Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Muongozo mzima wa kujaza mwili kwa muda mfupi kwa wale ambao wembamba sanaa mpaka wanaona kero wanahitaji kunenepa mwili kidogo (si kunenepa kwa kujaza mafuta na nyama uzembe) bali kuwa na mwili...
32 Reactions
117 Replies
39K Views
Msaada ngozi yangu inaharibika na sijui kwanini
1 Reactions
20 Replies
3K Views
Kwa Jiji la DSM sasa hali ya hewa ni ya upepo mkali sasa mama zetu dada zetu ebu mjaribu kubadilika kidogo vaeni nguo za kuwastiri upepo ukija ushauri tu,,,😛😛😛
0 Reactions
11 Replies
2K Views
1 Reactions
0 Replies
685 Views
Nimepata taarifa kutoka kwa bwana mmoja aniambia nitumie kitunguu swaumu kwa kukiponda ponda kisha nisugue kwenye nywele zangu ambazo zimeanza kufifia kama upara kisha zitaanza kurudi. Nipo...
5 Reactions
57 Replies
17K Views
Wanawake kwanini mnajiumiza na kujitesa hivi? Hii yote ili mgundue nini kwa mfano? Wanawake mtafika mbinguni mmechoka sana.
2 Reactions
20 Replies
3K Views
Je, mtindo huu wa kuweka nywele hivi (kwenye picha) unaitwaje ama unawekwaje na kama kuna mafuta ama dawa naombeni jina (majina) yake.
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari Wana JF niende kwenye mada VITU VYAKUZINGATIA ILI USI ZEEKE HARAKA. Punguza kula nyama kwa wingi. Punguza kunywa pombe Kali au acha kabisa hasa hunywaji wa pombe za kienyeji matumizi ya...
6 Reactions
16 Replies
3K Views
Nikiwa hi kununua kitanda cha soft wood, chaga zilikua nyepesi sana na kitanda kilivunjika. Sikuhizi ni kheri ninunue kitanda cha mninga kwa milioni 2 lakini chaga ziwe imara.
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa hapo juu, Kanga ni vazi lililotumiwa na wanawake wengi kipindi cha miaka ya nyuma. Vazi la kanga lilikuwa likitumiwa na wanawake wakiwa wanaenda mahali kama...
6 Reactions
22 Replies
2K Views
Nashindwa kuelewa ni Ungonjwa au Uchafu Asubuh tu unakutana na mtu ananuka Jasho kama fisi la porini na amevaa smart kabisa ila ukipishana nae unaweza kuzimia Unakutana na mtu smart kapendeza...
30 Reactions
152 Replies
18K Views
Jamani baadhi ya wanawake tena sio baadhi asilimia kubwa muoshe, mfue au muwe mnaanika mawigi yenu. Kuna dada mbele yangu hpa ATM foleni wigi lake linatema balaa! Yaani nahisi halijafuliwa mwezi...
13 Reactions
105 Replies
4K Views
Habari wapenzi? Nmekuwa nikiona mitandaoni watu wakiitangaza serum ya wix kuwa ni nzuri kwa kutoa mikunjo usoni, je kwa mliowahi kuitumia ni kweli inatoa mikunjo usoni ? Nataka kwanza nipate...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
There is a popular saying which goes thus; "dress the way you want to be addressed" as the way one is dressed, speaks about someone. In this era, time and age where decency has become a scarce...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sikuwahi kufikiri kama itatokea siku nikawa napoteza nywele aisee. Kwa mbaali kimeanza kuja. Na nywele nyeupe nazo zimeanza. Sasa nakua nanyoa Kila baada ya wiki mbili. Sitaki kuamini nimefikia...
12 Reactions
103 Replies
13K Views
Moja kwa mbili kwenye mada: 1. USIPULIZE KWENYE NGOZI NA KUISUGUA: Kwa nini? *Kwa kusugua kwenye ngozi baada ya kupaka kutayafanya marashi yako yapotee (evaporate) kwa haraka zaidi kabla...
3 Reactions
18 Replies
8K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa hapo juu, Hivi ndivyo binti Noela alikuwa akisema... Jamani yani nilivyo na karangi kangu kachungwa kanapendeza sana. Wala sitaki mtu anisifie maana mimi najijua...
4 Reactions
46 Replies
5K Views
Kwa yeyote alie mtaalamu au anajua dawa nzuri ya kukuza na kuotesha nywele basi anipe maelekezo kichwa kinazidi kushika kasi ya kipala na bado kwa kwa sasa sijapendelea kua na kipara. Nywele...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Wapo baadhi ya watu nimeona nywele zao zikiendelea kuimarika siku hadi siku baada ya kuathiriwa na Upara. TID, huyu jamaa kuna kipindi alinyonyoka kabisa. Kipara kilikuwa kikionekana wazi wazi...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari wakuu Mdogo wenu hapa nimekuja nahitaji msaada wenu, nimeanza kuota kiwalaza na hii inanipa stress sana ukizingatia na umri pia bado hauni ruhusu kumiliki vitu vya ajabu ajabu. Najaribu...
16 Reactions
120 Replies
11K Views
Back
Top Bottom