Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Wakuu mimi binafsi natumia colget Advanced whitening kina ujazo wa 75mil si nyingi ila bei yake ni Tsh. 4,500 hii nzuri sana watoto wa Arusha utawakamata sana si unajua yale meno yao. Je wewe...
9 Reactions
157 Replies
123K Views
Hello dears, kati ya Wix na American Dream ipi ni lotion nzuri zaidi kwa normal skin?
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari hapo juu,.. Kama muonavyo hali ya hewa kwa sasa ni kipupwe cha baridi. Hali hii ya hewa inasababisha ngozi kupauka sana na mafuta hayakai ktk ngozi...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu, Kama ilivyo katika watu wanaoongoza kuwa na nguo ni wanawake. Hii yote hutokana na kutaka kuwa na muonekano mzuri na utanashati. Pia...
7 Reactions
90 Replies
6K Views
Naomba kufahamu aina ya lotion, cream au mafuta yanayofaa kwa ajili ya kuondoa madoa mwilini na yasiyochubua yaani kuondoa rangi ya asili. Pia naomba kufahamu kwa matumizi ya cream kama goldie...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Kinyaa ni hisia mbaya apatayo mtu anapoona uchafu, mtu asie na kinyaa ni mtu wa hovyo sana. Kuona kinyaa yaweza enda mbali zaidi, Mtu anaeweza kufanya mchezo wowote katika tupu ya nyuma kwa...
1 Reactions
2 Replies
577 Views
Jamani hiyo miili ya plastic surgery inapendeza. Uongo dhambi Tuelekezane machimbo jamani. And do and dont kwenye hili swala.
7 Reactions
46 Replies
5K Views
Hivi kwanini wanaume wafupi wakivaa suti hawapendezi. Hta hawakai vizuri wanakuwa km wametundikwa au wamefunikwa hawapendezi hta kidogo. Unaweza kusema ni kafurushi sijui cha nn. Wanakuwa...
16 Reactions
261 Replies
29K Views
Ee unajua kuwa msongo wa mawazo unachangia mafuta yako kugoma na uso wako kujaa chunusi kwa wingi. Kila mmoja ana mtazamo wake kuhusu msongo wa mawazo ama kama inavyojulikana sana “ stress”...
9 Reactions
25 Replies
7K Views
Habara za wakati huu wadau! Naomba kwa aliyewahi kuitumia hii perfyum naomba maoni yenu. Asanteni
0 Reactions
6 Replies
930 Views
Wakuu. Nataka jeans kali kama 5 hivi. Budget ya 20,000 mwisho. Najiuliza, niende Kariakoo au nikaoambane maduka ya Vunjabei na Boss Kalewa?
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa hapo juu, Baada ya kupata visenti kidogo nimeona nibadili mafuta ya kupaka. Na hii ni baada ya kuona mwenzangu aliyezeeka uso kawa kijana ghafla.pia ngozi imekuwa...
11 Reactions
80 Replies
6K Views
Mimi naanza. Miuno feni, nimeshawala kama watatu hivi wenye vipini puani mashallah watamu 🤩
6 Reactions
53 Replies
6K Views
Habari wakuu, Husika na kichwa hapo juu, Kama si kiherehere basi ni ulimbukeni wa wadada wengi linapokuja swala la mafuta ya kupaka hasa lotion na cream. Utakuta mtu akiona mtu amepaka mafuta...
8 Reactions
30 Replies
4K Views
Nimekuwa Nikiona shati a drafts tu. Najiuliza Kwa Nini sikioni hakuna t-shirt cotton nzuri lakini na zenyewe ziwe draft lakini nzuri za kisasa. Kun mwenye ufahamu kuhusu vazi hili na Kwa Nini sio...
0 Reactions
4 Replies
681 Views
1.Mashati ya mikono mirefu na mifupi 2.Suruali za kitambaa na cardetis 3.Moka nzuri za kijanja NOTE; NAOMBA CHIMBO LIWE LA MTUMBA
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu kama kichwa kinavyosema, Mi ni mdau mkubwa wa Chinos, ni suruali yangu pendwa. Sasa changamoto ninayokutana nayo ni ukishafua zaidi ya mara 2 tu, especially zile za dark blue basi inachuja...
3 Reactions
48 Replies
4K Views
Nimejaribu kuulizia sana kama hawa jamaa wana agent wao hapa nchini kwetu au Africa mashariki kwa ujumla sijapata, zaidi ninapata bidhaa zao lakini kiukweli sio original kwa zile ambazo...
0 Reactions
1 Replies
971 Views
Habari Jf, Wataalamu wa ngozi na vipodozi mnipe maelekezo mazuri hapa. 🔷 Jinsia (me) rangi ya ngozi black chocolate, aina ya ngozi ni ya kwaida siyo kavu wala sijawahi kupata chunusi. Mafuta ya...
3 Reactions
44 Replies
18K Views
Habarini waungwa Nina kiatu changu aina ya suede kimepigwa pigwa vumbi. Sasa nauliza namna ya kukisafisha maana naona hesabu ya kutumia maji kama viatu vingine inagoma
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom