sana ni kwamba nimekuwa nina nywele laini kiasi kwamba...
1 Reactions
40 Replies
4K Views
Unaweza kuvaa vitu expensive au hata vya bei rahisi ukapendeza, lakini kuna vitu ambavyo ukivivaa au ukavifanya hata kama ukiwa umevaa vazi la mamilioni bado unaonekana cheap. Yes na wengi wetu...
21 Reactions
17 Replies
3K Views
Za jioni Wanaume mnao vaa pensi saluti kwenu kwanza mna pendeza Sana na zaidi mupo romantic. Kwa hilo nawasifia Ninyi mnavaa malonyalonya ya mtumba mnavaa suruali pangilieni nguo halafu msisahau...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna mwalimu mmoja rafiki yangu (ke),ana dread nzuri sana ni ndefu na zinang'aa lakini anafunga kilemba anapoenda kazini na akirudi hukitoa. Mwanzo nilidhani labda ni style kaamua lakini baada...
2 Reactions
13 Replies
5K Views
Brand ya kifahari ya Balenciaga imetangaza inakuja na fashion new old ya kiatu aina ya Distressed paris converse. Hata hivyo pea zilizopo ni chache na hazizidi pea 100. Kiatu hiki cha Distressed...
4 Reactions
11 Replies
3K Views
Hebu wanaukumbi tushee hii kitu, hebu tuambizane. Je unatumia mafuta gani mwilini/lotion/cream? Unaogea sabuni gani? Mimi kuanzia natumia lotion ya Ingram, naogea sabuni ya Pearl na mafuta ya...
9 Reactions
351 Replies
127K Views
Habari wajuvi, mimi ni mhanga wa vipele na muwasho kidevuni hapo awali nilikua nanyoa na kiwembe baada ya kunyoa hutokwa na vipele vingi sana hata kama nikitumia after shave Nikashauriwa kutumia...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa hapo juu, Pamoja na mwanamke kuwa na urembo wa aina mbalimbali lakini pochi ni mojawapo. Kama mwanamke utavaa vizuri lakini kama hutabeba pochi nzuri unapoteza...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu,Mara nyingi nimeona wanaume wengi wanachukizwa na nywele zinazoota kwenye kifua na tumbon( garden love)i.Hili likoje wadau na je kuna dawa yoyote ya kuweza kuondoa kabisa hizi...
2 Reactions
28 Replies
15K Views
Wataalamu na wasomi na wajuzi hivi kwa bongo hizi dawa zipo. Watafiti tunaomba dawa ya kurudisha nguo ziwe mpya maana nakumbuka zamani tulivaa nguo hadi ichanike, ila sasa hivi hata ikipauka tu...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Uchafu sugu ni nini?? Uchafu sugu ni hali ya uchafu ulio na mwonekano wa rangi tofauti na asili ya sink na vigae ambayo haiwezii kuroka kwa urahisi Hii ni changamoto ambayo inawasumbua watu...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Back
Top Bottom